Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What's the source of this news because it's likely to be another script from masjid ubwabwa. Most of the fake news of this nature emanates from the muslim's religious places where there is a strong anti American sentiments among the Mohammedan followers.Wapo mstari wa mbele mda huu.
🚨Update: Chinese PLA Army, Navy and Air Forces are surrounding Taiwan, cutting it off from the world! Tens of thousands of troops, hundreds of fighter jets and dozens of warships have been deployed….
Dunia hii haitakaa itawaliwe na watu wanaoongea lugha zisizojulikana na ambao hata pesa zao hazijulikani.Mnanishangazaga Ukraine Bila NATO asingepigana hata wiki 1,ogopa san mrusi Bado anateka tu vijiji karbia DONOBUS yote imechukuliwa..Hakuna mbwa yeyote WA magharibi atapigana na Russia alone
Na baada ya hii Vita duni itaheshikiana,tumetoka kwenye unpolar ( USA) na bipolar ( USA +Eu) Sasa tunaenda multpolar Russia,china na India....Dunia mpya inakuja
Pole Sanaa,labda hujui historia,wayunani,waajemi,waamedi,warumi,Anatolia walitawala hii sukia na washaanguka,Sasa hivi wazungu wanafunga viwanda vya magari mchina anawapeleka sana na magari ya umeme Kwa bei rahisi,huku wao wakipigania ushoga china wanazalisha engineers 4m Kila mwaka utafika Kipindi Huwezi Jenga barabara,reli,nyumba and etc Bila mchina miaka 50 ijayo ulaya itaanguka vibaya sana tupo hapanaaaa eti lugha na PESA akii za li CCM hizizisizojulikana
Nashangaa tanganyika inaiacha Zanzibar inajimwambafy tuuSahiv ni mwendo wa kunyang'anyana maeneo tu. Soon utasikia lile toto la Mseven linasema linaitaka kagera yake 😆
SawasawaComment yako tunaihifadhi
Same story, same reason but different enemiesKesi mbili tofauti.
Ni hii ndo chanzo cha migogoro mingi dunia mfano Saudi hata akiamua kuwaua raia zake yeye kwake ni sawa ila iran hata akiandamana tu mwananchi CNN na BBC wanaweza kupata uchambuzi na coverage hata ya week mojaUjinga ameleta USA, ametaka kuwa leader alafu anakuwa na double standerd na masilahi kibao. Ujinga huo mwamba Putin hawezi akaukubali
Tunasubiri uchaguzi upite, mwamba afanye maamuzi magumu; hizi kauli tumezikosa muda mrefu
View: https://www.youtube.com/watch?v=lK8gYGg0dkE
Unazungumzia miaka 24 wakati mgogoro unazaidi ya miaka 70 hao matajiri asilimia 90 wataje hapa ?Hiyo ni mikwara tuu hakuna siku China itarusha hata kombora moja kuelekea Taiwan
Mwaka 2000 nilikuwa Taiwan.. Mikwara ilikuwa heavy mpaka ikabidi wageni tuondoke usiku kuelekea Japan
Kufika kule kuna Mjapan akasema matajiri wa china asilimia 90 ni wataiwan na ndio walio ibust China kiuchumi hivyo hawatakaa waiguse hiyo nchi.. Nyie kesho rudini Taipei kwa amani maana hakuna vita
Ni miaka 24 imepita China hajawahi kuigusa Taiwan ila kwa mikwara tu hawajambo
Watu gani ?Dunia hii haitakaa itawaliwe na watu wanaoongea lugha zisizojulikana na ambao hata pesa zao hazijulikani.
Tena hata haupotezi hata risasi, tunachukua wamasai na bakora tu. Mnawaambia wamasai mkiiteka zanzibar inakuwa yenu. Chapu tuuuNa sisi tukainyakue Zanzibar Kwa nguvu na tuweke viongozi wote wa Tanganyika kuanzia mwenyekiti wa mtaa,mbunge,mkuu wa wilaya,Ded,Ras na mkuu wa mkoa na tuifanye mkoa wa Tanganyika ili tumalize kero za muungano
China, hata siku moja, haiwezi kukubali kupigana au kuwekewa vikwazo na mataifa ya Magharibi.Nae kaona apigepige biti kaona wenzie wanakiwasha
Hapo Marekani anahusikaj ? Marekani kukemea ujangiri wa china usiwe sababu yakumvisha yanayoendelea Huko AsiaHuuu mwaka marekani atabanwa kote kote kama alivozoea kuwabana wenzake na nato yake
Biden anaondokawatampa uchizi Biden hawa
Mifano Yako haifanani , Taiwan Ina rais , je Kuna sehemu nyingine ndani ya China Ina serikali yake mbali na Hong Kong na Mongolia maeneo yaliyomezwa na ChinaMkuu TAIWANI ni sehemu ya kimkakati kwa TECH Ni km ARUSHA itake kujitenga ni kamkoa kadogo lakini ni muhimu sana kwa TANZANIA