Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,549
- 2,279
Nikuambie kitu biashara ya mabas bila kua mjanja mjanja kama wakina about kutoboa ni ngumu sanaBaada ya muda basi huchoka na utakuta imechoka na bado haijafanya ile return on investment
polo g7 itachoka leo[emoji1787][emoji1787] barabarani kuna mapolo mengi namba A ya miaka ya 2000s