Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 2,748
- 5,112
Nani mwenye hoja na nani muhuni ?Wenye hoja ni wale wenye hoja na wahuni ni wale wahuni.
Jibu swali acha mpempele nyingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani mwenye hoja na nani muhuni ?Wenye hoja ni wale wenye hoja na wahuni ni wale wahuni.
Wameiharibu ki vipi ?Kama walivyoiharibu Hong Kong.
Wameondoa Democratic System na kusimika Utawala wao wa Kidikteta.Wameiharibu ki vipi ?
Bila wakomunisti Hong-Kong ingeendelea kuwa koloni la Muingereza
Wao ndio walioipa Hong-Kong democratic system.Wameondoa Democratic System na kusimika Utawala wao wa Kidikteta.
One Country two Sytems lakini China wanaikandamiza Demokrasia Hong Kong ndio maana hiyo Taiwan hawataipata.Wao ndio walioipa Hong-Kong democratic system.
Supporting oppression shows ignorance of freedom's value. You belong to this club.Nani mwenye hoja na nani muhuni ?
Jibu swali acha mpempele nyingi
Utata uko kwako (pengine na watu wachache) lakini ukweli uko wazi.Wenye hoja kwako kwa wengine wanaweza kua wahuni na wahuni kwako kwa wengine wana waona wenye hoja
Wanaikandamiza ki vipi wakati wao wenyewe ndio walioamua iwe one country two system na Hong-Kong kuwepa autonomous.One Country two Sytems lakini China wanaikandamiza Demokrasia Hong Kong ndio maana hiyo Taiwan hawataipata.
Vingereza vingi ujinga ujinga tuSupporting oppression shows ignorance of freedom's value. You belong to this club.
Kwani ye marekani anapowekea wenzie vikwazo hizo nchi zinamuhusu?weka vikwazo vinavyohusiana na ww na sio unajivalisha koti la jiran , China hana haki ya kumpangia Taiwan maana Taiwan ipo huru
Kwa hiyo California akiamua kuwa amechoka kuwa sehemu ya Marekani hivyo inataka kujitenga Marekani atakuwa tiyari?Kama wa-taiwan wenyewe hawataki kwa nini walazimishwe? Nashangaa China ni nchi kubwa na ina raia kibao lakini bado inang'ang'ania sehemu nyingine.
Kama Marekani anaye ifadhili anaitambua Taiwan kama sehemu ya china ww kigagura wa ccm unasema Taiwan ni nchi huru kama nani?weka vikwazo vinavyohusiana na ww na sio unajivalisha koti la jiran , China hana haki ya kumpangia Taiwan maana Taiwan ipo huru
Ww ndo huna akili Marekani yenyewe inayo wafadhili bado inaitambua Taiwan kama sehemu ya china.Hujui lolote wewe ni huu ushabiki wa kibongo bongo tu unaleta hapa. Huijui dunia wewe.
Texas nayo inataka kujitenga na United States. Hapo vipi?Kama walivyoiharibu Hong Kong, ni vizuri Taiwan ijiunge na USA ili liwe Jimbo la US kama ilivyo Hawaii na Alaska.
Kwani Uingereza iliyo kuwa inawatawala hapo awali yeye anaongozwa na democracy?Wameondoa Democratic System na kusimika Utawala wao wa Kidikteta.
Kuimeza kibabe ...Wakomunisti wanataka kuimeza Taiwan ya kidemokrasia.
Sehemu yake ipewe Taiwan.Texas nayo inataka kujitenga na United States. Hapo vipi?
Hujajibu swaliSehemu yake ipewe Taiwan.
Kwa sababu zipi?Kwa hiyo California akiamua kuwa amechoka kuwa sehemu ya Marekani hivyo inataka kujitenga Marekani atakuwa tiyari?
Pamoja mkuuXi Jinping karibu ndugu yangu uje uwape hawa watoto wadogo darasa!