Fredwash
JF-Expert Member
- Oct 27, 2009
- 1,400
- 2,010
Sahiv ni mwendo wa kunyang'anyana maeneo tu. Soon utasikia lile toto la Mseven linasema linaitaka kagera yake 😆
au tupate chiz wetu mmoja na sie tuseme burundi na rwanda zetu😂😂.. zinaingizwa kama mikoa Mipya