Chonde chonde wabunge wa CCM msichague Tulia Ackson kuwa Spika, tayari ameshaonesha udhaifu wa kutosimamia katiba ya JMT. Hafai kabisa kuwa spika

Wagombea wengine wakijitoa na kumuunga mkono huyu itakuwaje mkuu?
 
Spika wangu wa kwanza na wa mwisho ni marehem mzee Samweli 6, eeh Mwenyezi Mungu mpe mtu huyu pumziko jema,
Ewe S6 tunakuombea; Eimeen🙏🏻
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…