China yaongoza duniani katika utengenezaji na uuzaji wa mabasi ya abiria

China yaongoza duniani katika utengenezaji na uuzaji wa mabasi ya abiria

Tafuta Tajiri wa mabus atakwambia biashara ilivyo ngumu mtu unaweka ruti ya mwanza-singida wenzako wanaweka ruti ya mwanza-dodoma mwingine mwanza-moro mnaanza kukimbizana hovyo mwisho wa siku services zinakua za shida[emoji3][emoji3]

Kampuni kufa sio sababu ya uchakavu wa gari watu tunaangalia huduma bora na ucha che wa ajari

Biashara ya bus ni pasua kichwa Mohammed Trans na Mombasa Raha walikua wanashusha bus kama upupu unajua sasa hivi wapo wapi?

90% ya makampuni ya mabusi yaliyopo barabarani kwa sasa ni mapya
Na ndio maana ikaitwa biashara kichaa

Kuna mengi ya kujifunza kutoka kwa Abood na Shabiby wameweza kudumu kwenye hii biashara kwa miaka mingi sasa
 
Sijajua ni ngapi mkuu
Chukua hii point... bongo biashara ya mabus ni ngumu sana sio kwa mchina wala msweedeni ukikaa vibaya lazima uchakae

Kibongo bongo ukitaka kampuni yako ipate wateja wengi wewe vita chuma inayokimbia tu+ services

Kilichoifanya katarama ichukue headline ni mwendo jamaa alikua na gari gari mbili polo g7 allys anatoa gari kama 5 kwenda dar+ michina wenzie lakini polo linawatoa kama wamesimama[emoji1787][emoji1787]

Katarama inakifua balaaa halafu ni nenda rudi[emoji3]
 
Chukua hii point... bongo biashara ya mabus ni ngumu sana sio kwa mchina wala msweedeni ukikaa vibaya lazima uchakae

Kibongo bongo ukitaka kampuni yako ipate wateja wengi wewe vita chuma inayokimbia tu+ services

Kilichoifanya katarama ichukue headline ni mwendo jamaa alikua na gari gari mbili polo g7 allys anatoa gari kama 5 kwenda dar+ michina wenzie lakini polo linawatoa kama wamesimama
emoji1787.png
emoji1787.png


Katarama inakifua balaaa halafu ni nenda rudi
emoji3.png
Kigezo cha mbio sijaona mpaka leo nani mshindi kati ya Ally's (Mchina) na Katarama (Msweden)

Kwa tulio karibu na mikeka hakunaga basi linalomtawala mwenzake

Kuna wakati Katarama inaachwa na kuna wakati Ally's anaachwa

Kipengele cha spidi sioni wa kujimwambafai kwa mwenzake sio Mchina sio Msweden

Hata wanazi wa hizo kampuni wanalifahamu hilo. Na hapo ni Golden Dragon sipati picha Ally's angekuwa na Zhongtong mega kama za New Force 😅
 
Ulichosema hapa kina ukweli,nilikuwa na debate na jamaa mmoja kuhusu Dar Express na Scania zake kuwekwa bench na kunyang'anywa ufalme wa Kaskazini na akina Esther na Tilisho wanaomiliki michina yeye akawa anang'ang'ana Dar Express ananunua bus moja mill 800 akitaka kununua mchina anapata ngapi?

Nikamwambia issue siyo anapata Yutong ngapi the issue is hiyo Scania old model ya mil 800 kibiashara ikikutana na mchina mpya aliyeingia leo mwenye futures kibao na ziko nne barabarani nani atapata faida na nani atapanda hizo Scania wakati Scania atamuacha mchina kwenye milima tu tambarare mchina nae anamwaga moto kama laana?
[emoji23][emoji23]
Mwaga moto kama laana, unyama sana mkuu.
 
S
Zile Scania Marcopolo za Abood ni za 2004/5 kama sijakosea, walizinunua pamoja na akina Hood, Scandinavia, Royal Coach, Hekima Bus Service, Ilasi na Grazia ya Njombe.
Sasa mkuu gari ya 2004 unaizungumzia leo iwepo Road kweli? Kwa kuwa huku kwetu hakuna wathibitishaji kila mwaka ili kutoa kibali gari itembee bila kutoa rushwa ndio maana unaongea hivyo na pia kodi ya hus ipo juu tunakosa huduma bora na za kisasa kwa kuamini ni anasa...ukiangalia gari zinazopakia Wanafunzi ni kama adhabu kila siku wanapaka rangi ya nyumba yaonekane afadhali...
 
S

Sasa mkuu gari ya 2004 unaizungumzia leo iwepo Road kweli? Kwa kuwa huku kwetu hakuna wathibitishaji kila mwaka ili kutoa kibali gari itembee bila kutoa rushwa ndio maana unaongea hivyo na pia kodi ya hus ipo juu tunakosa huduma bora na za kisasa kwa kuamini ni anasa...ukiangalia gari zinazopakia Wanafunzi ni kama adhabu kila siku wanapaka rangi ya nyumba yaonekane afadhali...
Kwa nini mkurugenzi alibadilisha kutoka Scania kwenda Yutong?
 
Kigezo cha mbio sijaona mpaka leo nani mshindi kati ya Ally's (Mchina) na Katarama (Msweden)

Kwa tulio karibu na mikeka hakunaga basi linalomtawala mwenzake

Kuna wakati Katarama inaachwa na kuna wakati Ally's anaachwa

Kipengele cha spidi sioni wa kujimwambafai kwa mwenzake sio Mchina sio Msweden

Hata wanazi wa hayo mabasi wanalifahamu hilo
Hao vijana wa stand hawajui kitu wao wanaangalia mwisho wa safari tu mimi nimepanda hizo gari zote

Allys stand nyingi anaunga,mizigo wanabagua napenda wanavyotembea na mda

Ukija kwa katarama mizigo anachukua,stand anaingia hawa jamaa wanasubiria hadi hadi abiria kama akiwa na tatizo kwa Allys wanakuacha ya nyuma itakubeba

Ila likikaa barabarani katarama bamz huwezi sikia na bado mwisho wa safari utakuta Allys kaongoza kwa tofauti ya dakka chache

Mkuu katarama akivuta zingine 3 zinaenda tatu zinarudi 3 hautasikia mchina anakaa mbele
 
Hao vijana wa stand hawajui kitu wao wanaangalia mwisho wa safari tu mimi nimepanda hizo gari zote

Allys stand nyingi anaunga,mizigo wanabagua napenda wanavyotembea na mda

Ukija kwa katarama mizigo anachukua,stand anaingia hawa jamaa wanasubiria hadi hadi abiria kama akiwa na tatizo kwa Allys wanakuacha ya nyuma itakubeba

Ila likikaa barabarani katarama bamz huwezi sikia na bado mwisho wa safari utakuta Allys kaongoza kwa tofauti ya dakka chache

Mkuu katarama akivuta zingine 3 zinaenda tatu zinarudi 3 hautasikia mchina anakaa mbele
Muulize Sauli kule nyanda za juu Kusini ana Polo za kutosha anakalishwa na Mchina Zhongtong mega za New Force

Mchina sio wa kumchukulia poa kama wengi mnavyojiaminisha

Zilikuwepo Scania Irizar kanda ya ziwa wamejifia wamemwacha Ally's na tena enzi hizo alikuwa na Kinglong
 
Muulize Sauli kule nyanda za juu Kusini ana Polo za kutosha anakalishwa na Mchina Zhongtong mega za New Force

Mchina sio wa kumchukulia poa kama wengi mnavyojiaminisha

Zilikuwepo Scania Irizar kanda ya ziwa wamejifia wamemwacha Ally's na tena enzi hizo alikuwa na Kinglong
Kwa huko sina comment mkuu
 
Back
Top Bottom