asije kukudanganya mtu, Mungu alituumba na hisia kwa makusudi, na zipo miilini mwetu. kama ulivyo na hamu ya kula chakula, njaa inauma, hata tendo la ndoa kama umri wako unaruhusu kama kina shushu, utakuwa nazo sana tu. tunachoogopa, mchungaji mara nyingi kazungukwa na diamond na vivulana hivyo, msimtetee sana, video zisije kuja kumuumbua siku moja, sheteni ni mjinga ajabu huwa anakuvuta unafikiri upo salama kumbe anakutafutia kituko. mambo yote tunayofanya sirini kuna siku tu huwa yanawekwa peupe, na hii ni kwasababu Mungu ni wa kweli, sio fake, na njia zake huwa sio feki na haitaji wewe ufeki kitu alafu useme ni yeye.