China yawawekea vikwazo viongozi 28 wa Trump ndani yake yupo Mike Pompeo

China yawawekea vikwazo viongozi 28 wa Trump ndani yake yupo Mike Pompeo

Mara nyingi huwa namshukuru Mungu kwa kuliinua taifa la China
Haijalishi wamefikia wapi ila kikubwa wameleta mapindunzi ya uchumi na siasa duniani
Ni wakiukwaji wakubwa wa haki za binadamu.
 
Unategemea hiyo dependency unaiwekaje or in what context.
Na why dependency kwa china iyonekane mbaya , wakati b4 that we have been dependent to western countries
My point was due to dependency anyone can do anything and can get away with it
 
Ni wakiukwaji wakubwa wa haki za binadamu.
Uzuri au ubaya ni kwamba maneno ukiukwaji wa haki za binadamu yanatumika kwa baadhi ya nchi na baadhi ya matukio tuu huku nchi nyingine wakifanya ukiukwaji huohuo kwa kujihalalishia na bila kuulizwa
 
Uzuri au ubaya ni kwamba maneno ukiukwaji wa haki za binadamu yanatumika kwa baadhi ya nchi na baadhi ya matukio tuu huku nchi nyingine wakifanya ukiukwaji huohuo kwa kujihalalishia na bila kuulizwa
China mfungwa ana uwezo wa kuuliwa na organs zake kuuzwa na ndugu kutaarifiwa tu kuwa ndugu yao alifia jela. Hakuna nchi iliyofikia ukatili huo labda kule Afrika Mashariki matendo wanayotendewa wapinzani.
 
Nikuulize swali moja tuu,

HAO UNAOSEMA TUWASHUKURU LEO WAKATI WANAKUJA WALIWAKUTA WAAFRIKA WANAUANA KAMA WANAVYOANA SASA PALE DRC CHINI YA USIMAMIZI WAO?
Kabla ya mkoloni kulikuwa na vita vya kugombania empire kati ya mchief,watu waliuwana kwa wingi tu!Kasome historia!

Huko DRC wanapigana wenyewe kwa wenyewe,na kama kusingekuwa na majeshi ya UN basi hali imgekuwa mbaya zaidi na Pasingekalika!

Hebu angalia pamoja na matatizo kwemye nchi nyingi,ni wapi China imewahi kutoa mchango wa majeshi yake kwenda kulinda amani?China yenyewe inasubiri kupiga pesa tu,nyie malizaneni sio concern yao!

Dunia ingekuwa sehemu ya hatari kuishi kama kila taifa kubwa lingekuwa na sera kama za China!
 
China mfungwa ana uwezo wa kuuliwa na organs zake kuuzwa na ndugu kutaarifiwa tu kuwa ndugu yao alifia jela. Hakuna nchi iliyofikia ukatili huo labda kule Afrika Mashariki matendo wanayotendewa wapinzani.
Hii ya China ni ya wafungwa, Ile ya amerika ya abortion hadi 9months ambayo wale viumbe wakishatolewa wanamchukia organs zao tunaiongeleaje? Na wamarekani zaidi 100 wanaouwawa kwa kupigwa risasi kila siku suluhu itapatikana lini? Au ndio mpango wao wa kuuza silaha na ku control population?
 
Hii ya China ni ya wafungwa, Ile ya amerika ya abortion hadi 9months ambayo wale viumbe wakishatolewa wanamchukia organs zao tunaiongeleaje? Na wamarekani zaidi 100 wanaouwawa kwa kupigwa risasi kila siku suluhu itapatikana lini? Au ndio mpango wao wa kuuza silaha na ku control population?
Lakini abortion hulazimishwi na ni lazima ukubali mwenyewe. China unaweza kuwa mfungwa dakika yeyote na ukishakuwa mfungwa huna haki hata ya uhai wako.
 
Kabla ya mkoloni kulikuwa na vita vya kugombania empire kati ya mchief,watu waliuwana kwa wingi tu!Kasome historia!
Huko DRC wanapigana wenyewe kwa wenyewe,na kama kusingekuwa na majeshi ya UN basi hali imgekuwa mbaya zaidi na Pasingekalika!
Hebu angalia pamoja na matatizo kwemye nchi nyingi,ni wapi China imewahi kutoa mchango wa majeshi yake kwenda kulinda amani?China yenyewe inasubiri kupiga pesa tu,nyie malizaneni sio concern yao!Dunia ingekuwa sehemu ya hatari kuishi kama kila taifa kubwa lingekuwa na sera kama za China!

Vita za kugombea empires hazikua afrika tuu, zilikua dunia nzima.

Labda wewe uniambia ni bara gani hakukua na zile vita

Hakuna kitu U.N. wanafanya pale DRC zaidi ya kuigeuza Ile nchi kwa kujitengeneza ajira kupitia kuwalinda Mabeberu wanaoiba madini na kuwauzia silaha wana DRC ili waendelee kumalizana
 
Lakini abortion hulazimishwi na ni lazima ukubali mwenyewe. China unaweza kuwa mfungwa dakika yeyote na ukishakuwa mfungwa huna haki hata ya uhai wako.

Shida ndio inakuja hapo ambapo Mmarekani anamtetea mhalifu-mfungwa kuuwa kule China huku yeye Mmarekani akishindwa kuwaprotect watoto watoto waliofikisha umri wa kuzaliwa wanaonyanganywa uhai na serikali wakishirikiana na mama, na viungo vyake kuuzwa.

Huyohuyo Mmarekani kwa miaka sasa aameacha mauaji risasi kwa wananchi 100 yanayotokea kila siku yaendelee huku akiendelea kuwauzia wananchi wake silaha ili wazidi kuuana

Matumizi ya maneno haki za binadamu na demokrasia yasituondolee akili za kutathmini ukweli wa mambo
 
Vita za kugombea empires hazikua afrika tuu, zilikua dunia nzima.

Labda wewe uniambia ni bara gani hakukua na zile vita

Hakuna kitu U.N. wanafanya pale DRC zaidi ya kuigeuza Ile nchi kwa kujitengeneza ajira kupitia kuwalinda Mabeberu wanaoiba madini na kuwauzia silaha wana DRC ili waendelee kumalizana
Hizo ni hisia zako tu!Kuna sheria zimewekwa juu ya uuzwaji silaha,watu hununua silaha kupitia black market,jambo ambalo ni illegal!
Kwenye vikosi vya UN Congo,hata Tanzania tumo na tunalinda amani!Hayo mengine unayosema hayana ushahidi!
Sudani wana rasilimali gani?Angalia wanavyouwana!
Msimtafute mchawi,waafrica wengi tuna matatizo ya kiuongozi!
 
Tuna safari ndefu sana kufika kanani, hapa naona kwa akili yako fupi umeshuka nondo? Et USA haitegemei CHINA, are you serious?
Tatizo ni uelewa wako mdogo.Nimeandika "Marekani haiitegemei sana China kwa maendeleo kama Tanzania inavyoitegemea China.
Kama huwezi kuelewa jambo dogo kama hili,labda upo nje ya nchi,au unatetea ugali wako kwenye chama tawala.
 
Shida ndio inakuja hapo ambapo Mmarekani anamtetea mhalifu-mfungwa kuuwa kule China huku yeye Mmarekani akishindwa kuwaprotect watoto watoto waliofikisha umri wa kuzaliwa wanaonyanganywa uhai na serikali wakishirikiana na mama, na viungo vyake kuuzwa.

Huyohuyo Mmarekani kwa miaka sasa aameacha mauaji risasi kwa wananchi 100 yanayotokea kila siku yaendelee huku akiendelea kuwauzia wananchi wake silaha ili wazidi kuuana

Matumizi ya maneno haki za binadamu na demokrasia yasituondolee akili za kutathmini ukweli wa mambo
Haki ya mtoto inaanza pale mtoto anapozaliwa. Mtoto akiwa tumboni kama mzazi wake anaona hana uwezo wa kumtunza anaweza kutoa mimba. Hii ni tofauti ni kuua uhai wa binadamu ili organs na pesa kuingia serikalini.

Mfungwa anastahili haki zote kama binadamu wengine. China na marafiki zake hata kumpa mfungwa hewa safi wanaona ni privilege.
 
Kwa wale wasiofahamu makampuni ya marekani yamewekeza marekani kwa ajili ya unafuu wa gharama za uzalishaji.
 
Hapo jana tarehe 20 Jan. China imetangaza kuwawekea rasmi vikwanzo viongozi 28 walio kuwa kwenye serikali ya Trump.

Miongoni mwa viongozi hao ni Secretary of State anayemaliza Muda wake Mike Pompeo.

Pia viongozi wengine ni kama trade chief Peter Navarro, National Security Advisers Robert O'Brien na John Bolton, Health Secretary Alex Azar, U.N. ambassador Kelly Craft and former top Trump aide Steve Bannon.

Sanction hiyo ni pamoja na kutoruhusiwa kuingia China, Hong Kong na Macao.

Pia makampuni na mashirika yoyote yenye uhusiano na viongozi hao, hayata fanya biashara na China.

China wanasema Sanction hiyo ni kutokana na viongozi hao, kwa nyakati tofauti kuingilia na kutoa maneno machafu kuhusu Chine yenye lengo la kuichafua na kuiangusha kiuchumi.

=========

China imposes sanctions on 28 Trump-era officials including Pompeo​


By Cate Cadell and Tony Munroe

BEIJING (Reuters) - China said on Wednesday it wanted to cooperate with President Joe Biden's new U.S. administration, while announcing sanctions against "lying and cheating" outgoing Secretary of State Mike Pompeo and 27 other top officials under Donald Trump.

The move was a sign of China's anger, especially at an accusation Pompeo made on his final full day in office that China had committed genocide against its Uighur Muslims, an assessment that Biden's choice to succeed Pompeo, Anthony Blinken, said he shared.

In a striking repudiation of its relationship with Washington under Trump, the Chinese foreign ministry announced the sanctions in a statement that appeared on its website around the time that Biden was taking the presidential oath.

Pompeo and the others had "planned, promoted and executed a series of crazy moves, gravely interfered in China's internal affairs, undermined China's interests, offended the Chinese people, and seriously disrupted China-U.S. relations," it said.

The other outgoing and former Trump officials sanctioned included trade chief Peter Navarro, National Security Advisers Robert O'Brien and John Bolton, Health Secretary Alex Azar, U.N. ambassador Kelly Craft and former top Trump aide Steve Bannon.

The 28 ex-officials and immediate family members would be banned from entering mainland China, Hong Kong or Macao, and companies and institutions associated with them restricted from doing business with China.

Pompeo and others sanctioned did not respond to requests for comment. The U.S. State Department also did not respond.
Brian O'Toole, a sanctions expert at the Atlantic Council think tank, saw China's move as retaliatory and "political statements more than anything else."

"I suspect they will default to more of a case-by-case application than a well-defined restriction," he said.

China has imposed sanctions on U.S. lawmakers in the past year, but targeting former and outgoing U.S. officials was an unusual expression of disdain.

Pompeo, who unleashed a barrage of measures against China in his final weeks in office, declared on Tuesday that China had committed “genocide and crimes against humanity” against Uighur Muslims.

Blinken said on Tuesday he agreed with the assessment.

"The forcing of men, women and children into concentration camps; trying to, in effect, re-educate them to be adherents to the ideology of the Chinese Communist Party, all of that speaks to an effort to commit genocide," Blinken said.

China has repeatedly rejected accusations of abuse in its Xinjiang region, where a United Nations panel has said at least 1 million Uighurs and other Muslims had been detained in camps.

Responding to the Xinjiang allegations, Chinese foreign ministry spokeswoman Hua Chunying told a media briefing: "Pompeo has made so many lies in recent years, and this is just another bold-faced lie."

"This U.S. politician is notorious for lying and cheating, is making himself a laughing stock and a clown."

Hua said China hoped "the new administration will work together with China in the spirit of mutual respect, properly handle differences and conduct more win-win cooperation in more sectors."

"We hope the new U.S. administration can have their own reasonable and cool-minded judgment on Xinjiang issues, among other issues."

(Reporting by Cate Cadell, Tony Munroe, Ryan Woo and David Brunnstrom; Editing by Raju Gopalakrishnan and Lincoln Feast.)

Source: China imposes sanctions on 28 Trump-era officials including Pompeo
 
Nyie hamjui mwingiliano wa kibiashara uliopo kati ya China na makampuni ya kimarekeni ndio maana mnasema hivyo.
Kwani hao aliowawekea vikwazo vya visa wanaenda Marekani kufanya nini? Kama ni shopping watu wanaenda Dubai, India, China, nk
Pompeo anafanya biashara China sasa?
 
Tanzania tunafeli wapi....nasis tulianzishe😃😃
 
Tanzania tunafeli wapi....nasis tulianzishe[emoji2][emoji2]
Malaika mkuu, juzi kati tu alikuw anaomba tusamehewe madeni ya nyuma(ya zamani). Bado na mapya wanatudai hela mingi mzee baba, wametushika pabaya. Na bado miradi mingi hawa jamaa tutawakopa, makusanyo ya TRA ni Kwenye makaratasi na Media tu.
 
Malaika mkuu,juzi kati tu alikuw anaomba tusamehewe madeni ya nyuma(ya zamani).Bado na mapya wanatudai hela mingi mzee baba ,wametushika pabaya .Na bado miradi mingi hawa jamaa tutawakopa,makusanyo ya TRA ni Kwenye makaratasi na Media tu
Tunamuwekea Pompoya (Mike Pompeo) jambo jingine mkuu hebu shirikisha na ubongo wako kidogo, kuna miradi mingi ya viongozi wa USA hapa nchini kuanzia kwa Bush mdogo, Obama, nk! Shtuka, tunawza kuwawekea vikwazo vya kuwekeza hapa!
 
Back
Top Bottom