Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KWA HIVYO VIJIJI NAONA WATOTO WENGI AMBAO HAWANA BABA WATAKAOZALIWA, SHULE WATASOMA ILA MALAZI NI KILIO".................Ni heshima Kubwa nchi yetu ya Tanzania kupata fursa hii ya bomba la mafuta kupita nchini Tanzania ambao utapita mikoa 8, Wilaya 24 na vijiji 184......................"
Nielimishe likipita katika mikoa hiyo neema inakujaje. ..please sina nia ya kupinga , naomba fursa zinazoweza kujitokeza katika vijiji hivyo tujiandae. najua kuna kuuza mama ntilie and the like, but these are petty issues tome.
Tunashangilia bomba la mafuta kuliko waganda wenyewe. Tuone aibu!!!Kama mlishindwa kunufaika na maliasili zenu za akina dangote,,accasia.na bomba la gesi kutoka mtwara ndio mtegemee kunufaika na mali za nchi nyingine..
Wamesemaje Mkuu.!??
Mzee wa Kiki Magu.....Why the hype?
Ana bana matumiziJamaa anapenda sifa sana huyu..cjaona sabb kubwa ya kufanya hi hafla kubwa iv anafanya uharibifu wa.ela.zetu za.kodi
Aibu, waganda hawana furaha ya hivyo! Nina ndugu zangu wengu UG, hawana furaha kama ya kwetu! Tumelaaniwa.Tunashangilia bomba la mafuta kuliko waganda wenyewe. Tuone aibu!!!
Tazama siyo crude oil nadhani.Leo tumesika kuwa bomba linalojengwa ambalo ufunguzi wake ni leo lina urefu wa takriban Km 1400 na kwamba ndilo litakuwa bomba refu kuliko yote Africa.Wakati huohuo tuliashaelezwa kuwa bomba la mafuta la TAZAMA kutoka Dar es salaam mpaka Ndola ,Zambia lina takriban urefu wa Km 1700 ambalo vilevile lipo ndani ya Africa.Wadau mahesabu haya yamekaaje ?
Television kongwe na kubwa kuliko zote nchini ITV imetia aibu leo katika kurusha matangazo yake mubashara kutoka Tanga ukilinganisha na television zingine katika upande wa ubora wa picha.. Picha zirushwazo na ITV ni chafu na zimefifia mno zinatia aibu.. Hongera sana kwa Clouds Tv kwa kurusha picha zenye ubora wa HD na zenye mng'ao na wa hali ya juu.. Yaani hadi TBC imeizidi ITV kwa ubora wa picha za mubashara kwa leo aisee aibu sana ITv.
Sent from iphone 7 plus
Tusamehe mkuu, hatuna hela ya kununulia nguo nyingine, Acha tuvae hizi ndo za sikukuu. Unamkumbuka mweyekiti aliyepewa shati na Makamba? Sasa tungevaa yale mashati yetu yaliyotoboka nani atatupa nguo nyingine?
upinzani wapo kenya waningilia siasa za ndani ya nchi nyingine wazi wazi bila hata lepe la aibu....its total violation of international norms and standards..
Wamerekani wanalia na warusi kuingilia uchaguzi chadema wanaungana na akina ruto mchana kweupee...
Sent using Jamii Forums mobile app