Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 6,438
- 10,180
Taifa joga unamaanisha nini!? Joga ni nini?nafkiri China ndio taifa joga zaidi duniani
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taifa joga unamaanisha nini!? Joga ni nini?nafkiri China ndio taifa joga zaidi duniani
coward nation
Jibu wataleta jumapili baada ya misaa ya kwanza wataenda jumuiya kwa Mama onesmo kisha watakuja na tamko teule ,ila nahisi yohana aliwai chanja mbuga mmpka Taiwan hii inawapa uteule watu wa TaiwanHaya wazee WA dini, uwanja Ni wenu
Twambueni vitabu vyenu vinasemaje khs Hii Vita ya china na taiwani. Nani atakua mshindi.
Nani abarikiwe na nani alaaniwe ili maandiko yatimie😀
Afu nmeskia pia kule N.KOREA vs S. Korea nao tayari wamekiwasha😊
Kwa sisi watu wa kariakoo tuta pray for guan Zhou tukiongozwa na juma jux pingHa ha ha....hakutakua na pray for Taiwan😀
Unadhani yakiondoka yataenda wapi?China, hata siku moja, haiwezi kukubali kupigana au kuwekewa vikwazo na mataifa ya Magharibi.
Mataifa ya Magharibi ndiyo yaliyoifanya China ifike hapo ilipo. China imeishi kwenye uchumi wa kubabaisha kwa miaka mingi. Ni baada ya kupokea ushauri wa mataifa ya Magharibi, na kukubali kubinafsisha shughuli nyingi za kiuchumi na biashara, na Mataifa mengi ya Magharibi kuwekeza heavily China, ndipo uchumi wa China ulipaa na kukua mfulululizo kwa 12% kwa mwaka, kwa miaka kadhaa. Mpaka leo kuna makampuni zaidi ya milioni 1 ya kutoka mataifa ya Magharibi nchini China. Makampuni hayo yote yakiondoka mara moja kwa sababu ya vita, uchumi wa China utayumba vibaya sana, na China haitaki kabisa hilo litokee.
Nadhani Hawa jamaa wameoanga hii ishu ili kumshinda US maana hata kama ni kuuza silaha , sidhani kama ana stock ya kutoshaMkuu maisha sio kukariri vitu vingi vinatokea vya kushangaza ambovo watu hatukutegemea kama vitafanyika
Mda huu China kaona ni sahihi kwake kufanya hivi maana Taiwan inategemea ulinzi wa US .marekani yuko Israel na Ukraine na hapo taiwn anapewa mzigo mwingine tena