China yasema ipo tayari kwa vita, yaizingira Taiwan

China yasema ipo tayari kwa vita, yaizingira Taiwan

Nlikaa na mhindi mmoja akasema China hapendwi huko Asia Kwa sera zake za kujitanua
Yaani umekaa na sunili shetty mmoja tuh alaf unaona umepata habari ya uhakika
Hayo ni mawazo yake
 
endeleen kufurahia vita za wenzenu soon yatakuja kwenu na muendelee kufurahia hvy hvy mana ni jambo jema
 
Hukuwai sikia fununu za mlima Kilimanjaro au ? Au ujui upande mmoja wa mlima uko Kenya
Mimi nimeuliza. Hayo umesema wewe kuwa upande mmoja wa mlima Kilimanjaro upo Kenya.

.Kwa tulioishi na wakenya hatupati shida kuwaelewa hata kidogo.
 
China ya sasa sio Japan ya zamani wala China ya zamani.
Kamsikilize Bi.Ursula Vonder Leyen umsikie kuhusu ukubwa wa China duniani.
China ni taifa kubwa in economic and millitary capabilities.
Wanasema watu ni mtaji, kutokana na idadi ya watu walionao kwa ujumla jeshi litakuwa na watu wengi.
 
Umeambiwa lete speech ya Putin akisema hayo ,we unaleta maneno waliosema wanahabari wako .hayo maneno hajawai yasema Putin maana tangu mwanzo mwa smo ushahid wa hayo maneno haujawai letwa hapa ..
Kila mkiambiwa mnaruka ruka kama pop corn
Atakayeleta ushahidi huo aweke na ac namba yake ya crdb nimtumie 1 milion .
 
Jeshi la China limesema lipo tayari kukishughulikia kisiwa cha Taiwan. Linakirudisha kisiwa chake kilichoasi na imeshapeleka zana vita eneo la oparation.....meli na ndege vita kuzunguka kisiwa chote

BREAKING ⚡🚨 Chinese army Helicopter monitoring in Taiwan to warn US and #Taiwan joint forces.

🚨 Chinese Global Times - There are no Taiwan on the earth.

🚨 China says, #US should remove it's forces from Taiwanese territory.

View attachment 3124417
WATU WAMETENGENEZA NA KUNUNUA SILA MIAKA NENDA RUDI HAZINA KAZI SASA WANATKA KUZI-TEST
 
Mataifa makubwa yajifunze Kwa vita vya Ukraine na Russia. Usidharau UDOGO WA TAIFA. Kibaya zaidi, population ya China NI kubwa mno na Taiwan ilivyo,haikopeshi kama Ukraine. Wao wanapigwa na kupiga. Ukirusha bomu popote pale china,vifo na majeruhi NI maelfu Kwa sababu ya wingi wap WA watu. Pili,INDIA anaangalia!!!
Tukiweka mbali ushabiki,kiuhalisia China siku ikiamua,inauwezo wa kuiteka Taiwan ndani ya masaa 6,na kuifanya kuwa mmoja kati ya mikoa yake.
 
Haya wazee WA dini, uwanja Ni wenu

Twambueni vitabu vyenu vinasemaje khs Hii Vita ya china na taiwani. Nani atakua mshindi.

Nani abarikiwe na nani alaaniwe ili maandiko yatimie😀

Afu nmeskia pia kule N.KOREA vs S. Korea nao tayari wamekiwasha😊
 
China, hata siku moja, haiwezi kukubali kupigana au kuwekewa vikwazo na mataifa ya Magharibi.

Mataifa ya Magharibi ndiyo yaliyoifanya China ifike hapo ilipo. China imeishi kwenye uchumi wa kubabaisha kwa miaka mingi. Ni baada ya kupokea ushauri wa mataifa ya Magharibi, na kukubali kubinafsisha shughuli nyingi za kiuchumi na biashara, na Mataifa mengi ya Magharibi kuwekeza heavily China, ndipo uchumi wa China ulipaa na kukua mfulululizo kwa 12% kwa mwaka, kwa miaka kadhaa. Mpaka leo kuna makampuni zaidi ya milioni 1 ya kutoka mataifa ya Magharibi nchini China. Makampuni hayo yote yakiondoka mara moja kwa sababu ya vita, uchumi wa China utayumba vibaya sana, na China haitaki kabisa hilo litokee.
Mbali na uwekezaji, bado China soko lake kuu linalomlipa ni Ulaya na US.
 
Back
Top Bottom