Kamapuni nyingi za ndege za China wanatumia ndege za Boing including China Airway, China South Airway n.kHaha japo hapo bado wana kasafari kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamapuni nyingi za ndege za China wanatumia ndege za Boing including China Airway, China South Airway n.kHaha japo hapo bado wana kasafari kidogo
Umechanganyikiwaa kaka yani unaifananisha tik tok na instaggram au bdo upo usingizini alafu chhini siyo yule wa miaka ya 2000 shida wengi uku mnafikiria viwandaa vingi vipo China sababu ya cheap labour mbona ivyo viwanda havjaja kwenu au sehemu nyingine duniani vimejazana China labda nikwambie tu ili viwanda viweze kuwekwaa kwenye nchi yako na wawekezaji ukiachana na Sera nzuri za uwekezaji na mazingira salama lazima wananchi wa apo lazima wawe na uwezo wa kununua izo bidhaa, China wananchi wake wanauwezo wa kununua luxury goods zotezote zinazouzwaa duniani purchasing power yao inazidi kukuwa kila sikuhilo lipo wazi sana mkuu western ni wavumbuzi then mchina kwa kuwa ana cheap labour plus kutumia raw material za ubora wa chini au kawaida automatically anaonekana ameuza sana sokoni! Au makampuni ya western yanapotaka kupunguza gharama za uzalishaji ndipo yanaenda china. Ndiyo maana kila kinachogunduliwa na western baadae unakuta mchina huyu hapa anauza kwa wingi. Hayo mabasi, malori, na vingine vingine ni copy paste ya western tech, ndiyo maana unakuta imeanza insta china kakopy ana tiktok[emoji1787] sijui western wapo na watsapp china ana wechat[emoji1787], western ana ebay na amazon china ana alibaba[emoji1787] . R&D za universities za western au makampuni ya US ni balaaaaa. R&D za kampuni za kichina mainly hulenga kupunguza gharama, na kuangalia alternative raw materials ili gharama ishuke then wapate kushindana na bidhaa za western[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
R&D: Reserach and DevelopmentMsaada kwenye tuta,tufungulieni hizo code wakuu R&D,FTZs na SEZs,hapo nimetoka kapa
Hata kuvuta Polo G7 napo kibiashara kwa ushindani uliopo hapa bongo si sahihi sanaNimeona katarama polo g7 aiseee hio gari ni balaaa kwa michina inayokuja Africa sijaona wa kukaa mbele
Mchina lazima akimbize sababu kuu ni magari yake yanakaa mda kidogo yanachoka
Sema kuvuta IRIZAR I8 route za dar mwanza ni matumizi mabaya ya akili
Kwa sasa nyingi zimeweka order ya C919 kampuni yao ya ndaniKamapuni nyingi za ndege za China wanatumia ndege za Boing including China Airway, China South Airway n.k
Polo ni balaa kubwa ila ndio hivyo mchina anachange dizaini kila leoHata kuvuta Polo G7 napo kibiashara kwa ushindani uliopo hapa bongo si sahihi sana
Zile basi za Katarama bado mpya ni suala la muda tu mkuu. Awaulize wenzake wazoefu wa hii biashara.Polo ni balaa kubwa ila ndio hivyo mchina anachange dizaini kila leo
Wabongo wengi ni washamba hawajui vitu quality
Ruti ya mwanza-dar nilikua napenda kupanda ally's juzi hapa nimepanda katarama aiseee msweedeni ni umeme
Kwamba ni suala mda unamaanisha nini? Mimi nimekwambia kitu nilichoshuhudia mwenyewe hauwezi ukaweka michina na polo g7[emoji3][emoji3] kwa kila kituZile basi za Katarama bado mpya ni suala la muda tu mkuu. Awaulize wenzake wazoefu wa hii biashara. Hiyo basi hapo lazima abadilishe hiyo frame yote ya upande wa kushoto. Iko ofisini kwake inasubiri frame kutoka nje ya nchi, chuma kutozalisha tayari ni hasara kwa kampuni
View attachment 2679942
Afrika imeshika soko la vilaza dunianiChina is something else, imebaki sasa kutawala soko la ndege just a matter of time, C919 itakuja kuzishusha boeing na airbus
Baada ya muda basi huchoka na utakuta imechoka na bado haijafanya ile return on investmentKwamba ni suala mda unamaanisha nini?
Ungetaja sehemu specific ukalinganisha na Mchina ningekuelewa vizurihauwezi ukaweka michina na polo g7
kwa kila kitu![]()
Mchina hawezi vuka boda thus zambia to Zimbabwe to south Africa Msweden ndo anatambaSema Scania body ya Macoporo naona Zambia wanayo matoleo ya karibuni hiyo ya Sauli sijaona hata model yake kama haya ya Shalom na Jordan bus...
Nyumbu wanazidiwa hata na watoto wa temeke ukitulia wanakusukia body nzuri tuNyumbu imeshika nafasi ya ngapi?
Mchina anavuka border faza toka Lusaka kwenda Harare na Johannesburg kwenda Harare zipo nyingi sana...Mchina hawezi vuka boda thus zambia to Zimbabwe to south Africa Msweden ndo anatamba
Kila kitu ukitoa ubovu[emoji3][emoji3]Ungetaja sehemu specific ukalinganisha na Mchina ningekuelewa vizuri
Ok nikupe mfano mmoja. Hao yutong ni kiwanda kilianzishwa mwaka 1963 lakini wamepata global recognition miaka ya 2000 so its possible kwa jicho la tatu naona C919 wamekuwa na mwanzo mzuri huenda wasichukue muda mrefu kwenye hilo
Hao IRIZAR ni kampuni ya Spain wameingia ubia na Scania kutengeneza body na chassis kwa baadhi ya matoleo ya basi za SCANIA ambazo huitwa SCANIA IRIZAR hizo kwenye pichaSema Scania body ya Macoporo naona Zambia wanayo matoleo ya karibuni hiyo ya Sauli sijaona hata model yake kama haya ya Shalom na Jordan bus...
Ungetaja sehemu hususa ungenielewesha vizuriKila kitu ukitoa ubovu[emoji3][emoji3]