Mkuu hata Yesu hakuja kwa ajili ya wasio na dhambi. Kwangu nyimbo zake nitasikiliza kama kawaida kabisa bila shida.keshaharibu, haina maana tena kusikiliza nyimbo zake. Aliimba vitu ambavyo hana imani navyo
Hivi wewe unaijua nia na madhumuni ya WAWATA? Mbona mnapayuka msiyo yajua.....Nampongeza kwa uwazi wenye mashaka. Wanaume wakatoliki ndoa zao zinadorora na kisha kuvunjika kwq sababu ya WAWATA lakini wako kimya. Kanisa katoliki wamewapa WAWATA uhuru mkubwa dhidi ya kuwepo kwa ndoa zao na kuathiri ndoto za waume zao.
Hii ina ukweli pia a real woman anaenjoy Zaidi akizidiwa vitu Na mumeweKisaikolojia wanataka waliowazidi Ili wawaongoze ila akikuzidi tuu tayari ni tatizo.
Hapo kwenye kumzidi wanataka Kila kitu,urefu,pesa,umaarufu,akili nk
Nimewahi chukua wanawake mara 3 nikawapeleka geto ,hao walikuwa wanajitegemea na mwingine Bado ila Sasa walivyofika kwangu walijilinganisha mageto Yao na langu wakaona mbona Bora wao,hawakuonekana tena π€£π€£
Nuru Na Giza havichangamaniKwamba unamwacha mume Ili ukashirikiane na mondi kuandaa matamasha?
basi tuseme alikuwa chombo cha Mungu tu kufikisha ujumbe. Kaimba kwa msaada Mungu, chombo kimeharibika ila ujumbe umefikaMkuu hata Yesu hakuja kwa ajili ya wasio na dhambi. Kwangu nyimbo zake nitasikiliza kama kawaida kabisa bila shida.
Aiseee Jezebel spirit..ndomana nashangaa Na lile umbo anasimama jukwaan anavaa nguo imembana imemchora vilivyo attention Yote iko Kwa lile umboHuyo Christina Shusho amejiunga kwenye utajiri wa nguvu za giza/freemasons
Kipindi yupo na mume wake, mume aliumwa sanaa, watumishi wenzake wakamuombea ikagundulika Christina anataka kumtoa mume wake kafara
Akaulizwa akakana... mume akapona ndoa ikaendelea, alikua ni mwizi kwa mume wake
Ametembea sana na waumini wa kike kanisani kwa mume wake
Alipoona nguvu za Mungu kwa mume wake zinamuharibia mambo yake ndio akaanza kudai talaka
Ndoa imeisha kafungua kanisa
Kwa ambao washawahi kwenda kwenye kanisa la Christina watakua mashahidi! Kanisani kwake madhabahuni hamna msalaba kuashiria kristo kama kwenye makanisa mengine.
Waumini wanaingia ibadani na vipedo, tight na skin jeans, yeye mwenyewe Madam anafundisha neno huku kavaa gauni limemshape (anaitwa madam kwasababu kawapiga marufuku waumini wasimuite mchungaji)
Nimeishia hapo.
Inaonekana wewe siyo binadamu halisi, sababu binadamu wa kawaida hawezi kupingana na Mungu.Watu kama wewe mnaonekana mnapenda kuwapangia watu wengine namna ya kuishi Maisha yao, Kila mtu ana uhuru wa namna ya kuishi Maisha yake anavyotaka, kuitumia mungu au fantasy za hidden society ili wengine waonekane wabaya ni mambo ya kishenzi kabisa, ishi Maisha yako ya wengine waache wenyewe waamue wanataka kuishi vipi
Sina uhakika na hayo maneno unayotaka kunilisha ndugu yanguKwa hiyo wewe unaona wanaume wanapozuia ndoto za wake zao ni sawa mkuu?
πππππduh, hii hatari sana vijana kwa kula mashangazi hawajambo!Kusaga ni msanii wa nyimbo za bongofleva? Mpaka hapo jibu umelipata mkuu.
Kitenge ana migoma minne anaipiga pumbu kila siku lakini haridhiki hata kidogo; anatamani aoe wanawake wote waliopo nchini labda ndio watamtosha. Mbwa sana yule jamaa.Duu ndoa ni mambo ya duniani....... hivi ushajiuliza why Mungu alimsihi Yusuph kumrudia Maria........ hivi ww si mlokole...... biblia mnaisomaje nyie.
Ndoa ni moja la tendo la kiroho,lina kibali cha Mungu kwa hiyo Mungu alimwambia achane na kitu alicho kibaliki yy mwenyewe....... kwa kifupi alicho kifanya ni kufuru.
Halafu kesho wakishachuja wanakuja kudondokea kwa wazee wa Fursa wakina Kitenge nao hawanaga hiya unapewa penzi kadri ya fedha zako.
Mkuu mbona unakuwa mkali hivyo au Madam Christina ni goma lako nini?Hivi wewe unaijua nia na madhumuni ya WAWATA? Mbona mnapayuka msiyo yajua.....
WAWATA ni walezi wa kanisa na mara nyingi wamepewa kazi ya kuwalea vijana wa kiume wenye miito hasa ya upadre ndio maana wana majitoleo mengi kwenye hizi shule za mapadri.
Kwenye kanisa katoliki hamna mwenye kibali cha kuvunja ndoa hayupo si WAWATA, UWAKA au Padri.
Vp hii comment imemtaja Shusho? Nimemrekebisha aliye ongea uongo .Mkuu mbona unakuwa mkali hivyo au Madam Christina ni goma lako nini?
Kitenge havutiwi na matako,sura nzuri wala chuchu saa sita,yy anangalia fedha. Maswala ya mizinga jamaa haya fahamu kabisa.Kitenge ana migoma minne anaipiga pumbu kila siku lakini haridhiki hata kidogo; anatamani aoe wanawake wote waliopo nchini labda ndio watamtosha. Mbwa sana yule jamaa.
Hakuna wito wa hivyo...nachelea kusema kuna kitu kimezidi kichwa hapoHamna mtu anayeweza muelewa Christina kwakuwa ukiitwa na Mungu Kuna vitu unatakiwa uache ..
Hata wanafunzi wa Yesu waliacha hata kazi wakamfuata Yesu...
Mambo ya Rohoni na mwilini ni tofauti kabisa...