Baraka Mina
JF-Expert Member
- Sep 3, 2020
- 586
- 590
Hakuna tatizo kama kila mmoja atazingatia maslahi ya pande zote.Ikiwa ni mwendelezo wa ziara ya kiserikali ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan nchini China.
Leo tarehe 03 Novemba 2022, China imesamehe baadhi ya madeni ya Tanzania.
View attachment 2406015
View attachment 2406016
View attachment 2406017
yah akili ming kwako kiongoziWachina sio MAFALA mpaka wasamehe bure pesa Yao kila mtu anajua kilichompeleka Samia China ni mkataba wa bandari ya bagamoyo na gesi ya mtwara kwakifupi nchi amepewa mchina tayari pia kuna mikataba mingine mingi Tanzania imeingia na China.
tumeshapigwa tayari acha watuzuge kusamehe madeni.
Weka wazi mkuuWachina sio MAFALA mpaka wasamehe bure pesa Yao kila mtu anajua kilichompeleka Samia China ni mkataba wa bandari ya bagamoyo na gesi ya mtwara kwakifupi nchi amepewa mchina tayari pia kuna mikataba mingine mingi Tanzania imeingia na China.
tumeshapigwa tayari acha watuzuge kusamehe madeni.
Nenda kakomenti facebook kule siyo huku kwa great thinkers.Hakika Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania Tunayopaswa Kujivunia Na kuiheshimu, Amejenga Imani kwa kila mtu juu ya Tanzania yetu, kila mtu na kila Taifa kwa Sasa linatamani kushirikiana na Tanzania, Kila mtu anajiona Fahari kuwa na ukaribu wa kibiashara na Tanzania, Tanzania ya Nyerere kidiplomasia imerejeshwa na Rais Samia, Ni Kama Nyerere amezaliwa ndani ya Mama Samia, Tuendelee kutegemea makubwa kutoka kwa Rais Samia katika kuvutia wawekezaji watakao Leta fursa za ajira kwetu vijana
Toa ushahidi tumepigwaje. Vinginevyo wewe ndio utakuwa FA*##la. Watu mpo kuzusha tu hata uhakika wa uzushi haupo. Hii Tabia acheni bwanaWachina sio MAFALA mpaka wasamehe bure pesa Yao kila mtu anajua kilichompeleka Samia China ni mkataba wa bandari ya bagamoyo na gesi ya mtwara kwakifupi nchi amepewa mchina tayari pia kuna mikataba mingine mingi Tanzania imeingia na China.
tumeshapigwa tayari acha watuzuge kusamehe madeni.
Hapo jua tumeliwa na kuuzwa kwa mchina, mda utaongea zaidiIkiwa ni mwendelezo wa ziara ya kiserikali ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan nchini China.
Leo tarehe 03 Novemba 2022, China imesamehe baadhi ya madeni ya Tanzania.
Sambamba na hilo; Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa China Xi Jinping wameshuhudia utiaji saini mikataba 15 ya kimkakati hii leo jijini Beijing inayolenga kuimarisha ushirikiano, biashara na uwekezaji baina ya nchi hizo mbili.
View attachment 2406015
View attachment 2406016
View attachment 2406017
Hivi nyie watu haya maneno mnakuwa mnayatoleaga wapi?? Yaani mtu unaongea kabisa ukiwa na uhakika asilimia mia moja kama vile ulikuwepo.Wachina sio MAFALA mpaka wasamehe bure pesa Yao kila mtu anajua kilichompeleka Samia China ni mkataba wa bandari ya bagamoyo na gesi ya mtwara kwakifupi nchi amepewa mchina tayari pia kuna mikataba mingine mingi Tanzania imeingia na China.
tumeshapigwa tayari acha watuzuge kusamehe madeni.
Wewe ndio nenda huko Facebook unakoshinda wewe ili utaachie sisi huku tunakotumia Uhuru wetu kutoa mawazo yako, nenda Facebook ndio ukachaguage aina ya mawazo unayoyataka wewe na usiyoyataka na kuwataka uwa block ili wabaki wanao fanana akili na weweNenda kakomenti facebook kule siyo huku kwa great thinkers.