Kama hiyo ndege ya kichna ukilinganisha na airbus 320Sidhani kama mchina ana innovation yake, karibu 90% ya product zake copy from western.
ni matokeo chanya haya ila je wataweza kuhimili hujuma za kibiashara za west kwenye hii industry?Kwa sasa C919 wana order ya ndege 1061 imagine hawajamaliza hata mwaka tangu izinduliwe rasmi
wana hadi airbus model karibia zote kuanzia kubwa lao a380Kamapuni nyingi za ndege za China wanatumia ndege za Boing including China Airway, China South Airway n.k
Nikuulize kituSidhani kama mchina ana innovation yake, karibu 90% ya product zake copy from western.
Miaka 10 au 5 iliyopita hakuna alifikiria kuwa kuna siku China itakuja kuwa world's top car exporter na kuipita JapanKama hiyo ndege ya kichna ukilinganisha na airbus 320
ni matokeo chanya haya ila je wataweza kuhimili hujuma za kibiashara za west kwenye hii industry?
Hivi ulishawahi kufika kwenye hizo viwanda vya China ata ukaona teknolojia wanazotumia? Au hujui kuwa magari mengi ya China ni uwekezaji kutoka German...suala la teknolojia ni tofauti ni uuzaji wa magari.Nikuulize kitu
Mjapan ametawala kwa miaka mingi kwenye soko la magari. Je, teknolojia aliipata wapi?
Samsung anakimbiza kwenye simu za mkononi je, Mkorea Kusini aliipata wapi hiyo teknolojia?
Kwa nini ikiwa China watu wengi ndio huwa mnaanza kusema amecopy?
Huwa nashindwa kuelewa
Hata Boeing na Airbus parts nyingi wananunua kutoka makampuni mengine tofauti na yao
Kuna makampuni maarufu kwa kuuza parts za ndege kama Rollys Royce, United Technologies, GE Aviation, Safran, Honeywell Aerospace na Rockwell Collins
Like Airbus and Boeing, the various components that make up the C919 are manufactured by other entities
Taja viwanda vya China I mean China based auto manufacturers ambavyo ni uwekezaji wa Ujerumani?Hivi ulishawahi kufika kwenye hizo viwanda vya China ata ukaona teknolojia wanazotumia? Au hujui kuwa magari mengi ya China ni uwekezaji kutoka German...suala la teknolojia ni tofauti ni uuzaji wa magari.
000.00000171Nyumbu imeshika nafasi ya ngapi?
Airbus ni ya Ufaransa ila wananunua engine za rollys royce kutoka Marekani na UingerezaHapana hujanielewa, namaanisha component nje ya china. Components wanazotumia akina boeing na airbus zinatoka within their territory, lakini huwa sikii wakiagiza from “china”
Wewe jamaa unaleta ushabiki kwenye facts kwani green city zipo wapi?IRIZAR ziliishia wapi mkuu?
Niliuliza nipate ufahamu tu sio kubishana chifu. Sijaziona njia ya kanda ya ziwa ndio lengo la swali languWewe jamaa unaleta ushabiki kwenye facts kwani green city zipo wapi?
Mbona kuna makampuni mengi tu ya mabus ya michina yamekufa sababu ya mikopo[emoji1787][emoji1787]
Ushawahi kujuliza kwa nini makampuni mengi ya kibongo hayakui licha ya kuwepo na michina ya bei cheese plus mikopo?
Bila wizi hauwezi kutoa hapa bongo kwa biashara ya mabus niamini[emoji1787][emoji1787]
Scania bus haina swala la muda mkuu..Zile basi za Katarama bado mpya ni suala la muda tu mkuu. Awaulize wenzake wazoefu wa hii biashara.
Hiyo basi hapo lazima abadilishe hiyo frame yote ya upande wa kushoto. Iko ofisini kwake inasubiri frame kutoka nje ya nchi, chuma kutozalisha tayari ni hasara kwa kampuni
View attachment 2679942
Tafuta Tajiri wa mabus atakwambia biashara ilivyo ngumu mtu unaweka ruti ya mwanza-singida wenzako wanaweka ruti ya mwanza-dodoma mwingine mwanza-moro mnaanza kukimbizana hovyo mwisho wa siku services zinakua za shida[emoji3][emoji3]Niliuliza nipate ufahamu tu sio kubishana chifu. Sijaziona njia ya kanda ya ziwa ndio lengo la swali langu
Mara zote gari zinazotengenezwa zidumu muda mrefu muonekano wake unakua ngoma ngumu tofaut na zile luxuryMchina gani unavutia kwa ndani hadi useme polo g7 litakosa abiria?
Lucky Star sasa hivi kahamia kwa Mchina Zhongtongbaadae nikaanza kusafiri na lucky star enzi hizo ni IRIZAR na ndio ilikua kiboko ya allys
Ana gari ngapi?Lucky Star sasa hivi kahamia kwa Mchina Zhongtong
Zile Scania Polo za Abood ziko wapi? Maana napishana tu na Abood Yutong ndio ziko barabarani zinapiga kaziScania bus haina swala la muda mkuu..
Sijajua ni ngapi mkuuAna gari ngapi?
Ally's Winchester DXSMimi sio mfanyakazi wa mabus ila ni msafiri mzuri sana
Naishi mwanza ila nimesomea dar malikizo yote nilikua narudi nyumbani
Nimeanza kupanda allys kipindi kile anamichongo zile gari zilikua zinatembea kinoma mwanza tulikua tunaingia sa 12
baadae nikaanza kusafiri na lucky star enzi hizo ni IRIZAR na ndio ilikua kiboko ya allys
Vijana wa stand hutanguliza mahaba mbele ila sisi wasafiri tunajua hauwezi kuiweka polo g7 na Yutong au golden dragon[emoji3] kwenye kila kitu
Nakumbuka niliwahi kupanda allys moja nyuma imeandikwa kitu kama Chester aiseee gari haina Comfortability ila inakimbia kama umeme[emoji119][emoji119]