Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Hilo tatizo alilo nalo mamake linaitwa uchawi kizaliA.SHIBOMONDELA.Mwanangu nataka nikwambie Kuna mtu kakutumia Kimavi mama yako kupitia mama yako Mimi Kuna Mbwa mmoja Tena mama yangu mkubwa dada yake kabisa na mama yangu alitaka kufanya ujinga huo Yani Kila akija kunifanyia uchawi namnasa ila anakuwa kaongozana. A mama yangu nawafokea mbaya
Baadae nikaanAza is mama anausika uwezi amini nilimwita mama nikamchana akalia sana nikaamini hajui lolote ila dada yake ni mwanga kweli ila hakuamini kama dada yake ananiloga Sasa changamoto mama mkubwa anaenda kwa ndugu anasema anaona Mimi kama nimerogwa hao ndugu wanachama kama karogwa nenda kamlague weee SI mama yake mkubwa anakaa kimnya.
Yote kwa yote mwamba uchawi upo na watu wanatumia picha na kvuri Cha mama yako maana ni very simpo
Kwa mambo zaidi namwalika ndugu Mshana Jr aje amwage undezi hapa.
Kuna ule msemo unasema hakuna kama mama kila nikiutafakari naona kuna watu wana bahati sana,lkn kuna sisi wengine tunapitia machungu sana kwa mama zetu na inakuwa ni siri tu unaitunza moyoni bila kumwambia mtu yeyote!,yaani hadi inafika kipindi unajiuliza huyu ni mama yangu kweli!?
Fanya mpango mama yako mzazi atangulie chato au Lupaso la sivyo hutoboi amini nnachokwambia.
Hakika nakubaliana NAWW mama ndiyo mtu pekee anaye mpenda hawezi kumuumizaMwanangu nataka nikwambie Kuna mtu kakutumia Kimavi mama yako kupitia mama yako Mimi Kuna Mbwa mmoja Tena mama yangu mkubwa dada yake kabisa na mama yangu alitaka kufanya ujinga huo Yani Kila akija kunifanyia uchawi namnasa ila anakuwa kaongozana. A mama yangu nawafokea mbaya
Baadae nikaanAza is mama anausika uwezi amini nilimwita mama nikamchana akalia sana nikaamini hajui lolote ila dada yake ni mwanga kweli ila hakuamini kama dada yake ananiloga Sasa changamoto mama mkubwa anaenda kwa ndugu anasema anaona Mimi kama nimerogwa hao ndugu wanachama kama karogwa nenda kamlague weee SI mama yake mkubwa anakaa kimnya.
Yote kwa yote mwamba uchawi upo na watu wanatumia picha na kvuri Cha mama yako maana ni very simpo
Kwa mambo zaidi namwalika ndugu Mshana Jr aje amwage undezi hapa.
Acha tu asikuambie mtuMiongoni wa mitihani mizito ni pamoja na kuoa au kuolewa na Mchawi.
Na usizani hata ukijua utaachana nae kirahisi [emoji108]
Maana vifungo vyao huwa ni vigumu kuliko maelezo.
Ma wachawi wengi kuua mtoto wake au mwenzi wake huwa ni swala la muda tu!
Pia kuoa au kuolewa kwenye familia za kichawi ni mtihani mkubwa.
Na kuishi jirani na mchawi.
Vinginevyo na wewe uwe mshirikina Kweli Kweli na ujizindike na watoto wako vinginevyo usipime!
aisee! dunia ina mengi ya kuongofyaKuna wengine hadi huruma,
Sijui ni nini! [emoji848]
Mume mkewe mchawi basi huyo Mwanaume wa watu ni mtu wa kuugua tu mara sukari mara vile.
Yaani almanusura za mara Kwa mara kukata moto.
Sema ndugu zake wameshajua kwa hiyo jamaa akishazidiwa wanatia timu na Mganga ndio pona yake!
Na wanajua mchawi ndie anayelala na kula nae.
Lakini kumuacha inakuwa ni ishu wakati yamkini ndio ingekuwa pona yake mazima.
Halafu unakuta ni kikosi kazi na ndugu zake wote wanaongeza nguvu za kutaka kumuua Mwanaume !
Duh!inawezekana mama yako alipata uja uzito wako kwa kubakwa.
Umeona ehh, hata mimi nahisi ana negative energiesNisamee mkuu kwa kauli yangu mbaya ntakayoitumia ila mama ako kama sio mshirikina basi kuna namna
Sina haja ya kukuaminisha chochote wewe . Kwanza sikujui, nimeandika hapa ili nipate ya kunifaa. Nyie wachawi wenzake najua hapa hamkosekaniKwa kuwa haujaomba maoni yetu.
Hebu tueleze mahusiano yako na mama kimsingi yapoje?
Ulipogundua kuwa kila unachomhusisha lazima kiende mrama, kwa nini unaendelea kumhusisha bila kukoma?
Tunaaminije kama huu uzi siyo utunzi?
Hii imenitokea sijui huwa ni kwanini Mshana Jr una ufaham na hili utupe darasa?Hata kitu ukiwaambia marafiki au ndugu huwa hakifanikiwi sijui kwanin
HUU NDO UKWELI MCHUNGUKuna watu wakiambiwa mama zao wachawi wanakuja juu,
Sasa mimi huwa najiuliza Kwanini ukatae kuwa mama yako au bibi yako kuwa mchawi?
Kwani wachawi hawazai?
Eti ooh kama mchawi angemuua tangu Mdogo [emoji848]
Inategemea na zamu ya kulipa fidia ndipo utakapokuja kutolewa zamu uliwe nyama na wachawi wenzie.
Umeona ehh, hata mimi nahisi ana negative energies
Jibu lako linatosha kabiss kuondoa dukuduku la mahusiano yako na mama.Sina haja ya kukuaminisha chochote wewe . Kwanza sikujui, nimeandika hapa ili nipate ya kunifaa. Nyie wachawi wenzake najua hapa hamkosekani
Sio jicho la husda ni kijichoMama yako sio mchawi bali ana jicho la Husda kila anachoona kwako lazima kiharibike
Hilo jicho la husda lipo sana