China yaongoza duniani katika utengenezaji na uuzaji wa mabasi ya abiria

China yaongoza duniani katika utengenezaji na uuzaji wa mabasi ya abiria

hilo lipo wazi sana mkuu western ni wavumbuzi then mchina kwa kuwa ana cheap labour plus kutumia raw material za ubora wa chini au kawaida automatically anaonekana ameuza sana sokoni! Au makampuni ya western yanapotaka kupunguza gharama za uzalishaji ndipo yanaenda china. Ndiyo maana kila kinachogunduliwa na western baadae unakuta mchina huyu hapa anauza kwa wingi. Hayo mabasi, malori, na vingine vingine ni copy paste ya western tech, ndiyo maana unakuta imeanza insta china kakopy ana tiktok[emoji1787] sijui western wapo na watsapp china ana wechat[emoji1787], western ana ebay na amazon china ana alibaba[emoji1787] . R&D za universities za western au makampuni ya US ni balaaaaa. R&D za kampuni za kichina mainly hulenga kupunguza gharama, na kuangalia alternative raw materials ili gharama ishuke then wapate kushindana na bidhaa za western[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umechanganyikiwaa kaka yani unaifananisha tik tok na instaggram au bdo upo usingizini alafu chhini siyo yule wa miaka ya 2000 shida wengi uku mnafikiria viwandaa vingi vipo China sababu ya cheap labour mbona ivyo viwanda havjaja kwenu au sehemu nyingine duniani vimejazana China labda nikwambie tu ili viwanda viweze kuwekwaa kwenye nchi yako na wawekezaji ukiachana na Sera nzuri za uwekezaji na mazingira salama lazima wananchi wa apo lazima wawe na uwezo wa kununua izo bidhaa, China wananchi wake wanauwezo wa kununua luxury goods zotezote zinazouzwaa duniani purchasing power yao inazidi kukuwa kila siku
 
Sema Scania body ya Macoporo naona Zambia wanayo matoleo ya karibuni hiyo ya Sauli sijaona hata model yake kama haya ya Shalom na Jordan bus...
 

Attachments

  • 20230426_155842.jpg
    20230426_155842.jpg
    676.5 KB · Views: 9
  • 20230426_170137.jpg
    20230426_170137.jpg
    681.5 KB · Views: 8
  • 20230426_170130.jpg
    20230426_170130.jpg
    606.8 KB · Views: 7
  • 20230426_155835.jpg
    20230426_155835.jpg
    859.7 KB · Views: 9
Nimeona katarama polo g7 aiseee hio gari ni balaaa kwa michina inayokuja Africa sijaona wa kukaa mbele

Mchina lazima akimbize sababu kuu ni magari yake yanakaa mda kidogo yanachoka

Sema kuvuta IRIZAR I8 route za dar mwanza ni matumizi mabaya ya akili
Hata kuvuta Polo G7 napo kibiashara kwa ushindani uliopo hapa bongo si sahihi sana
 
Hata kuvuta Polo G7 napo kibiashara kwa ushindani uliopo hapa bongo si sahihi sana
Polo ni balaa kubwa ila ndio hivyo mchina anachange dizaini kila leo

Wabongo wengi ni washamba hawajui vitu quality

Ruti ya mwanza-dar nilikua napenda kupanda ally's juzi hapa nimepanda katarama aiseee msweedeni ni umeme
 
Polo ni balaa kubwa ila ndio hivyo mchina anachange dizaini kila leo

Wabongo wengi ni washamba hawajui vitu quality

Ruti ya mwanza-dar nilikua napenda kupanda ally's juzi hapa nimepanda katarama aiseee msweedeni ni umeme
Zile basi za Katarama bado mpya ni suala la muda tu mkuu. Awaulize wenzake wazoefu wa hii biashara.

Hiyo basi hapo lazima abadilishe hiyo frame yote ya upande wa kushoto. Iko ofisini kwake inasubiri frame kutoka nje ya nchi, chuma kutozalisha tayari ni hasara kwa kampuni
20230705_113425.jpg
 
Zile basi za Katarama bado mpya ni suala la muda tu mkuu. Awaulize wenzake wazoefu wa hii biashara. Hiyo basi hapo lazima abadilishe hiyo frame yote ya upande wa kushoto. Iko ofisini kwake inasubiri frame kutoka nje ya nchi, chuma kutozalisha tayari ni hasara kwa kampuni
View attachment 2679942
Kwamba ni suala mda unamaanisha nini? Mimi nimekwambia kitu nilichoshuhudia mwenyewe hauwezi ukaweka michina na polo g7[emoji3][emoji3] kwa kila kitu

Hio katarama sijui ina mda gani barabarani ila ukikaa kwenye siti yake utanielewa ni nini namaanisha
 
Ok nikupe mfano mmoja. Hao yutong ni kiwanda kilianzishwa mwaka 1963 lakini wamepata global recognition miaka ya 2000 so its possible kwa jicho la tatu naona C919 wamekuwa na mwanzo mzuri huenda wasichukue muda mrefu kwenye hilo

Ndege na biashara ya bus ni tofauti sana.
Angalia soko lao kubwa la mabasi liko wapi vs european buses
China inabidi waende far from C919 kufikia level za kina boeing. So far bado wanatumia foreign parts kwenye ndege zenyewe.
And hao wakina boieng na airbus si kwamba wamestop ku innovate na wao wanapambana.
Its not an easy game
 
Sema Scania body ya Macoporo naona Zambia wanayo matoleo ya karibuni hiyo ya Sauli sijaona hata model yake kama haya ya Shalom na Jordan bus...
Hao IRIZAR ni kampuni ya Spain wameingia ubia na Scania kutengeneza body na chassis kwa baadhi ya matoleo ya basi za SCANIA ambazo huitwa SCANIA IRIZAR hizo kwenye picha

Wameingia ubia pia kutegeneza hata bodies baadhi ya matoleo ya mabasi ya IVECO, VOLVO, MERCEDES BENZ na MAN

Watamu sana kwenye kutengeneza bodies na chassis za luxury buses
 
Back
Top Bottom