Chochote kizuri nikimhusisha mama kinakufa

Kuna wengine hadi huruma,
Sijui ni nini! [emoji848]
Mume mkewe mchawi basi huyo Mwanaume wa watu ni mtu wa kuugua tu mara sukari mara vile.
Yaani almanusura za mara Kwa mara kukata moto.

Sema ndugu zake wameshajua kwa hiyo jamaa akishazidiwa wanatia timu na Mganga ndio pona yake!

Na wanajua mchawi ndie anayelala na kula nae.

Lakini kumuacha inakuwa ni ishu wakati yamkini ndio ingekuwa pona yake mazima.

Halafu unakuta ni kikosi kazi na ndugu zake wote wanaongeza nguvu za kutaka kumuua Mwanaume !
 
Hilo tatizo alilo nalo mamake linaitwa uchawi kizaliA.SHIBOMONDELA.
 

Asee hili jambo umelisema kwa hisia kali sana na nimekuelewa!
 
Hakika nakubaliana NAWW mama ndiyo mtu pekee anaye mpenda hawezi kumuumiza
 
Acha tu asikuambie mtu
 
Aisee acha tu kumuhusisha km umegundua hilo.

Binafsi huwa naota namfokea bi mkubwa tena ile serious kabisa!
Yani kila ndoto akiwemo yeye basi nakua namfokea kuhusu jambo fulani.
Sijui inaamaanisha nini ingawa katika maisha ya kawaida mama ananikubali na mie namkubali ile sana yani dah.
Ajabu sijawahi kuota namfokea mzee hata siku moja!
 
a
aisee! dunia ina mengi ya kuongofya
 
Kwa kuwa haujaomba maoni yetu.
Hebu tueleze mahusiano yako na mama kimsingi yapoje?

Ulipogundua kuwa kila unachomhusisha lazima kiende mrama, kwa nini unaendelea kumhusisha bila kukoma?

Tunaaminije kama huu uzi siyo utunzi?
Sina haja ya kukuaminisha chochote wewe . Kwanza sikujui, nimeandika hapa ili nipate ya kunifaa. Nyie wachawi wenzake najua hapa hamkosekani
 
HUU NDO UKWELI MCHUNGU
 
Sina haja ya kukuaminisha chochote wewe . Kwanza sikujui, nimeandika hapa ili nipate ya kunifaa. Nyie wachawi wenzake najua hapa hamkosekani
Jibu lako linatosha kabiss kuondoa dukuduku la mahusiano yako na mama.

Laana inakusumbua acha kumsingizia mama.

Tubu na umuomne mama radhi. Inaonesha una mpango wa kumdhuru mama yako ndo umekuja kusaka mashabiki humu
 
Huyo teja ni yeye ndie kamvuruga akili kauza akili yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…