Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pascal uliingia pale UD kwa Mature Age Entry 2002?No, Dr Tulia Ph.D yake ni ya academic excellent, alipiga GPA ya 4.4 pale UDSM, na kuajiriwa kuwa Tutorial Assistant, sisi ndio wanafunzi wake wa kwanza.
P
GENTAMYCINE nakuhakikishia kuwa Chaguo langu Kuu ( Tukuka ) Dk. Tulia Ackson ( Sakho ) ndiyo anaenda kuwa Spika mpya wa Bunge la JMT.Tunajua mpo wengi ndani ya mjengo wa National Assembly. Maana ni karibu ya 98 % ya wabunge wote.
Japokuwa wengi mpo bungeni kimazabe mazabe baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 kuwa na maluelue lakini hili la spika kuweni na Uzalendo.
Bunge haliwezi kuwa na spika ambae ataona staha kuisimamia na kudhibiti serikali kuu kisa tu mkuu wa serikali ni amiri jeshi mkuu. Mathalani ukitokea ufisadi wa kutisha kama wa Rischmond je? Aone staha?
Wekeni ushabiki wa siasa kando na msichague spika kama huyu.
Yes, ila ni mwaka 2003, Tulia ndio amegraduate LL.M, sisi ndio darasa lake la kwanza kipindi cha kwanza nilikuwa LW 101, mwalimu wa kwanza ndio Tulia!, enzi hizo na umbo lake lile la kimiss, na rangi yake ile ya deep chocolate, na kajisura fulani ka Baby Face, kalikuwa kanaonekana kama form III fulani hivi, na sisi wengine ndio tumeingia chuo watu wazima!, kufundishwa na vitoto...kuelewa ilikuwa ni shughuli!.Pascal uliingia pale UD kwa Mature Age Entry 2002?
Chadema jipangeni kumtoa kamanda wenu jela, mambo ccm siku zote tumekuwa tukisema ni ya ki-sisiemu leteni mpango wenu wa kuchukua nchi 2025., Mama anapanga mikakati yake kama ccm na wenzake., mbona mnajisahau mnajikuta mnampangia mama vya kufanya? Au mapambano yamegonga mwamba upande huo?Tunajua mpo wengi ndani ya mjengo wa National Assembly. Maana ni karibu ya 98 % ya wabunge wote.
Japokuwa wengi mpo bungeni kimazabe mazabe baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 kuwa na maluelue lakini hili la spika kuweni na Uzalendo.
Bunge haliwezi kuwa na spika ambae ataona staha kuisimamia na kudhibiti serikali kuu kisa tu mkuu wa serikali ni amiri jeshi mkuu. Mathalani ukitokea ufisadi wa kutisha kama wa Rischmond je? Aone staha?
Wekeni ushabiki wa siasa kando na msichague spika kama huyu.
Yeah, it was 2003. Nakumbuka nilikuona. Paper Two yenu ya Mature(specific kutokana na Course uliyoomba baada ya Paper One ya General na Hesabu) ilikua na maswali kuhusiana na "Mfumo wa Magereza wa sasa kama unasaidia kurekebisha tabia za wafungwa?"Yes, ila ni mwaka 2003, Tulia ndio amegraduate LL.M, sisi ndio darasa lake la kwanza kipindi cha kwanza nilikuwa LW 101, mwalimu wa kwanza ndio Tulia!, enzi hizo na umbo lake lile la kimiss, na rangi yake ile ya deep chocolate, na kajisura fulani ka Baby Face, kalikuwa kanaonekana kama form III fulani hivi, na sisi wengine ndio tumeingia chuo watu wazima!, kufundishwa na vitoto...kuelewa ilikuwa ni shughuli!.
P
Usiwaambie wabunge, waambie ccm maana akishateuliwa na ccm kugombea ni spika tayari maana ccm hawatakubali kuwaachia uspika wapinzani.Tunajua mpo wengi ndani ya mjengo wa National Assembly. Maana ni karibu ya 98 % ya wabunge wote.
Japokuwa wengi mpo bungeni kimazabe mazabe baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 kuwa na maluelue lakini hili la spika kuweni na Uzalendo.
Bunge haliwezi kuwa na spika ambae ataona staha kuisimamia na kudhibiti serikali kuu kisa tu mkuu wa serikali ni amiri jeshi mkuu. Mathalani ukitokea ufisadi wa kutisha kama wa Rischmond je? Aone staha?
Wekeni ushabiki wa siasa kando na msichague spika kama huyu.
Kwani lazima hawa mbona ccm kuna watu wengi tofauti na hawaTulia ni low grade kuwa speaker bora, Zungu, polepole,au Mhagama Jenister
Niliifumua hiyo mature entry utadhani mtihani nilitunga mimi!. Nilipania kusoma law toka nilipokuwa A-Level, Ilboru, hivyo nilipokosa 1st, nikaamua kusoma Journalism, na nilirudi shule baada ya kutimuliwa kazi!. LL.B yangu ni hons. Kitu cha ajabu, baada ya kumaliza LL.B, nikajikuta napenda media, ndio mpaka leo.Yeah, it was 2003. Nakumbuka nilikuona. Paper Two yenu ya Mature(specific kutokana na Course uliyoomba baada ya Paper One ya General na Hesabu) ilikua na maswali kuhusiana na "Mfumo wa Magereza wa sasa kama unasaidia kurekebisha tabia za wafungwa?"
hahahaaaa ndege wanofanana huruka pamoja mkuu.Tunajua mpo wengi ndani ya mjengo wa National Assembly. Maana ni karibu ya 98 % ya wabunge wote.
Japokuwa wengi mpo bungeni kimazabe mazabe baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 kuwa na maluelue lakini hili la spika kuweni na Uzalendo.
Bunge haliwezi kuwa na spika ambae ataona staha kuisimamia na kudhibiti serikali kuu kisa tu mkuu wa serikali ni amiri jeshi mkuu. Mathalani ukitokea ufisadi wa kutisha kama wa Rischmond je? Aone staha?
Wekeni ushabiki wa siasa kando na msichague spika kama huyu.
Hahahaaa P si wewe pale Ilboru mlikuwa mnajiita wasimila ndo maana ukapenda media pamoja na akina Lyoba Ayubu.Niliifumua hiyo mature entry utadhani mtihani nilitunga mimi!. Nilipania kusoma law toka nilipokuwa A-Level, Ilboru, hivyo nilipokosa 1st, nikaamua kusoma Journalism, na nilirudi shule baada ya kutimuliwa kazi!. LL.B yangu ni hons. Kitu cha ajabu, baada ya kumaliza LL.B, nikajikuta napenda media, ndio mpaka leo.
P
Acha wivuTunajua mpo wengi ndani ya mjengo wa National Assembly. Maana ni karibu ya 98 % ya wabunge wote.
Japokuwa wengi mpo bungeni kimazabe mazabe baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 kuwa na maluelue lakini hili la spika kuweni na Uzalendo.
Bunge haliwezi kuwa na spika ambae ataona staha kuisimamia na kudhibiti serikali kuu kisa tu mkuu wa serikali ni amiri jeshi mkuu. Mathalani ukitokea ufisadi wa kutisha kama wa Rischmond je? Aone staha?
Wekeni ushabiki wa siasa kando na msichague spika kama huyu.
Duh...!. Kweli wewe wa longi!.Hahahaaa P si wewe pale Ilboru mlikuwa mnajiita wasimila ndo maana ukapenda media pamoja na akina Lyoba Ayubu.
Aibu kubwa.Submission to executive speech👇😁😁😁
View attachment 2076681View attachment 2076682View attachment 2076684Mambo ya aibu yanatokea katika nchi yangu ya Tanzania😑😑😑
Unajua kusoma na kuandika?Chadema jipangeni kumtoa kamanda wenu jela, mambo ccm siku zote tumekuwa tukisema ni ya ki-sisiemu leteni mpango wenu wa kuchukua nchi 2025., Mama anapanga mikakati yake kama ccm na wenzake., mbona mnajisahau mnajikuta mnampangia mama vya kufanya? Au mapambano yamegonga mwamba upande huo?
Sasa kama rais ndio anatetea jenda yake utasemaje! na yeye ndio kashika LUNGU, si-umeona wale tishio alivyowapangua, kwangu mie ni kujaribu kusafisha njia. eti kaapangia kazi maalumu isiyosemwa huko ikulu (huku ni kuwaficha wasijaribu)Kama kweli Tulia atakuwa speaker wa bunge, bas nitaamini sisi watanzania hatupo makini na mambo critical, wabunge wakimchagua huyo mdada nitawaona mabwege