China yasema ipo tayari kwa vita, yaizingira Taiwan

Jibu wataleta jumapili baada ya misaa ya kwanza wataenda jumuiya kwa Mama onesmo kisha watakuja na tamko teule ,ila nahisi yohana aliwai chanja mbuga mmpka Taiwan hii inawapa uteule watu wa Taiwan
 
Mchina akipigwa bomu moja tu anarudisha mkia tobo, anakumbuka alivyoanguka na namna alivyopambana kurudi hapo alipo.
 
Unadhani yakiondoka yataenda wapi?
 
Nadhani Hawa jamaa wameoanga hii ishu ili kumshinda US maana hata kama ni kuuza silaha , sidhani kama ana stock ya kutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…