maswala ya familia yako yanaamuliwa na kaka yako mkubwa kweny familia yenu ? au uliomba uhuru kwa nan kuisimamia familia yako ? vitu vingine huitaj degree mbili kuelewaIpo huru toka lini na toka kwa nani ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maswala ya familia yako yanaamuliwa na kaka yako mkubwa kweny familia yenu ? au uliomba uhuru kwa nan kuisimamia familia yako ? vitu vingine huitaj degree mbili kuelewaIpo huru toka lini na toka kwa nani ?
Mpaka leo hawana hata huo mpango wa kuusaka huo uhuru unao uzungumzia wewe hapa.elewa raia wa China visiwani ( Taiwan ) yaan serikali yao bdo ina mamlaka ya kuchagua wasimame wap TAIFA HURU AU NDANI YA CHINA BARA , ila sio raia wa china bara ndo wawaamulie raia wa china visiwani
Jibu swali nililo kuuliza kuhusu Taiwan.maswala ya familia yako yanaamuliwa na kaka yako mkubwa kweny familia yenu ? au uliomba uhuru kwa nan kuisimamia familia yako ? vitu vingine huitaj degree mbili kuelewa
Unadhani nimeandika bila kufahamu. Wataiwani wengi sasa hivi hawataki kuisikia China. ni kama bara wanavyoing'ang'ania Zanzibar.Raia gani wengine wanao nga'ang'aniwa ?
Official name ya Taiwan ni Republic of China.
Mgogoro huu wa Taiwan historia yake fupi unaifahamu ?
Kama hawataki kuisikia China waanze kwanza kuiondoa China katika kila kitu chao kitu ambacho hawataki mpaka leo.Unadhani nimeandika bila kufahamu. Wataiwani wengi sasa hivi hawataki kuisikia China. ni kama bara wanavyoing'ang'ania Zanzibar.
Vitu vingine inatakiwa wala usitumie akili. Kama wanaipenda China huo mgogoro wao na China unatokana na nini? Kwa nini wananunua silaha na kujihami wa uvamizi wa China?Kama hawataki kuisikia China waanze kwanza kuiondoa China katika kila kitu chao kitu ambacho hawataki mpaka leo.
Sasa sijui hili la kuwa hawataki kuisikia China umeamua kuandika kujifurahisha tu unajua mwenyewe.
Hakuna comedy ndio uhalisia wa dunia iliyojaa unyang'auComedy
Kabla ya kuniuliza hivyo jiulize kwa nini kwa mara ya kwanza walipigana wao kwao mpaka kuzaliwa serikali mbili katika nchi moja ambazo ugomvi wao hawaukumaliza mpaka leo.Vitu vingine inatakiwa wala usitumie akili. Kama wanaipenda China huo mgogoro wao na China unatokana na nini? Kwa nini wananunua silaha na kujihami wa uvamizi wa China?
Hakuna sehemu ambayo raia wa eneo fulani katika nchi fulani hawataki kujitenga na sehemu husika Tanzania Zanzibar Kenya pale Mombasa Canada kule cubec marekani pale kama sijakosea San Francisco Uingereza pale Ireland niendelee au yanatosha na hawajawahi kuachiwa hawa hata siku moja kwa nini iwe China tuuuuKama wa-taiwan wenyewe hawataki kwa nini walazimishwe? Nashangaa China ni nchi kubwa na ina raia kibao lakini bado inang'ang'ania sehemu nyingine.
Makampuni ya marekani ya silaha yanagiza components za utengenezaji silaha toka China.China ana Leverage gani kwenye Makampuni ya Silaha ya Marekani?! Au Boycott...
Taiwan ipi ipo huruweka vikwazo vinavyohusiana na ww na sio unajivalisha koti la jiran , China hana haki ya kumpangia Taiwan maana Taiwan ipo huru
We take case by case. Kuna wahuni na kuna wenye hoja.Hakuna sehemu ambayo raia wa eneo fulani katika nchi fulani hawataki kujitenga na sehemu husika Tanzania Zanzibar Kenya pale Mombasa Canada kule cubec marekani pale kama sijakosea San Francisco Uingereza pale Ireland niendelee au yanatosha na hawajawahi kuachiwa hawa hata siku moja kwa nini iwe China tuuuu
Nani muhuni na nani mwenye hoja ?We take case by case. Kuna wahuni na kuna wenye hoja.
Hujui lolote wewe ni huu ushabiki wa kibongo bongo tu unaleta hapa. Huijui dunia wewe.Kabla ya kuniuliza hivyo jiulize kwa nini kwa mara ya kwanza walipigana wao kwao mpaka kuzaliwa serikali mbili katika nchi moja ambazo ugomvi wao hawaukumaliza mpaka leo.
Nimekusaidia kujibu historia ya mgogoro huu kwa ufupi
Wenye hoja ni wale wenye hoja na wahuni ni wale wahuni.Nani muhuni na nani mwenye hoja ?
Wenye hoja kwako kwa wengine wanaweza kua wahuni na wahuni kwako kwa wengine wana waona wenye hojaWe take case by case. Kuna wahuni na kuna wenye hoja.
Nilijua tu debe tupu.Hujui lolote wewe ni huu ushabiki wa kibongo bongo tu unaleta hapa. Huijui dunia wewe.
Kama walivyoiharibu Hong Kong, ni vizuri Taiwan ijiunge na USA ili liwe Jimbo la US kama ilivyo Hawaii na Alaska.Wakomunisti wanataka kuimeza Taiwan ya kidemokrasia.