Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Yuko wapi P.Diddy leo hii kila kona ya marekani wanaanika uchafu wake. Mashuhuda kibao ila ni mambo aliyafanya kwa siri kwa miaka mingi tu.
 
Je, ni wangapi hao? Mke ni partner wako hawezi kuwa na vitu vya siri ilihali nyie ni mwili mmoja.
 
Tunaomba audio au video yake akisema hivyo na Sisi tumsikie vizuri
 
Uzuri ni mwanamke wa KIHA hao wakishajanjaruka na mji huwa wanapenda hela kinoma. Mostly huwa malaya tu sababu wanapenda kuhongwa.
Mwanamke wa kiha[majority] ni mvumilivu kinoma, ukiona amefika sehemu ya kudiss mme wake, basi yawezekana ni mzinguaji sana.
 
we dada unalinganisha vitu viwili visivyolingana. Shusho kama angekuwa na wito huo tangu mwanzo asingeingia kwenye ndoa, angeendelea na maono yake ya kumtumikia mungu, acheni kupotosha ukweli
Ndio unajiuliza alikuwa wapi muda kabla ya ndoa? Alikuwa na nyimbo kibao nzuri kwanini asingeanza huduma kipindi kile kile.😂

Deep down utagundua alikuwa na njaa na less connections.
 
Ni Kweli tumwombee arudi Kwa mstari,

Lakini akikataa, apumzishwe Ili asiharibu zaidi.
apumzishwe? Je kama ni mwanachama wa jamii ile inayotawala dunia kwa mlango wa nyuma atapumzishwaje, si utaishia kupambana na jamii hiyo kwa kumghasi mwanachama wao wanaomtumia kutekeleza ajenda zao?
 
Wamejivalisha ngozi ya Kondooooooo
Kumbe Ndani ni mbwa mwituuuuu

Anakuja kuharibu Sacrament ya Ndoa.
50 kwa 50 kumalamamake zao ashakuma siomatusi na hio 50/50 ndio agenda yao kuu all over the world muanzilishi Shetani Baba wa Uongo (soma historia ya Lilth) hata HUKO kwenye Ndoa hakuna mwili 1 wewe ulifikiri imekaa kisiasa tu mpaka makanisani HUKO mentality ni hio chukua 50 zako nichukue 50 zangu ndio zimekaa vichwani mwao waliowengi asikwambie nini sijui kimekua nini
 
Mwanamke wa KiHA akishakujua mjini tamaa tamaa na ujuaji mwingi sana
 
Angesema anapigwa bila sababu tungeelewa. Sio eti unaachana na mume kwa ajili ya mwito wa Mungu halafu hapo hapo unapingana na taratibu za ki Mungu.
 
Nitafutie IMAMU Mwanamke, Waislamu always wanaume Mbele wanawake nyuma popote utapokuta Waislamu wanawake nyuma wanaume Mbele na wanawake wa kiislamu sio visabengo wa kujiamulia Mambo kwamba na wao wanataka wawe Mbele sio nyuma, welcome to Taliban msiba wa Waislamu makaburini hukuti Mwanamke anatia udongo kaburini wanazika wanaume tupu Ila msiba wa kule kwa kinafulani yoyote anafanya anavyojisikia usishangae hata Ibada ya mazishi ikaongozwa na Mwanamke
 
Angesema anapigwa bila sababu tungeelewa. Sio eti unaachana na mume kwa ajili ya mwito wa Mungu halafu hapo hapo unapingana na taratibu za ki Mungu.
Hakuna Mungu anayevunja ndoa ili umtumikie. Huyo Kanogewa na umaarufu na kaona yule mmewe ni kama mshamba na mzee anataka aanze kuliwa na akina Diamond tu. Anatafuta justification sasa aonekane hajaolewa ili apigwe pumbu bila watu kuhofia kuwa yu mke wa mtu.
 
Anatafta damu changa
 
Je, ni wangapi hao? Mke ni partner wako hawezi kuwa na vitu vya siri ilihali nyie ni mwili mmoja.
Nilichosema, tatizo ambalo unalikwepa kulikubali, pia wanaume wapo wanaozuia plan za wake zao[ambazo ni za manufaa kwa familia] kukua.

Mimi nina mtu, yeye ni civil servant, tatizo lake ni mtu asiyejihangaisha kabisa, anaishi on his salary tu. Mkewe ni visionary sana, anahofia hatma ya familia maana hawajajenga, na wana watoto wa4, watatu wanasoma hizi english mediums. Fedha haitoshelezi maisha ya familia. Mkewe akaanzisha biashara ya sabuni za maji na unga. Mmewe akawa anachukua hela za biashara, kurudisha ni mbinde. Wameua mtaji mara tatu. Sasa hivi mwanamke ameanzisha biashara kwa siri. Unawezaje mlaumu huyo mwanamke?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…