China yatangaza kuiunga mkono Russia, yailaumu Marekani kusababisha mzozo wa Ukraine, yasema Urusi imelazimika kujilinda

China yatangaza kuiunga mkono Russia, yailaumu Marekani kusababisha mzozo wa Ukraine, yasema Urusi imelazimika kujilinda

China imetangaza kuiunga mkono Russia, huku ikiilaumu Marekani kwa kusababisha mzozo wa Ukraine na hata kuvamiwa kwa Ukraine (na Urusi).

Msemaji wa wizara ya mambo ya nje wa China amesema Marekani imekuwa ikituma silaha za kivita nchini Ukraine, ikatengeneza hali ya hofu na paniki (kwa Urusi, jirani wa Ukraine), na ikawa pia yafanya vitisho vya vita. Hali hiyo hatimae iliifanya Russia kutambua kuwa usalama wake upo hatarini na hivyo kulazimika kuchukua hatua za kujilinda mapema.
======


China has stood by Russia, accusing the US of causing the invasion in Ukraine.

The state-run Global Times said Washington "“finally forced Russia to try to realise its security demands in such a way".

GB News' Isabel Webster also tweeted this morning: "Chinese Foreign Ministry says they 'do not recognise' foreign reports of a Russian invasion in Ukraine."

Chinese foreign ministry spokeswoman Hua Chunying said Washington “keeps sending weapons to Ukraine, creating fear and panic and even playing up the threat of war”.

Chinese ministry spokesman, Wang Wenbin, said: “China is closely monitoring the evolving situation in Ukraine. China’s position on the Ukraine issue is consistent.

"The legitimate security concerns of any country should be respected, and the purposes and principles of the UN Charter should be jointly upheld.”
Naposema me ntamuunga mkono PUTIN nna maana yangu, sio kwa faida yangu lakn ntasimama kama navofanya kwa SIMBA na CHEALSE maake hili nalo ni aina nyingine ya michezo iliyoanzishwa na mwanadamu kwa KIVULI cha MUNGU
 
Urusi inahitaji ni msaada wa tik tok tuu wala sio kijeshi kwan anakaadhibu Katoto kake na mtoto kwa baba hakui jaman
 
Duuuuh [emoji15][emoji1787][emoji1787].

Kwa hiyo Urusi ,China hakuna maisha mazuri anayopaswa kuishi binadamu ?!!![emoji15][emoji1787]

Starehe ,Kazi ,Bata ,huduma za kijamii zimejaa tele na supaaaa....

Haya mkuu kila la heri hapo peponi Chicago [emoji106]
[emoji16][emoji16][emoji16]Wana aminishwa ujinga na wao Wana Amini
 
[emoji81]Urusi ana zidi kuingizwa cha kike story itabakia kwa Usa vs China ..mchina hawezi saidia chochote kuhusiana na vita
China ni ya tatu kwa nguvu kijeshi ukiitoa Russia na USA
 
#BIG:[emoji599] Russia ready to negotiate Ukraine's surrender: Kremlin

#RussiaUkraineConflict
 
Sasa Waaafrika tuutumie huu mwanya wa 3WW kujiimarisha na kuwa ma great power.

Vinginevyo tutaendelea kuwa watumwa miaka nenda uje
😀 😀 😀 Viongozi wetu wenyewe kila siku viguru na njia kwenda kutembeza babuli kwa mabeberu.
 
Iraq wants to sign a contract with Russian state gas giant Gazprom Neft to offer the company better conditions for the development of the Badra field in eastern Iraq in the near future.
 
Iraq wants to sign a contract with Russian state gas giant Gazprom Neft to offer the company better conditions for the development of the Badra field in eastern Iraq in the near future.
 
Magu angekuwepo angeomba kupeleka jeshi Ukraine kupambana na Russia maana alikuwa anajiamini na kila kitu
 
[emoji81]Urusi ana zidi kuingizwa cha kike story itabakia kwa Usa vs China ..mchina hawezi saidia chochote kuhusiana na vita
Mrusi ndiye mwanaume pekee anaeweza kusimama peke yake sisi tuendelee kupokea misaada ya vyandarua na arv kaa kimya
 
Magu angekuwepo angeomba kupeleka jeshi Ukraine kupambana na Russia maana alikuwa anajiamini na kila kitu
Sio kweli,
Magu na wamarekan Ni paka na panya.

Magu alikua na instincts za kisoshalisti, Hapa Lazima Angelika upande wa Putin,Noth korea na China.
 
Sisi labda tuwe great powers tukifa maana ndio huwa tunabadilika na kuwa mizimu. Wazungu wakifa wanapumzika sisi bado tunakuwa re-used
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]duh leo nimecheka, we jamaa wewe!
Hapana bwana wanaokuwa mizimu wasio muamini Mungu
Duh ,nimecheka jmn
 
Sasa China anawezaje kuipinga Russia wakati kilichofanyika kina tofauti ndogo ila ni kilekile na kesi ya Taiwan au Hong Kong kwa China. Ni sawa na nikikuhakikishia hutokaa usikie serikali ya Uingereza inaunga mkono watu wa jimbo la Cataluna wanavyotaka kujitenga na Spain kwa vile UK nayo inaweza kumbwa na hitaji la watu wa Ireland au Scotland kujitenga.

Yani hutosikia mfano Tanzania inaunga mkono mojawapo ya kisiwa cha Shelisheli kujitenga wakati Zanzibar ina vuguvugu la chini kwa chini. Na nchi zenye Veto power huwa zinawekeana reserve ya kuteteana hata kama kitu ni kibaya. George Bush Jr. na Tony Blair si waliingia Iraq kinyume cha Baraza la Usalama la UN wakienda kutafuta silaha ambazo hazipo. Nani aliwahi funguliwa kesi?

Yemen si inashambuliwa na Saudi Arabia kupambana na waasi ili kurudisha serikali ambayo ni Saudi Arabia tu inaitaka kisa wote ni Wasunni, nani atailazimisha Saudia iache. Ikitokea WW3 miaka kadha baadae watu watakuwa wanasoma historia jinsi UN ilivyokuwa weak
At least umenifungua kiasi
It makes sense[emoji848]
 
Back
Top Bottom