Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Yuko sahihi km mtu haheshimu ndoto zako wa nini kuendelea naye?!! Seme Christina mjanja kaona kashapata pesa na umaarufu akiangalia mwanaume kachakaa yy bado anadai kina simba washamuonjesha michezo mipya ya mahaba awwww kwann asitoke ndruki 🀣🀣🀣🀣

Huyu baharia alijificha, ila kamlipa fadhila za kumuhifadhi… wakongo majeuri sana..!!
 
Hakuna undugu Kati ya mume na mke usijizime data.

Mke wako ndugu zake ni watoto mliozaa siyo wewe, Kwa akili hizi mtaendelea Sana kuteswa na wanawake maana hamuwajui.
Hosea 4:6a

" Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa"

Mithali 19:2 a

"Tena si vizuri nafsi ya mtu ikose maarifa"

Mkuu kuna Siri kubwa katika NDOA na Ndio taasisi ya kwanza MUNGU kuiumba kabda hata ya kanisa

mwazo 1:27

27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke
aliwaumba.

28 Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.

MUNGU akawabarikia πŸ‘‰ aliwabarikia mwanamume na Mwanamke (NDOA) ina Maana aliibarikia NDOA na kuitiisha na na kuweka vyote alivyoviumba NDANI ya NDOA (mme na mke)

Baraka πŸ‘‰ ni Nguvu au UWEZO wa kufanikiwa na MUNGU aliweka Baraka katika NDOA yaani mme na mke b'se biblia inasema akawabarikia na sio akambarikia

Kusudi la MUNGU NDOA iwe MBINGU(pepo) ya duniani kama ilivyo kua pale edeni kabda ya anguko la dhambi MUNGU alikua akisema nao Adam na mke wake, alikua aliwatembelea na ndivyo inavyotakiwa kuwa kwenye NDOA za sasa B'se miguu ya MUNGU hapa duniani ni NDOA

Sasa imekua tofauti NDOA imekua vita, NDOA imekua jehunum, watu wanachinjana humo NDANI ya NDOA tatizo ni Nini?

Tatizo ni watu wanaingia katika NDOA harafu alieiumba NDOA wanamuacha nje na hizi ni NDOA ambazo ni mpango wa aduii shetani kuhalibu kesho ya mwanadamu

Mimi nakuhakikishia mkuu NDOA ambayo ni mpango wa MUNGU kamweeeeeeeeeeee haiwezi kuvunjika na amani, furaha, upendo, fadhili, utu wema, upole, KIASI vitatawala NDANI ya hiyo NDOA
 
Ila wanaume mmepanic na Shusho!! Mbona nyie mnaachaga wanawake zenu na mnaenda kuendelea na maisha mengine lkn hatulalamiki!!! Hebu tulieni acheni kupangia wanawake maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…