China yasema ipo tayari kwa vita, yaizingira Taiwan

China yasema ipo tayari kwa vita, yaizingira Taiwan

Kwa hiyo kwa sababu huko nyuma ilifanyika hivyo kwa uzembe wao unataka naye China aone sawa tu
Watu Wana haki ya kuchagua kujitenga iwapo hawaridhishwi na serikali kuuu na serikali kuu haitak jirekebisha
 
US sasa sijui ishike wapi iache wapi, hapo Taiwan, kushoto Ukraine, kulia Middle East, usije kushangaa North Korea na yeye anaanza zake, lakini US ninavyowafahamu hapo watatumia diplomasia, hao jamaa huwa hawakurupuki, karata ikiwa ngumu huwa wanakuwa wana diplomasia wazuri sana.
 
China, hata siku moja, haiwezi kukubali kupigana au kuwekewa vikwazo na mataifa ya Magharibi.

Mataifa ya Magharibi ndiyo yaliyoifanya China ifike hapo ilipo. China imeishi kwenye uchumi wa kubabaisha kwa miaka mingi. Ni baada ya kupokea ushauri wa mataifa ya Magharibi, na kukubali kubinafsisha shughuli nyingi za kiuchumi na biashara, na Mataifa mengi ya Magharibi kuwekeza heavily China, ndipo uchumi wa China ulipaa na kukua mfulululizo kwa 12% kwa mwaka, kwa miaka kadhaa. Mpaka leo kuna makampuni zaidi ya milioni 1 ya kutoka mataifa ya Magharibi nchini China. Makampuni hayo yote yakiondoka mara moja kwa sababu ya vita, uchumi wa China utayumba vibaya sana, na China haitaki kabisa hilo litokee.
Usijidanganye China kwa sasa inajitegemea kwa viwanda na technology kwa zaidi ya 90% makampuni ya nje Yana soko kubwa China kwahiyo uwekezaji wao kwa china ni kwa faida Yao siyo faida ya China kwa sasa.
 
Umeelewa nilichoandika lakini? Unaelewa asili ya mgogoro wao vizuri!?
Nauelewa vizuri sana toka kuanza kuchipukia ukomunisti China na kuanzishwa chama cha kikomunisti katika jamhuri ya China 1921 kitu ambacho Kuomitang walikuwa kinyume nacho.

Harakati za mapinduzi za wakomunisti, kuanzishwa kwa vita vya wenyewe toka miaka ya 1920s kwenda 1930s mpaka 1940s ilipo zaliwa jamhuri ya watu wa China ya wakomunisti Beijing na Jamhuri ya China kukimbizwa toka Nanjing China mpaka huko Taiwan mpaka leo hii wanaishi huko.

Unataka zaidi ?

Swali langu lipo pale pale taja hao matajiri asilimia zaidi ya 90 acha blah blah
 
China, hata siku moja, haiwezi kukubali kupigana au kuwekewa vikwazo na mataifa ya Magharibi.

Mataifa ya Magharibi ndiyo yaliyoifanya China ifike hapo ilipo. China imeishi kwenye uchumi wa kubabaisha kwa miaka mingi. Ni baada ya kupokea ushauri wa mataifa ya Magharibi, na kukubali kubinafsisha shughuli nyingi za kiuchumi na biashara, na Mataifa mengi ya Magharibi kuwekeza heavily China, ndipo uchumi wa China ulipaa na kukua mfulululizo kwa 12% kwa mwaka, kwa miaka kadhaa. Mpaka leo kuna makampuni zaidi ya milioni 1 ya kutoka mataifa ya Magharibi nchini China. Makampuni hayo yote yakiondoka mara moja kwa sababu ya vita, uchumi wa China utayumba vibaya sana, na China haitaki kabisa hilo litokee.
Ujinga tu wawekezaji wa kwanza kuja China wala hawakuwa mataifa ya magharibi hata nchi zinazo ongoza kuwekeza China sio za magharibi.
 
Ni kwamba unajitoa ufahamu au?

From day 1 alikataa kuiita invasion yake kuwa ni full scale war akidai ni Special Military Operation (SMO) tena alifikiri ingechukua 72 Hrs.

West wakampa offer Zelensk ya kumtorosha,yeye akadai nipeni silaha na the rest is history, ni kinawaka kweli kweli jeshi lililosemekana ni la pili duniani limepigishwa drills za hatari sana.
Umeambiwa lete speech ya Putin akisema hayo ,we unaleta maneno waliosema wanahabari wako .hayo maneno hajawai yasema Putin maana tangu mwanzo mwa smo ushahid wa hayo maneno haujawai letwa hapa ..
Kila mkiambiwa mnaruka ruka kama pop corn
 
Hiyo ni mikwara tuu hakuna siku China itarusha hata kombora moja kuelekea Taiwan
Mwaka 2000 nilikuwa Taiwan.. Mikwara ilikuwa heavy mpaka ikabidi wageni tuondoke usiku kuelekea Japan
Kufika kule kuna Mjapan akasema matajiri wa china asilimia 90 ni wataiwan na ndio walio ibust China kiuchumi hivyo hawatakaa waiguse hiyo nchi.. Nyie kesho rudini Taipei kwa amani maana hakuna vita
Ni miaka 24 imepita China hajawahi kuigusa Taiwan ila kwa mikwara tu hawajambo
Mkuu maisha sio kukariri vitu vingi vinatokea vya kushangaza ambovo watu hatukutegemea kama vitafanyika
Mda huu China kaona ni sahihi kwake kufanya hivi maana Taiwan inategemea ulinzi wa US .marekani yuko Israel na Ukraine na hapo taiwn anapewa mzigo mwingine tena
 
Dunia hii haitakaa itawaliwe na watu wanaoongea lugha zisizojulikana na ambao hata pesa zao hazijulikani.
Yaani ww una udini na ukabila pia ,,roho mbaya na chuki hazikusaidii kitu mkuu hatujuani ila kwa comment zako zinaonyesha tabia yako
Ukristo ulionao haujakufunza upendo maana unachuki za kijinga kweli
 
Back
Top Bottom