Nlikaa na mhindi mmoja akasema China hapendwi huko Asia Kwa sera zake za kujitanuaSoma historia wale walikuwa nchi moja ndugu na china anatakiwa achukue nchi nyingi tu jirani zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nlikaa na mhindi mmoja akasema China hapendwi huko Asia Kwa sera zake za kujitanuaSoma historia wale walikuwa nchi moja ndugu na china anatakiwa achukue nchi nyingi tu jirani zake
Watu Wana haki ya kuchagua kujitenga iwapo hawaridhishwi na serikali kuuu na serikali kuu haitak jirekebishaKwa hiyo kwa sababu huko nyuma ilifanyika hivyo kwa uzembe wao unataka naye China aone sawa tu
Nani anataka kujitenga ?Watu Wana haki ya kuchagua kujitenga iwapo hawaridhishwi na serikali kuuu na serikali kuu haitak jirekebisha
Ndio ni lazima kwaChina anashangaza sana.
Kwani ni Lazima Taiwan iwe sehemu yake.
Sas itabid mama samia achole raman mpya😂😛Yaani ni swala la muda tuu, lazima liitake kagera🤣
😂😂😂Haha China bhana😀
Wamevizoa Marekani ipo kwenye kampeni ndio wameanza kujimwambafai😂
Umeelewa nilichoandika lakini? Unaelewa asili ya mgogoro wao vizuri!?Unazungumzia miaka 24 wakati mgogoro unazaidi ya miaka 70 hao matajiri asilimia 90 wataje hapa ?
Usijidanganye China kwa sasa inajitegemea kwa viwanda na technology kwa zaidi ya 90% makampuni ya nje Yana soko kubwa China kwahiyo uwekezaji wao kwa china ni kwa faida Yao siyo faida ya China kwa sasa.China, hata siku moja, haiwezi kukubali kupigana au kuwekewa vikwazo na mataifa ya Magharibi.
Mataifa ya Magharibi ndiyo yaliyoifanya China ifike hapo ilipo. China imeishi kwenye uchumi wa kubabaisha kwa miaka mingi. Ni baada ya kupokea ushauri wa mataifa ya Magharibi, na kukubali kubinafsisha shughuli nyingi za kiuchumi na biashara, na Mataifa mengi ya Magharibi kuwekeza heavily China, ndipo uchumi wa China ulipaa na kukua mfulululizo kwa 12% kwa mwaka, kwa miaka kadhaa. Mpaka leo kuna makampuni zaidi ya milioni 1 ya kutoka mataifa ya Magharibi nchini China. Makampuni hayo yote yakiondoka mara moja kwa sababu ya vita, uchumi wa China utayumba vibaya sana, na China haitaki kabisa hilo litokee.
Nauelewa vizuri sana toka kuanza kuchipukia ukomunisti China na kuanzishwa chama cha kikomunisti katika jamhuri ya China 1921 kitu ambacho Kuomitang walikuwa kinyume nacho.Umeelewa nilichoandika lakini? Unaelewa asili ya mgogoro wao vizuri!?
Ujinga tu wawekezaji wa kwanza kuja China wala hawakuwa mataifa ya magharibi hata nchi zinazo ongoza kuwekeza China sio za magharibi.China, hata siku moja, haiwezi kukubali kupigana au kuwekewa vikwazo na mataifa ya Magharibi.
Mataifa ya Magharibi ndiyo yaliyoifanya China ifike hapo ilipo. China imeishi kwenye uchumi wa kubabaisha kwa miaka mingi. Ni baada ya kupokea ushauri wa mataifa ya Magharibi, na kukubali kubinafsisha shughuli nyingi za kiuchumi na biashara, na Mataifa mengi ya Magharibi kuwekeza heavily China, ndipo uchumi wa China ulipaa na kukua mfulululizo kwa 12% kwa mwaka, kwa miaka kadhaa. Mpaka leo kuna makampuni zaidi ya milioni 1 ya kutoka mataifa ya Magharibi nchini China. Makampuni hayo yote yakiondoka mara moja kwa sababu ya vita, uchumi wa China utayumba vibaya sana, na China haitaki kabisa hilo litokee.
Kwani Zanzibar iko tanganyika?Nashangaa tanganyika inaiacha Zanzibar inajimwambafy tuu
Iko zanzibar sasa inatakiwa ikwapuliwe nzima nzima iwe wilaya kama mafia ndani ya TANGANYIKAKwani Zanzibar iko tanganyika?
Umeambiwa lete speech ya Putin akisema hayo ,we unaleta maneno waliosema wanahabari wako .hayo maneno hajawai yasema Putin maana tangu mwanzo mwa smo ushahid wa hayo maneno haujawai letwa hapa ..Ni kwamba unajitoa ufahamu au?
From day 1 alikataa kuiita invasion yake kuwa ni full scale war akidai ni Special Military Operation (SMO) tena alifikiri ingechukua 72 Hrs.
West wakampa offer Zelensk ya kumtorosha,yeye akadai nipeni silaha na the rest is history, ni kinawaka kweli kweli jeshi lililosemekana ni la pili duniani limepigishwa drills za hatari sana.
Hilo dubwana lisilo na sumu limeisaida Africa kuliko huyo dubwana wako mwenye sumuChina ni dubwana kubwa lisilona sumu
Mkuu maisha sio kukariri vitu vingi vinatokea vya kushangaza ambovo watu hatukutegemea kama vitafanyikaHiyo ni mikwara tuu hakuna siku China itarusha hata kombora moja kuelekea Taiwan
Mwaka 2000 nilikuwa Taiwan.. Mikwara ilikuwa heavy mpaka ikabidi wageni tuondoke usiku kuelekea Japan
Kufika kule kuna Mjapan akasema matajiri wa china asilimia 90 ni wataiwan na ndio walio ibust China kiuchumi hivyo hawatakaa waiguse hiyo nchi.. Nyie kesho rudini Taipei kwa amani maana hakuna vita
Ni miaka 24 imepita China hajawahi kuigusa Taiwan ila kwa mikwara tu hawajambo
Yaani ww una udini na ukabila pia ,,roho mbaya na chuki hazikusaidii kitu mkuu hatujuani ila kwa comment zako zinaonyesha tabia yakoDunia hii haitakaa itawaliwe na watu wanaoongea lugha zisizojulikana na ambao hata pesa zao hazijulikani.