Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Nampongeza kwa uwazi wenye mashaka. Wanaume wakatoliki ndoa zao zinadorora na kisha kuvunjika kwq sababu ya WAWATA lakini wako kimya. Kanisa katoliki wamewapa WAWATA uhuru mkubwa dhidi ya kuwepo kwa ndoa zao na kuathiri ndoto za waume zao.
Hivi wewe unaijua nia na madhumuni ya WAWATA? Mbona mnapayuka msiyo yajua.....

WAWATA ni walezi wa kanisa na mara nyingi wamepewa kazi ya kuwalea vijana wa kiume wenye miito hasa ya upadre ndio maana wana majitoleo mengi kwenye hizi shule za mapadri.

Kwenye kanisa katoliki hamna mwenye kibali cha kuvunja ndoa hayupo si WAWATA, UWAKA au Padri.
 
Hii ina ukweli pia a real woman anaenjoy Zaidi akizidiwa vitu Na mumewe
 
Aiseee Jezebel spirit..ndomana nashangaa Na lile umbo anasimama jukwaan anavaa nguo imembana imemchora vilivyo attention Yote iko Kwa lile umbo
 
N

anaitwa nani? Mbona tunasikia Wasafi TV na radio ni mali ya Diamond na Kusaga?
Kusaga ni msanii wa nyimbo za bongofleva? Mpaka hapo jibu umelipata mkuu.
 
Inaonekana wewe siyo binadamu halisi, sababu binadamu wa kawaida hawezi kupingana na Mungu.
 
Kitenge ana migoma minne anaipiga pumbu kila siku lakini haridhiki hata kidogo; anatamani aoe wanawake wote waliopo nchini labda ndio watamtosha. Mbwa sana yule jamaa.
 
Mkuu mbona unakuwa mkali hivyo au Madam Christina ni goma lako nini?
 
Kitenge ana migoma minne anaipiga pumbu kila siku lakini haridhiki hata kidogo; anatamani aoe wanawake wote waliopo nchini labda ndio watamtosha. Mbwa sana yule jamaa.
Kitenge havutiwi na matako,sura nzuri wala chuchu saa sita,yy anangalia fedha. Maswala ya mizinga jamaa haya fahamu kabisa.
 
Hamna mtu anayeweza muelewa Christina kwakuwa ukiitwa na Mungu Kuna vitu unatakiwa uache ..

Hata wanafunzi wa Yesu waliacha hata kazi wakamfuata Yesu...

Mambo ya Rohoni na mwilini ni tofauti kabisa...
Hakuna wito wa hivyo...nachelea kusema kuna kitu kimezidi kichwa hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…