BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Kama kipimo chako kwa bidhaa inayouzwa sana duniani ni kuiona Tanzania basi vingi utazeeka hujaviona.Uongo mwingine kiboko hayo magari ya petrol ya mchina yanaitwaje? Tanzania tu ulishawahi kuyaona wapi?
Kwa mamlaka ninayojipa mwenyewe nakutunuku PhD ya Uongo
Tatizo la Waafrika ni moja kubwa, UMIMI. Mtu akiwa TRA anawaza ajenge maghorofa, akiwa bandarini anawaza anunue magari, akiwa halmashauri anawaza ajenge nyumba ya kupangisha. Hao wote wanawaza hela za wizi na kila anayetafuta kazi uko hata leo hii anakimbilia hilo.Hongera zao. Wanachonifurahisha vitu vyao kampuni zao nyingi unakuta ni state owned tofauti na kwetu ambako serikali imeshindwa kusimamia hata bandari
Hizi pick up mbona ni nyingi sana bongoMwenye macho haambiwi tixama nskuuliza nitajie gari moja tu ya petrol ya mchins ukiyowahi iona popote Tanzania. Jina ls hiyo gari inaitwaje?
Unapima manufacturing ya nchi yoyote kubwa duniani kwa kutumia Tanzania?Uongo mwingine kiboko hayo magari ya petrol ya mchina yanaitwaje? Tanzania tu ulishawahi kuyaona wapi?
Kwa mamlaka ninayojipa mwenyewe nakutunuku PhD ya Uongo
Umeongea point sana mkuu!Mkuu jana nilikuwa natazama watubaki. Wakawa wanamshukuru niki wa pili kwa kuwa ana attend wakisema kuwa asante kwa kutuunga mkono. Akasema hapana siwaungi mkono ila mnanichekesha ndio maana nakuja siji kwa sababu ya kuwaunga mkono.
My point is, bidhaa ikiwa nzuri watu wataipenda tu haya masuala ya kuungana mikono kisa sijui ni mtanzania no. Si unaona siku hizi watu wanapenda suti local made, ni kwamba zimekuwa nzuri.
Wanashindwa kutofautisha kati ya Boeing na ATCLUko sahihi wengine wanashindwa kutofautisha kati ya cruise ship line companies na cruise ship manufacturers
Ni lazima washangae vijamaa vinaunda kila kitu cha ajabu. Huawei na kubaniwa lakini inaendelea na itakuja kufanya vzuri sanaPale Beijing mwezi May walikuwa na maonyesho makubwa ya China Science Fiction Convention kwa siku 12
Wanasayansi kutoka mataifa mbalimbali walialikwa. Wengi walikiri kuwa kwa sasa China ina latest cutting-edge technology and science fiction elements
Na ndio hivyo hununuo tena siku nyingine. Ila ungepata kile ulichotarajia ungezisifu hata humo. Mfano vinu vya sembe watu watakwambia nunua local made maana vunadumu na rahisi kuvimantain na zile mashine za kuchomelea so watu hawanunua vitu kisa vimeundwa tz wanafuata ubora.Umeongea point sana mkuu!
Juzi nilinunua balbu za umeme pale kariakoo, kuja kuziweka mwanga hafifu sana yani bora hata torch ya simu.
Kuzichumguza naona kuna maelezo ya MADE IN TANZANIA.
Nilizibonda na nyundo zote.
Asante sana kwa taarifa hii, China pia ime iovatake Japan kwa car export!, ndio nchi inayoongoza kwa export ya magari duniani!.Shanghai, China
06/06/2023
Kampuni kubwa ya utengenezaji meli inayoitwa China State Shipbuilding Corporation (CSSC) yenye makao yake Shanghai walizindua meli ya kwanza ya kitalii (Cruise ship) kutengenezwa China, iliyopewa jina la Adora Magic City.
Itakuwa cruise ship ya kwanza duniani kuwa na internet ya 5G
Meli hiyo yenye uwezo wa kubeba abiria 5246 na vyumba vya kulala 2826 itakuwa na
•Restaurants
•Theaters
•Shopping centres
•Water parks (swimming pools)
•Outdoor Cinema
•Casinos
•Gaming lounge
•Luxury-brand boutiques
•Photo Gallery & Shop
•Bar
•Modern gym
•Spa
•Beauty saloon
•Stage for live perfomance
•Multi-Sports Course (for playing volleyball/basketball/tennis
•Themed entertainment for kids in 3 age groups
(i)Age 2-5 yo, 6-8 yo, and 9-11 yo
(ii)Children Club Lounge is for older kids (12-14 yo/video games, movies, parties, planned activities),
(iii)Teen Club for teenagers (15-17 yo/movies, interactive video gaming, karaoke, themed parties, booking teen-only cruise shore excursion).
Mwonekano wa nje;
View attachment 2654911
View attachment 2654912
Baadhi ya picha za mwonekano wa ndani
Hotel
View attachment 2654913
Restaurant
View attachment 2654914
Theatre
View attachment 2654915
Mall
View attachment 2654917
Water park
View attachment 2654952
Sasa ni wakati wa China kuingia katika ushindani na makampuni ya Ulaya na America katika utengenezaji wa cruise ships.
UTENGENEZAJI WA MELI CHINA
Mbali ya meli za abiria pia meli zinazotengenezwa kwa wingi nchini China ni meli za mizigo kama liquefied natural gas (LNG) tankers, oil tankers na container ships.
Baadhi ya rekodi zilizowekwa na China katika utengenezaji wa meli;
●Kwa miaka 13 mfululizo China inashikilia rekodi ya kuongoza uuzaji wa meli duniani.
●China State Shipbuilding Corporation (CSSC) ilisaini mkataba na kampuni ya Ufaransa ya CMA CGM kuitengenezea meli za kubeba kontena kubwa 16 zenye thamani ya 4 billion U.S. dollars. Imekuwa kampuni ya kwanza duniani kupewa oda kubwa kwa wakati mmoja
●Meli kubwa duniani ya kubeba container yenye ukubwa wa viwanja 4 vya mpira wa miguu, iliuzwa kwa kampuni ya Mediterranean Shipping Company (MSC) SA. Ilitengenezwa na kampuni ya Hudong-Zhonghua Shipbuilding Co Ltd, yenye makao yake Shanghai. Imepewa jina la MSC TESSA
View attachment 2654947
●China pekee inachangia 47.3% ya meli za mizigo zinazotengenezwa duniani
●Kampuni za China zinaongoza kwa kuwa na zaidi ya nusu ya oda za meli zote ulimwenguni
According to Voice Of America (VoA):
China has 19 modern shipbuilding yards pumping out commercial and naval ships. One of China's shipyards is so large that its capacity surpasses that of all U.S. shipbuilders combined.
Yeah hakika umetumia mfano mzuri na rahisi mkuuWanashindwa kutofautisha kati ya Boeing na ATCL
Kuna wale walileta trkta bortion za Ursus ikizamisha jembe inakatika vipande viwili upuuzi mtu wakulima wakapigwaMkuu badala ya serikali kuwekeza kwenye vitu kama hivyo walikuja na sera ya kilimo kwanza jeshi likaanza uza trekta ambazo thamani zake wakulima walio weng hawawez kuafford badala ya kubuni zana za kilimo local made.
Kwa sababu ya utanda wazi raia hazinunui bidhaa kisa ya uzalendo bali zinanunua bidhaa kwa sababu ni nzuri
Serikali inaanza kumnyima hata tenda za kukarabati vyombo alivyounda mwenyewe sijui atasimama vp.Ali bid kukarabati kivuko cha kigamboni badala yake dili wamepewa wamombasaiMdogomdogo tu songoro marine atatufikisha huko tena itakua km utan yaan
Aisee! Kui-overtake Japan katika kuexport magari yaonyesha jinsi gani China wame-export magari mengi sana. Maana Japan imekuwa the world's biggest exporter kwa miaka mingiAsante sana kwa taarifa hii, China pia ime iovatake Japan kwa car export!, ndio nchi inayoongoza kwa export ya magari duniani!.
P
💯🤝Manufacturing ya vitu vikubwa sio jambo la mtu mmoja, inabidi iwe sera ya nchi na dira ijulikane tunafanya vitu vingapi ambavyo vikiungana ndio vinawezesha industry fulani ikue.
💯🤝Kwa hali hiyo hakuna uwezekano ndege nzima ikaundwa na Boeing. Landing gear atakuwa labda General Electric, power supply labda awe BAE Systems, kompyuta na mifumo ya mawasiliano labda awe Raytheon na makampuni zaidi ya 100 yanahusika.
He; wanalala matajiri sio kila mtu analala. Kwani treni la bara Daraja 1, 2, 3 vipi? The differences are always there japo taifa la kikomilunisti China wanachohubiri tofauti na matendo.Vyumba vya kulalq vichache kuliko abiria
Ni kweli hapo tutafanya mapinduzi makubwa sana kwenye sekta ya kilimo.Hatutakiwi kuwaza kwenye kutengeneza ndege kabisa kabisa, hizo ni ndoto za mchana. Boeing ambao ndio giant duniani wanatumia zaidi ya trilioni 6 za Kitanzania kufanya research na development, hapo wana products ambazo tiyari zinakubalika, wana plants tiyari, wana wataalamu na uzoefu, wana contracts na suppliers. Yani wanaweza kaa miaka minne bila kuleta modernization yoyote ya ndege na wakaendelea kuwa sokoni ila bado wanatumia zaidi ya trilioni 6 kwenye utafiti, sembuse sisi tukitaka kuanza na moja tuwekeze kiasi gani.
Sisi tuwaze kutengeneza zana za kilimo, viwepo viwanda vya matrekta, mabomba ya kumwagilia, combine harvesters, cold rooms za kuhifadhi matunda kama parachichi za kule Njombe, silos za kisasa na vitu kama hivyo.
Tukitoka stage hiyo twende kwenye kutengeneza nguo. Kisha viwanda vya kuchakata bidhaa nyingine za kilimo habari za kubeba magunia ya korosho kwenda nje tuache, tubebe maboksi ya korosho zilizokuwa roasted.
Hapo hapo tunaweza elekea kwenye kuunda magari kwenye assembly lines tukichukua licence kutoka kwa manufacturers. Unakuwa mwisho wa kununua daladala nje. Hapo sasa tunaongeza miundombinu ya reli na bandari inaongezwa nyingine hasa Mtwara, tunaelekeza nguvu kwenye nishati inakuwa cheap na uhakika. Hapo ndipo tunaita wawekezaji wakubwa wa kujenga kiwanda cha hata bilioni 500.
Hapo nimefanya kwa ufupi, kuna mlolongo mrefu sana unatakiwa mfano kwenye elimu, sheria, kupambana na rushwa, uhuru wa kibiashara na mengine. Ila kwa akili za kibongo hizi za kujadili mpira asubuhi saa moja inatakiwa roho ngumu ishushwe kutoka mbinguni kujaribu kufanya haya.
mkuu uwe unaangalia vijana wa kuwajibu, hao wengine unapoteza nguvu zako bure...ni vijana ambao kwao ameria ndio dunia, hawaelewi kingine chochote!Hawataweza nini? Royal carribean hatengenezi meli bali anaendesha kampuni ya cruising sasa hawatawezi kuendesha kampuni ya cruising au hawatawezi nini? Meli za roya cruising nyingi zimebuniwa na kutengenezwa na makampuni ya ulaya wala si marekani na hiyo inaenda pia kwenye wale matajiri wanaomiliki boat na yatchs wa marekani na uarabini na urusi. Boat zao zimetengenezwa ulaya.
Meli ya kubeba wajinga nchini imeundwa na Kampuni mama ya CCM, Yenyewe inatembea nchi kavu.Meli gani imeundwa na kampuni ya Tanzania ili nii-admire hiyo kampuni?