China yasamehe baadhi ya madeni ya Tanzania

China yasamehe baadhi ya madeni ya Tanzania

Hakika Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania Tunayopaswa Kujivunia Na kuiheshimu, Amejenga Imani kwa kila mtu juu ya Tanzania yetu, kila mtu na kila Taifa kwa Sasa linatamani kushirikiana na Tanzania, Kila mtu anajiona Fahari kuwa na ukaribu wa kibiashara na Tanzania, Tanzania ya Nyerere kidiplomasia imerejeshwa na Rais Samia, Ni Kama Nyerere amezaliwa ndani ya Mama Samia, Tuendelee kutegemea makubwa kutoka kwa Rais Samia katika kuvutia wawekezaji watakao Leta fursa za ajira kwetu vijana
Rubbish
 
Ikiwa ni mwendelezo wa ziara ya kiserikali ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan nchini China.

Leo tarehe 03 Novemba 2022, China imesamehe baadhi ya madeni ya Tanzania.

Sambamba na hilo; Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa China Xi Jinping wameshuhudia utiaji saini mikataba 15 ya kimkakati hii leo jijini Beijing inayolenga kuimarisha ushirikiano, biashara na uwekezaji baina ya nchi hizo mbili.

View attachment 2406015
View attachment 2406016

View attachment 2406017
Wachina hao naowajua mim wanaomiliki yale mabonanza 🤣🤣🤣
 
Hapo jua tumeliwa na kuuzwa kwa mchina, mda utaongea zaidi
Wivu umewachanganya baada ya kuona mama Samia akifanikiwa wakati maombi yenu Ni kutaka ashindwe lakini kwa bahati Nzuri Ni kuwa Mwenyezi Mungu yupo upande wa Rais Samia na watanzania wenye mapenzi mema na nchi hii
 
Ikiwa ni mwendelezo wa ziara ya kiserikali ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan nchini China.

Leo tarehe 03 Novemba 2022, China imesamehe baadhi ya madeni ya Tanzania.

Sambamba na hilo; Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa China Xi Jinping wameshuhudia utiaji saini mikataba 15 ya kimkakati hii leo jijini Beijing inayolenga kuimarisha ushirikiano, biashara na uwekezaji baina ya nchi hizo mbili.

View attachment 2406015
View attachment 2406016

View attachment 2406017
China wametusamehe bilioni 31 tu aisee, wache utani
 
Hivi nyie watu haya maneno mnakuwa mnayatoleaga wapi?? Yaani mtu unaongea kabisa ukiwa na uhakika asilimia mia moja kama vile ulikuwepo.

Nyie watu huwa mnanishangaza sana. Yakija kuwakuta ya kuwakuta mnaanza kulia lia
So kwamba watu wanaongea hawana ushahidi mfano kipindi cha JK mwanae alisamehewa kesi yake ya madawa ya kulevya China unadhan ilikuwa kizembe zembe kuna vitu alitoa
 
Vizuri,ila tujiandae kwenye hifadhi zetu na mbuga....vinapenda nyama ivo vinguchiro balaa
 
1446634139814.jpg
 
Wivu umewachanganya baada ya kuona mama Samia akifanikiwa wakati maombi yenu Ni kutaka ashindwe lakini kwa bahati Nzuri Ni kuwa Mwenyezi Mungu yupo upande wa Rais Samia na watanzania wenye mapenzi mema na nchi hii
Unataka ashindwe zaidi alivyoshindwa, kuongoza nchi na kuimba taarab ni vitu viwili tofauti
 
Unataka ashindwe zaidi alivyoshindwa, kuongoza nchi na kuimba taarab ni vitu viwili tofauti
Huyu ndio Rais aliyefanikiwa ndani ya muda mfupi Sana kujenga uchumi wa nchi unaogusa maisha ya mtanzania, kila mtu anaguswa na maendeleo makubwa ya uchumi wetu,
 
Ikiwa ni mwendelezo wa ziara ya kiserikali ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan nchini China.

Leo tarehe 03 Novemba 2022, China imesamehe baadhi ya madeni ya Tanzania.

Sambamba na hilo; Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa China Xi Jinping wameshuhudia utiaji saini mikataba 15 ya kimkakati hii leo jijini Beijing inayolenga kuimarisha ushirikiano, biashara na uwekezaji baina ya nchi hizo mbili.

View attachment 2406015
View attachment 2406016

View attachment 2406017
Wachina sio watu wazuri kabisa, sio wa kuchekea wale
 
Ikiwa ni mwendelezo wa ziara ya kiserikali ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan nchini China.

Leo tarehe 03 Novemba 2022, China imesamehe baadhi ya madeni ya Tanzania.

Sambamba na hilo; Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa China Xi Jinping wameshuhudia utiaji saini mikataba 15 ya kimkakati hii leo jijini Beijing inayolenga kuimarisha ushirikiano, biashara na uwekezaji baina ya nchi hizo mbili.

View attachment 2406015
View attachment 2406016

View attachment 2406017
Kwangu mimi hapo kwenye kupunguza masharti na kupanua wigo wa soko la parachichi ndio nimepapenda.
 
Mikataba 15 yenye kumnufaisha mchina kwa kusamehewa sehemu ya deni yenye thamani ya bilioni 31.4 Duh.viongozi wa Africa wamelaaniwa
Hizo ni kodi ya siku nzima tu mkoa wa Dar es salaaam? Hii nchi ina vilaza wengi sana
 
Back
Top Bottom