Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unashangaa China mbali sana huko CCM tu hapa Tanzania haitaki Zanzibar ijitenge.China anashangaza sana.
Kwani ni Lazima Taiwan iwe sehemu yake.
Hapo ni maswala ya Uchumi,anajua akiichukua Taiwan uchumi utapanda maradufu...China anashangaza sana.
Kwani ni Lazima Taiwan iwe sehemu yake.
Kwani ni lazima zanzibar iwe sehemu ya tanganyika?China anashangaza sana.
Kwani ni Lazima Taiwan iwe sehemu yake.
Kesi mbili tofauti.Unashangaa China mbali sana huko CCM tu hapa Tanzania haitaki Zanzibar ijitenge.
Mkuu TAIWANI ni sehemu ya kimkakati kwa TECH Ni km ARUSHA itake kujitenga ni kamkoa kadogo lakini ni muhimu sana kwa TANZANIAChina anashangaza sana.
Kwani ni Lazima Taiwan iwe sehemu yake.
Hiyo haiondoi ukweli kuwa CCM haitakubali Zanzibar ijitenge.. kama una akili utakua umenielewaKesi mbili tofauti.
Nchini ya Arusha wakishavuta BangeMkuu TAIWANI ni sehemu ya kimkakati kwa TECH Ni km ARUSHA itake kujitenga ni kamkoa kadogo lakini ni muhimu sana kwa TANZANIA
nafkiri China ndio taifa joga zaidi dunianiJeshi la China limesema lipo tayari kukishughulikia kisiwa cha Taiwan. linakirudisha kisiwa chake kilicho asi na imeshapeleka zana vita eneo la oparation.....meli na ndege vita kuzunguka kisiwa chote
BREAKING ⚡🚨 Chinese army Helicopter monitoring in Taiwan to warn US and #Taiwan joint forces.
🚨 Chinese Global Times - There are no Taiwan on the earth.
🚨 China says, #US should remove it's forces from Taiwanese territory.
Na sisi tukainyakue Zanzibar Kwa nguvu na tuweke viongozi wote wa Tanganyika kuanzia mwenyekiti wa mtaa,mbunge,mkuu wa wilaya,Ded,Ras na mkuu wa mkoa na tuifanye mkoa wa Tanganyika ili tumalize kero za muungano
Alisema NI operation ya cku Sana!Hapo Ukraine unaona Russia kashindwa?
Vita ni timing tu,,kama wakifanya kweli marekani atakua kwenye wakati mgumu sana, hizo front zote kuzisimamia sio rahisi na kumbuka yatapigana mataifa makubwa,,,,Ukraine haijamalizika, bado Israel na Iran inanukia,,,msipokaa vizuri kiduku nae anaweza akaliamsha kwa mwenzie wa kusiniHaha China bhana😀
Wamevizoa Marekani ipo kwenye kampeni ndio wameanza kujimwambafai😂
Anasema na kutendaHii Dunia mwanaume ni Urusi TU.
USA sio kama warabuni mazee!Huuu mwaka marekani atabanwa kote kote kama alivozoea kuwabana wenzake na nato yake