China yasema ipo tayari kwa vita, yaizingira Taiwan

China yasema ipo tayari kwa vita, yaizingira Taiwan

Jeshi la China limesema lipo tayari kukishughulikia kisiwa cha Taiwan. Linakirudisha kisiwa chake kilichoasi na imeshapeleka zana vita eneo la oparation.....meli na ndege vita kuzunguka kisiwa chote

BREAKING ⚡🚨 Chinese army Helicopter monitoring in Taiwan to warn US and #Taiwan joint forces.

🚨 Chinese Global Times - There are no Taiwan on the earth.

🚨 China says, #US should remove it's forces from Taiwanese territory.

View attachment 3124417
Wamekuwa wakifanya hivi mara nyingi
 
Russia ilimeguka.

Sudan pia.

Hakuna ajabu Taiwan ikiamua kuwa hivyo ilivyo.
Kwa hiyo kwa sababu huko nyuma ilifanyika hivyo kwa uzembe wao unataka naye China aone sawa tu
 
Jeshi la China limesema lipo tayari kukishughulikia kisiwa cha Taiwan. Linakirudisha kisiwa chake kilichoasi na imeshapeleka zana vita eneo la oparation.....meli na ndege vita kuzunguka kisiwa chote

BREAKING ⚡🚨 Chinese army Helicopter monitoring in Taiwan to warn US and #Taiwan joint forces.

🚨 Chinese Global Times - There are no Taiwan on the earth.

🚨 China says, #US should remove it's forces from Taiwanese territory.

View attachment 3124417
Hiyo ni mikwara tuu hakuna siku China itarusha hata kombora moja kuelekea Taiwan
Mwaka 2000 nilikuwa Taiwan.. Mikwara ilikuwa heavy mpaka ikabidi wageni tuondoke usiku kuelekea Japan
Kufika kule kuna Mjapan akasema matajiri wa china asilimia 90 ni wataiwan na ndio walio ibust China kiuchumi hivyo hawatakaa waiguse hiyo nchi.. Nyie kesho rudini Taipei kwa amani maana hakuna vita
Ni miaka 24 imepita China hajawahi kuigusa Taiwan ila kwa mikwara tu hawajambo
 
Hiyo ni mikwara tuu hakuna siku China itarusha hata kombora moja kuelekea Taiwan
Mwaka 2000 nilikuwa Taiwan.. Mikwara ilikuwa heavy mpaka ikabidi wageni tuondoke usiku kuelekea Japan
Kufika kule kuna Mjapan akasema matajiri wa china asilimia 90 ni wataiwan na ndio walio ibust China kiuchumi hivyo hawatakaa waiguse hiyo nchi.. Nyie kesho rudini Taipei kwa amani maana hakuna vita
Ni miaka 24 imepita China hajawahi kuigusa Taiwan ila kwa mikwara tu hawajambo
Comment yako tunaihifadhi
 
Jeshi la China limesema lipo tayari kukishughulikia kisiwa cha Taiwan. Linakirudisha kisiwa chake kilichoasi na imeshapeleka zana vita eneo la oparation.....meli na ndege vita kuzunguka kisiwa chote

BREAKING ⚡🚨 Chinese army Helicopter monitoring in Taiwan to warn US and #Taiwan joint forces.

🚨 Chinese Global Times - There are no Taiwan on the earth.

🚨 China says, #US should remove it's forces from Taiwanese territory.

View attachment 3124417
Nilijua karne ya 21 itakuwa karne ya watu wastaarabu bila mavita vita kumbe ni tofauti. Basi kumbe madikteta kama Hitler wanaweza kuibuka nao katika karne hii hii!
 
haikopeshi
Mnanishangazaga Ukraine Bila NATO asingepigana hata wiki 1,ogopa san mrusi Bado anateka tu vijiji karbia DONOBUS yote imechukuliwa..Hakuna mbwa yeyote WA magharibi atapigana na Russia alone


Na baada ya hii Vita duni itaheshikiana,tumetoka kwenye unpolar ( USA) na bipolar ( USA +Eu) Sasa tunaenda multpolar Russia,china na India....Dunia mpya inakuja
 
Back
Top Bottom