NGOSWE2
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 1,323
- 1,608
Wakenya watataka nini nao?Yaani ni swala la muda tuu, lazima liitake kagera🤣
.
Misri nayo vipi? Maana maji yanawatoa roho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakenya watataka nini nao?Yaani ni swala la muda tuu, lazima liitake kagera🤣
Yaani umekaa na sunili shetty mmoja tuh alaf unaona umepata habari ya uhakikaNlikaa na mhindi mmoja akasema China hapendwi huko Asia Kwa sera zake za kujitanua
Hukuwai sikia fununu za mlima Kilimanjaro au ? Au ujui upande mmoja wa mlima uko KenyaWakenya watataka nini nao?
.
Misri nayo vipi? Maana maji yanawatoa roho
Mimi nimeuliza. Hayo umesema wewe kuwa upande mmoja wa mlima Kilimanjaro upo Kenya.Hukuwai sikia fununu za mlima Kilimanjaro au ? Au ujui upande mmoja wa mlima uko Kenya
Tamaa kile kisiwa teknolojia imewekezwa sana lazima uoga uwajae na kijicho.China anashangaza sana.
Kwani ni Lazima Taiwan iwe sehemu yake.
Wanasema watu ni mtaji, kutokana na idadi ya watu walionao kwa ujumla jeshi litakuwa na watu wengi.China ya sasa sio Japan ya zamani wala China ya zamani.
Kamsikilize Bi.Ursula Vonder Leyen umsikie kuhusu ukubwa wa China duniani.
China ni taifa kubwa in economic and millitary capabilities.
Sio tu quantity ya infantry hata vifaa pia wako vizuri.Wanasema watu ni mtaji, kutokana na idadi ya watu walionao kwa ujumla jeshi litakuwa na watu wengi.
Atakayeleta ushahidi huo aweke na ac namba yake ya crdb nimtumie 1 milion .Umeambiwa lete speech ya Putin akisema hayo ,we unaleta maneno waliosema wanahabari wako .hayo maneno hajawai yasema Putin maana tangu mwanzo mwa smo ushahid wa hayo maneno haujawai letwa hapa ..
Kila mkiambiwa mnaruka ruka kama pop corn
ThubutuuuSahiv ni mwendo wa kunyang'anyana maeneo tu. Soon utasikia lile toto la Mseven linasema linaitaka kagera yake 😆
WATU WAMETENGENEZA NA KUNUNUA SILA MIAKA NENDA RUDI HAZINA KAZI SASA WANATKA KUZI-TESTJeshi la China limesema lipo tayari kukishughulikia kisiwa cha Taiwan. Linakirudisha kisiwa chake kilichoasi na imeshapeleka zana vita eneo la oparation.....meli na ndege vita kuzunguka kisiwa chote
BREAKING ⚡🚨 Chinese army Helicopter monitoring in Taiwan to warn US and #Taiwan joint forces.
🚨 Chinese Global Times - There are no Taiwan on the earth.
🚨 China says, #US should remove it's forces from Taiwanese territory.
View attachment 3124417
Naongeza nyingine hapa 1 m nayakutolea.Atakayeleta ushahidi huo aweke na ac namba yake ya crdb nimtumie 1 milion .
Tukiweka mbali ushabiki,kiuhalisia China siku ikiamua,inauwezo wa kuiteka Taiwan ndani ya masaa 6,na kuifanya kuwa mmoja kati ya mikoa yake.Mataifa makubwa yajifunze Kwa vita vya Ukraine na Russia. Usidharau UDOGO WA TAIFA. Kibaya zaidi, population ya China NI kubwa mno na Taiwan ilivyo,haikopeshi kama Ukraine. Wao wanapigwa na kupiga. Ukirusha bomu popote pale china,vifo na majeruhi NI maelfu Kwa sababu ya wingi wap WA watu. Pili,INDIA anaangalia!!!
Comment yako tunaihifadhi
Ha ha ha....hakutakua na pray for Taiwan😀Hii ndio Vita ambayo hamtoeka udini maana kuna watu hamnazo humu jukwaani ,,
Mbali na uwekezaji, bado China soko lake kuu linalomlipa ni Ulaya na US.China, hata siku moja, haiwezi kukubali kupigana au kuwekewa vikwazo na mataifa ya Magharibi.
Mataifa ya Magharibi ndiyo yaliyoifanya China ifike hapo ilipo. China imeishi kwenye uchumi wa kubabaisha kwa miaka mingi. Ni baada ya kupokea ushauri wa mataifa ya Magharibi, na kukubali kubinafsisha shughuli nyingi za kiuchumi na biashara, na Mataifa mengi ya Magharibi kuwekeza heavily China, ndipo uchumi wa China ulipaa na kukua mfulululizo kwa 12% kwa mwaka, kwa miaka kadhaa. Mpaka leo kuna makampuni zaidi ya milioni 1 ya kutoka mataifa ya Magharibi nchini China. Makampuni hayo yote yakiondoka mara moja kwa sababu ya vita, uchumi wa China utayumba vibaya sana, na China haitaki kabisa hilo litokee.
Waiteke kutoka kwa nani wakati tayari Zanzibar ni Koloni la Tangayika tangu mwaka 1964. Halina Jeshi.Tena hata haupotezi hata risasi, tunachukua wamasai na bakora tu. Mnawaambia wamasai mkiiteka zanzibar inakuwa yenu. Chapu tuuu