Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii lugha gani? Umetumia maneno ya kiingereza but sijui ulitaka kumaanisha niniI'm interesting to China.
Sasa na huyu bi mdashi itakuaje yule waziri wa ulinzi hata binocular aliigeuza itakuaje?Yaani ni swala la muda tuu, lazima liitake kagera🤣
Wewe jamaa ndio huelew, mwenzako kacheza karata kali sana hapo kama ww2 tuu alikuwa kimya kaz yake kuuza silaha na chakula, ona sasa hiv jins kamsogezea russia mfupa ukrain anabanana nao, yy anauza silaha ametulia kwake, middle east yeye katulia anauza silaha soon utasikia china kabanana na ndugu yake taiwan yeye anauza silaha ama unazan ukisikia msaada wajua ni bure bureHuuu mwaka marekani atabanwa kote kote kama alivozoea kuwabana wenzake na nato yake
Mataifa makubwa yajifunze Kwa vita vya Ukraine na Russia. Usidharau UDOGO WA TAIFA. Kibaya zaidi, population ya China NI kubwa mno na Taiwan ilivyo,haikopeshi kama Ukraine. Wao wanapigwa na kupiga. Ukirusha bomu popote pale china,vifo na majeruhi NI maelfu Kwa sababu ya wingi wap WA watu. Pili,INDIA anaangalia!!!Jeshi la China limesema lipo tayari kukishughulikia kisiwa cha Taiwan. linakirudisha kisiwa chake kilicho asi na imeshapeleka zana vita eneo la oparation.....meli na ndege vita kuzunguka kisiwa chote
BREAKING ⚡🚨 Chinese army Helicopter monitoring in Taiwan to warn US and #Taiwan joint forces.
🚨 Chinese Global Times - There are no Taiwan on the earth.
🚨 China says, #US should remove it's forces from Taiwanese territory.
Hapo Ukraine unaona Russia kashindwa?Mataifa makubwa yajifunze Kwa vita vya Ukraine na Russia. Usidharau UDOGO WA TAIFA. Kibaya zaidi, population ya China NI kubwa mno na Taiwan ilivyo,haikopeshi kama Ukraine. Wao wanapigwa na kupiga. Ukirusha bomu popote pale china,vifo na majeruhi NI maelfu Kwa sababu ya wingi wap WA watu. Pili,INDIA anaangalia!!!
Na halishindwi lile, akili zake anazijua mwenyeweSahiv ni mwendo wa kunyang'anyana maeneo tu. Soon utasikia lile toto la Mseven linasema linaitaka kagera yake 😆
😂😂Hii ndio Vita ambayo hamtoeka udini maana kuna watu hamnazo humu jukwaani ,,
Mchina nilimtoa maanani kipindi kile alichochimba biti kuwa Spika wa bunge la Marekani asitue Taiwan. Wajuba wakatua, jamaa akaufyata kama sio yeye.Haha China bhana😀
Wamevizoa Marekani ipo kwenye kampeni ndio wameanza kujimwambafai😂
FactNa sisi tukainyakue Zanzibar Kwa nguvu na tuweke viongozi wote wa Tanganyika kuanzia mwenyekiti wa mtaa,mbunge,mkuu wa wilaya,Ded,Ras na mkuu wa mkoa na tuifanye mkoa wa Tanganyika ili tumalize kero za muungano
Tumia akili taiwani ni china toka zamani au ujui historia..pia kuiacha taiwani kama ilivyo ni kumweka adui USA mlangoni mwa nchi yake .China anashangaza sana.
Kwani ni Lazima Taiwan iwe sehemu yake.
Tena hilo ndo kabisa,muda utaongea tuSahiv ni mwendo wa kunyang'anyana maeneo tu. Soon utasikia lile toto la Mseven linasema linaitaka kagera yake 😆
Nimetumia akili ila inaelekea mawazo yangu hayajakufurahisha na hilo sio kosa.Tumia akili tsiwani ni china toka zamani au ujui historia..pia kuiacha taiwani kama ilivyo ni kumweka adui USA mlangoni mwa nchi yake .
Endelea kutumia akili bado sana akili zako ni kiduchuNimetumia akili ila inaelekea mawazo yangu hayajakufurahisha na hilo sio kosa.
Wewe ndio unashangaza kwa kukosa akiliChina anashangaza sana.
Kwani ni Lazima Taiwan iwe sehemu yake.
Na mimi nakushangaa usivyokuwa na akili.Wewe ndio unashangaza kwa kukosa akili