NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Usibishane toa elimu na mada hawakosekanagi japo hayupo anaewalipa.C919 tangu izinduliwe tayari wana order za ndege 1061
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usibishane toa elimu na mada hawakosekanagi japo hayupo anaewalipa.C919 tangu izinduliwe tayari wana order za ndege 1061
Wabongo wanataka wapande wasafiri tu wafike salama.Kwani wananunua mabasi mkuu.?Polo ni balaa kubwa ila ndio hivyo mchina anachange dizaini kila leo
Wabongo wengi ni washamba hawajui vitu quality
Ruti ya mwanza-dar nilikua napenda kupanda ally's juzi hapa nimepanda katarama aiseee msweedeni ni umeme
Watu wanataka kusafiri zio kushindanisha, ni wangapi wanajua speed.Na siyo uwezo tu hata Bei hizo youtong 58 elfu ajijafika thamani diamler 32 elfu. Polo uwezi linganisha na mchina. Watu wanaleta ushabiki maandazi tu
Ukoloni umetuingia mpaka kuna kipindi tunaona wivu na chuki kwa yeyote ampitae mzungu.Wavumilie mkuu.Nikuulize kitu
Mjapan ametawala kwa miaka mingi kwenye soko la magari. Je, teknolojia aliipata wapi?
Samsung anakimbiza kwenye simu za mkononi je, Mkorea Kusini aliipata wapi hiyo teknolojia?
Kwa nini ikiwa China watu wengi ndio huwa mnaanza kusema amecopy?
Huwa nashindwa kuelewa
Nakuelewa chifuUkoloni umetuingia mpaka kuna kipindi tunaona wivu na chuki kwa yeyote ampitae mzungu.Wavumilie mkuu.
Labda scania ziliisha sokoni.Kwa nini mkurugenzi alibadilisha kutoka Scania kwenda Yutong?
Tunasema mchina ana copy sana kwa sababu zifuatazo:
![]()
Jaguar Land Rover wins case in China against Evoque copycat
Jaguar Land Rover won a legal victory and compensation after a court in China ruled that the Jiangling's Landwind X7 SUV was too similar to the Range Rover Evoque.europe.autonews.com
![]()
Humvee clone manufacturing in China - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
![]()
Dead ringers: History of the Chinese copycat car | Autocar
The Chinese motor industry is fond of a copycat car or two. We look at the most outrageous exampleswww.autocar.co.uk
Naweza kutoa mifano mingi tu. Nenda kariakoo uone copycats kibao za wachina.
Mada inasemaje wakuu, mada ni mchina kuongoza kuuza mabasi.Ushindani wameleta akina cha asubuhi.Sasa nani anadhaulisha mwenzake.Mtoa mada kasema mchina ameongoza kuuza mabasi.Tunaidharaurisha JF
Kwenye kombe la dunia la 2022 FIFA iliingia mkataba na chuma za Higer na Yutong ndio zilitumika kubeba mashabiki na wachezajiHata hizi gar tunazoagiza kutoka japan hasa toyota na kampuni zingine, zingekuwa ndo used kutoka china, sidhani kama kuna gari ingekaa miaka mitatu bila kuiweka juu ya mawe. Afrika ndipo soko la mchina lilipo.
Mchina amesadia kupunguza gharama ila kwenye ubora bado hajazingatia bus zao nyepesi sana ndio hizi zikiwa mwendo kidogo tuu zinapepea Road...Halafu mtu anamsifu mchina mbele ya huyu msweden.
Hela za mkatabaGari kama unamunua pepo.
Unajua kampuni la allys linawamiliki wangapi au nikuache kama ulivyo[emoji1787][emoji1787]Ally's ana akili ya biashara
Dar to Mwanza ni kipande kirefu lazima chuma inahitaji service ndio maana unaona Ally's ana chuma za kutosha
Dar-Mza ni kipande chuma inazimwa kwa masaa (5-6) kwa siku, Katarama kila siku ziko barabarani naamini service inayopigwa ni kishkaji tu
Kwanini chuma isiteme bungo[emoji23][emoji1537], tupa geuka si nzuri kwa afya ya gari yoyote ile iwe Msedwen au Mchina. Ndio maana umeona jana Katarama imetaga Dom na ina miezi 8 tu tangu iingie road
Akajifunze kwa Sauli wa Mbeya ana Polo za kutosha ili chuma zipate service.
Nyie wanazi msifieni ujinga huyo Muhaya muda si mrefu anatepeta atamuacha Ally's anaendeleza ufalme wake kanda ya ziwa
Tatizo lako unaleta ushabiki.. unashangaa gari kuharibika seriously[emoji1787] hio gari itapona itarudi barabarani kama kawa siku ukiiona buti zimeanza kupishana kama allys ile vvip nishitueAlly's ana akili ya biashara
Dar to Mwanza ni kipande kirefu lazima chuma inahitaji service ndio maana unaona Ally's ana chuma za kutosha
Dar-Mza ni kipande chuma inazimwa kwa masaa (5-6) kwa siku, Katarama kila siku ziko barabarani naamini service inayopigwa ni kishkaji tu
Kwanini chuma isiteme bungo[emoji23][emoji1537], tupa geuka si nzuri kwa afya ya gari yoyote ile iwe Msedwen au Mchina. Ndio maana umeona jana Katarama imetaga Dom na ina miezi 8 tu tangu iingie road
Akajifunze kwa Sauli wa Mbeya ana Polo za kutosha ili chuma zipate service.
Nyie wanazi msifieni ujinga huyo Muhaya muda si mrefu anatepeta atamuacha Ally's anaendeleza ufalme wake kanda ya ziwa
Mi namjua Amran ndiye mkurugenziUnajua kampuni la allys linawamiliki wangapi au nikuache kama ulivyo[emoji1787][emoji1787]
Ni suala la muda namba E polo imeanza kutaga kwa wanaozijua chuma hiyo ishara sio nzuriTatizo lako unaleta ushabiki.. unashangaa gari kuharibika seriously[emoji1787] hio gari itapona itarudi barabarani kama kawa siku ukiiona buti zimeanza kupishana kama allys ile vvip nishitue
[emoji1787][emoji1787] Siwezi kufika huko mkuu kuna mambo hauwezi kuambiwa na hao vijana wa standMi namjua Amran ndiye mkurugenzi
Hebu tupe list ya wamiliki mkuu tuwafahamu
Basi huna unalojua boss[emoji1787][emoji1787] Siwezi kufika huko mkuu kuna mambo hauwezi kuambiwa na hao vijana wa stand
Elezea tu kiongoziUnajua kampuni la allys linawamiliki wangapi au nikuache kama ulivyo[emoji1787][emoji1787]
Huyo amran unaweza kumuelezea hata kwa dakka moja? Wewe baki kwenye ushabiki tu huko hapakuhusuBasi huna unalojua boss