hahaha dini eti dini yao ya kimila "Buddhism ni dini yakimila na uislam ni mila za kiarabu" discusshii ilifanyika mwaka 2017, 2018 na 2019 ambapo waliona hiyo sehemu ya kaskazini ina Waislam wengi sana na misikiti mingi na watu hawafuati tena Dini yao ya Kimila.
Hivyo wanasiasa waliamua misikiti isikae karibu karibu (iliyopo karibu iunganishwe uwe mmoja - kwa kuvunja mingine)
Lakini lengo likiwa ni kuvutia watoto na Vijana warudi kwenye Dini yao ya Kimila
Hizo nchi zimelaaniwaHongera China kwa hiki mnachokifanya, hakika nchi yenu itabaki na amani kwa kudumisha tamaduni na dini zenu.
Endeleeni na hizohizo dini zenu za Confucianism and Buddhism, waachieni waarabu na tamaduni zao.
Chinese authorities have decommissioned, closed down, demolished, and converted mosques for secular use as part of the government's efforts to restrict the practice of Islam. The authorities have removed Islamic architectural features, such as domes and minarets, from many other mosques.
Maya Wang, the acting China director at Human Rights Watch, said the "closure, destruction and repurposing of mosques is part of a systematic effort to curb the practice of Islam in China."
Mfano mmoja kati ya misikiti mingi ilibomolewa/kubadilishwa na serikali ya China kwa matumizi ya kiserikali.
Before👇
View attachment 2872615
After👇
View attachment 2872616
Huku misikiti mengine ikibadilishwa na kuwa Public toilets.
View attachment 2872619
Link👇;
Systematic Uighur Oppression: China Demolishes Mosque, Builds Public Toilet In Its Place
I can't write everything, for more information go to these websites;
Clashes at ancient China mosque over planned demolition
China closing hundreds of mosques in northern regions, rights group says
China: Mosques Shuttered, Razed, Altered in Muslim Areas.
Wamelaaniwa hao na athari yake ni kubwa utajaona muda mfupi ujaoHongera sana china mmeona mbali
Yani wewe iweke vyovyote utavyoiweka.hii ilifanyika mwaka 2017, 2018 na 2019 ambapo waliona hiyo sehemu ya kaskazini ina Waislam wengi sana na misikiti mingi na watu hawafuati tena Dini yao ya Kimila.
Hivyo wanasiasa waliamua misikiti isikae karibu karibu (iliyopo karibu iunganishwe uwe mmoja - kwa kuvunja mingine)
Lakini lengo likiwa ni kuvutia watoto na Vijana warudi kwenye Dini yao ya Kimila
Dini zipo hadi mwisho wa dunia.Asante kwa kutuelezea dini zilitokea wapi, je unaweza kuchambua dini zinaenda wapi? Yani baada ya miaka 1000 ijayo hali itakuwaje?
Kwa mtazamo wangu uislam utatawala Dunia, ukriso utakufa.
Ulifanya tafiti na kuhakikisha ni 5%?Ndio hao asilimia 5 sasa! Wengine wote ni vibagalashia
Ndo mnavyojifarijiDini zipo hadi mwisho wa dunia.
Waislamu lazima usali msikitini,Ukristo hata online tu unasali thus ulaya wameamia kusali online
kikubwa sio maandiko,,,ishu ni lifestyle..............tena wale wa misimamo mikali ndo wanaenda kupotea kabisa wanabaki wale wa leo msikitini baadae kwenye viti virefu baaHiyo kitu haiwezekan kwenye uislam, uzuri Quran ishakamilisha Kila kitu na Muhammad ndiye mtume wa mwisho, akijitokeza mtu kama Mwamposa kwenye uislam asubuhi tu mtamkuta amening'inizwa
HAwa western converts kuna miaka huko mbele watu watakuja kulaumiana tukikubwa sio maandiko,,,ishu ni lifestyle..............tena wale wa misimamo mikali ndo wanaenda kupotea kabisa wanabaki wale wa leo msikitini baadae kwenye viti virefu baa
dini ni problemDini hazileti umasikini
Mzee😅Hilo si shida. Hata rais wako wa nchi yako akipita barabarani unakaa kama hata masaa 6 hukatishi barabarani
Hata Uarabuni sehemu nyingi hakuna uhuru huo wa kuabudu.Wachina wakatili sana kwa dini zote organized.
Acheni kudanganya watu😅 Kung Fu is grounded in the philosophy of Taoism.Unafahamu kuwa Waislam ndiyo waliifikisha na kuifundisha Kung Fu China?
Tafsiri hasa ukiitumia vibayadini ni problem
Wamezitumia kuiba kwa kule walikozipeleka. Dini zimetumika kupumbaza waliozipokea ili kutajirisha waliozileta. Ndivyo ilivyoMbona zilipotoka wao sio masikin
Hata elimu ya kunywa mikojo ya ngamia imeanzia kwenu, kama mtume wenu alivowaambiaP.umba.vu hujui Kila aina ya elimu duniani imeanzia kwa waislam?
Umeongea point kubwa sanauislam unaenda kuharibiwa kama ulivyoharibiwa ukristo maana kwa sasa mmefocus kwenye quantity na sio quality na humohumo ndo vinega wakucheza na dini ndo wanamopitia
Ila wewe braza muongo sanaUnafahamu kuwa Waislam ndiyo waliifikisha na kuifundisha Kung Fu China?
Mzee hao wameruhusiwa kudanganya kama wanautetea uislamu, Muhammad mwenyew alisema "War is a deceit" unajua maana yake??Ila wewe braza muongo sana
China ni Marafiki wetu sisi ccm.Nadandia na sipati madhara. Umeshamponda? Umekumbuka kuiombea China? China ni Marafiki zetu.