Chongolo: Mbowe ana wajomba zake Nyeri na Zitto baadhi ya baba zake wanakaa Bukavu

Katibu mkuu bogus kuwahi kutokea
 
Hata mimi asili yangu, ni myahudi nina urefu wa futi 6...
Kuna shida ndugu zanguni jaman?
 
Hoja ndogondogo zinazidi kuwatoa kwenye njia kuu wapinzani. Wengi tu tuna asili za nje ya TZ na undugu wetu na kuliko asili yetu upo palepale. Tunataka hoja zitakazotuletea maendeleo.
 
Mnaosakama Magufuli kuwa ana ndugu zake Burundi na kuwa ni mrundi mumesikia? Benard Membe umesikia? Huna nduguzo Msumbiji? Unajitia mtanzania mzalendo wakati na wewe kwenu asili yenu Msumbiji
Sio kweli, anachokifanya unajaribu kubalansi tu story.
 
Hii nchi ina vituko,wengine mnasema Nyerere nae sijui ni mzanaki wa Kigali.
 
Nani ni mtanzania halisi

Kama vo kigoma tuirudishe Burundi
Bukoba,kagera tuirudishe Uganda
Moshi,arusha tuipe kenya
Mbeya,songea tuirudishe Malawi
Mtwara tuirudishe msumbiji
Kipande kitakachobaki ndy iwe tanzania halisi unaonaje mkuu

Ova
 
Hii nchi wenye haki ya kuimiliki wasio na mchangamano na mataifa mengine ni wagogo tu Hawa ndiyo wenye nchi
Sasa hao wakibaki itakuwa nchi tena
Marekani yenyewe wenye nchi ni red Indians tu,ila wote wahamiaji tu

Ova
 
Yaani Tanzania wahamiaji kuanzia wamakua wa Msumbiji akina Membe na Nape Nnauye na Wabembe wa kongo akina Zitto Kabwe nk ndio wanajifanya wazalendo sana kuliko wazawa
Kwa wafrika kawaida tu kuingiliana
Mkoloni si aliwagawa

Ova
 
Ukiona mzanzibari hana ndugu Oman basi huyo asili yake ni unywamwezi au msukuma...chill...kawaida sana...[emoji16]
 
Usimsahau Jiwe kwao Burundi...[emoji16]
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…