Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Mwimbaji nguli wa nyimbo za injili ambaye kwa sasa amegeukia kazi ya uchungaji, mchungaji Christina Shusho, amesema aliamua kuachana na mume wake ili atimize ndoto zake. Haya sio maneno yangu bali amenukuliwa akitamka maneno hayo na mtandao wa "5newsTZ"

View attachment 2959387

"Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia. Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake"

"Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"-Christina Shusho Mwimbaji nguli wa muziki wa Injili

MAONI YANGU
Mimi namuunga mkono mchungaji kwa asilimia 100 kwani mume sio ndugu yako bali ni kama rafiki mliyekutana ili kuunda familia. Ukiona mume/mke anasababisha malengo yako yasitimie, achana naye mara moja. Nawashauri wanaume msiwe vikwazo kwenye ndoto za wake zenu. Namtakia kila la kheri mchungaji Shusho kwenye kazi yake mpya ya kueneza injili ya Bwana. Mungu ambariki sana.
Sasa yeye anaenda kinyume na injili yewewe halafu watu wanakwenda kwake kujifuza injili. Kwa mtu ambaye haifuwati wala kuamini in jirani yenyewe. Ndio maana mimi Sita kwenda kupoteza mda wangu kwenye makanisa.
 
Sasa yeye anaenda kinyume na injili yewewe halafu watu wanakwenda kwake kujifuza injili. Kwa mtu ambaye haifuwati wala kuamini in jirani yenyewe. Ndio maana mimi Sita kwenda kupoteza mda wangu kwenye makanisa.
Ndio hapo sasa. Haya makanisa yanayoibuka kila siku na viongozi wake kujiita mitume na manabii, ni shida kubwa sana.
 
Sawa mama umeamua kuwa mchungaji, sasa utakuwa mchungaji wa namna gani usiye na ushuhuda mzuri wa ndoa? Waumini wako watakuwa kama wewe mchungaji wao, hawatakuwa na utii kwa waume zao, watakuwa ni wakaidi kutaka ndoto zao zitimie nje ya ndoa
Shetani yupo kazini, mwanamke kachagua wazi wazi kuwa wakala wa kazi za shetani.
 
Hiyo ndio nature ya mwanamke ninayoifahamu, huyo jamaa ashukuru huyu hata alikuwa amejificha kwenye kivuli cha dini vinginevyo huyo jamaa angekuwa futi sita chini muda huu, huku bibie akibaki na siri yake moyoni.

Kama unapanga mipango yako then ukamuweka mwanamke kwenye ramani 90% utakwama, nafasi ya mwanamke ni jikoni, ukimleta sebuleni lazima akumalize
Haya maneno yanatakiwa kuprintiwa halafu karatasi zake zisomwe kikao kijacho cha umoja wa mataifa cha usalama.
 
Wengi hapa mahusiano yao yapo juu ya mawe[emoji28][emoji28][emoji28]

Ila kiukweli ukiwa mwanamke kama una ndoto/malengo yako ni mara chache sana kutimiza ukiwa kwa mume.
So Shusho is right atimize ndoto zake...maisha ndo haya haya
Mmmmmmhmn ndoto gani hizo, ukiona mwanaume anakuwa kikwazo kwenye ndoto zako jiulize mara mbili mbili hizo ndoto zinauzito gani?
 
Nilimuaona kwenye siku ya valentine nadhani mwaka juzi kama sio mwaka jana, kulikuwa na halfa ya wasimbe ilikuwa inarushwa live channel ten.

Kuna vitu aliongea akiwa ameshika mic [emoji441] vya kipuuzi sana na vya kifeminist nikaona huyu na akina Joyce kiria tofauti yao ni majina ila software ya upumbavu wanayotumia ni ile ile tu.
 
Mwimbaji nguli wa nyimbo za injili ambaye kwa sasa amegeukia kazi ya uchungaji, mchungaji Christina Shusho, amesema aliamua kuachana na mume wake ili atimize ndoto zake. Haya sio maneno yangu bali amenukuliwa akitamka maneno hayo na mtandao wa "5newsTZ"

View attachment 2959387

"Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia. Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake"

"Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"-Christina Shusho Mwimbaji nguli wa muziki wa Injili

MAONI YANGU
Mimi namuunga mkono mchungaji kwa asilimia 100 kwani mume sio ndugu yako bali ni kama rafiki mliyekutana ili kuunda familia. Ukiona mume/mke anasababisha malengo yako yasitimie, achana naye mara moja. Nawashauri wanaume msiwe vikwazo kwenye ndoto za wake zenu. Namtakia kila la kheri mchungaji Shusho kwenye kazi yake mpya ya kueneza injili ya Bwana. Mungu ambariki sana.
Nimeikuta sehemu hii hapa chini, ni KINYUME kabisa na aliyoyaamua..!! sikiliza


Huyu anahitaji huruma ya Mungu...!!
 
Watu mnahasira na Christina aiseeh!

Kwani ndoa ni lazima ?

Haya Yesu alimuoa nani ?

Hao watawa, mapadre wameoa na kuolewa na nani ?
Tumia hata akili za kuvukia barabara basi, acha huu upuuzi unaongea hapa.
 
Kuna uchungaji wa kusoma na uchungaji wa kuitwa na Mungu mwenyewe.
Ili akamchunge nani labda uchungaji wa mbuzi ila huu wa kichunga wanadamu yeye keshafeli. Ndoa ndio agano la kwanza la mwanamke kwa MUNGU, lilikushinda hilo hakuna la maana unalofanya hapa duniani ambalo litakuwa biblical, kama unabisha nilipe nikuonyeshe ukweli.
 
Hayo yote wanayoringia ni ujana tu ,huo umaarufu kuna kipind unaisha kabisa maana hata mvuto unatoweka.

Walikuwepo wakina Luiza Mbutu kweny dansi wapo wapi sasa? Washakuwa wazee hata kupiga picha ni mtihani.

Ujana unapita tu ,wengi waliamua kutulia na kuolewa ila wana pesa zao maana mda wa kuringa hautakuwepo tena .
Wanawake wa kisasa huwa hawataki kupitwa na ile stage inaitwa "Hoe phase". Yaani ile stage ya kufanya mambo ya kipuuzi kama kulala na wanaume zaidi ya m'moja tofauti tofauti, kulewa, kuvuta bangi, kusafiri na huko anakoenda akaliwe na atakaevutiwa nae, kudate na mume wa mtu mara kadhaa, kuchezea dildo, kusagana, kutumia ngada.

Kwakifupi wanawake wa sasa wamezidiwa nguvu na shetani kiasi kwamba wanaona kufanya uhasi ni jambo la ufahari na ni sehemu ya kutimiza kwenye maisha (life goal).

Ukitaka kuwanyoosha wanasema tunawazuia ndoto zao.

Hawa ni kuwaacha wafanye wanachotaka. Kwan mwisho wa siku atakae beba mzigo ni nani kati yao na sisi. Wanamuamini shetani zaidi waacheni wakamtumikie,jukumu la wa kuwazuia lisiwe jukumu letu hata kidogo.
 
Wayahudi zamani wakati wa Sensa wanawake hawakuhesabiwa.

Sasa hivi mnawapa mpaka Urais na midume mizima inageuka machawa.
Huko magharibi kama US wameshaanza kujadili nani aliwaruhusu wanawake kupiga kura. Imagine now mataifa ya magharibi wameshaanza kuona majuto maana wanawake wanapigia kura mambo ya kipuuzi ambayo yanalifanya taifa US kuonekana kituko duniani.
 
atuambie, tendo la ndoa kwa umri wake huu, anafanya na nani? na tunamwona anazungukwa na vijana watanashati, kina diamond na wenzake. au hana hamu kabisa? manake sisi tuliookoka huwa tunafanya tendo kwenye ndoa tu, yeye anapomwacha mumewe ambaye ndiye mwenye haki kumfanya, anafanya na nani?
Kabisa, kwa uhakika anapelekeana moto na vijana wahuni, sababu mwanamke akiwa nje huku hakuna cha kumkeep busy na anashinda na watu tofauti wanaomfanya ajiskie vizuri matokeo yake anapata hamu ya kuonjwa.

Na madudu mapya wanayapenda balaa.
 
Acha samaki wavuliwe, ni njia tu ya kuwafikia watu wa Mungu...

Acheni kuhukumu watu...

Hata Yesu hakuja kwaajili ya wasio na dhambi alikuja kwaajili ya wenye dhambi.
Huu ni upotoshaji bi dada. Unataka nambia hawa watu wote waliokasirishwa na maamuzi ya huyu dada hapa wapo kwa niaba ya shetani si ndio mpendwa?
 
nyimbo zake nzuri sana, na alikuwa na karama hiyo mno, ajabu shetani kwasababu hapendi aendelee kuhudumia mioyo ya watu, amemwingia na anataka kumteketeza kabisa kipawa chake alichopewa na Mungu pamoja na yeye. hatajua hili hadi yamkute, Mungu amsaidie aelewe. kiburi na jeuri iliyomjaa anahitaji kuombewa, wala sio yeye, amepagawa. wenye macho ya kiroho wanajua hili. hakuna aliyepandisha mabega baada ya kuinuliwa ambaye hajawahi kushushwa kwa aibu.
Nashangaa sijui kwann watu hawalioni hili swala la huyu dada kukaliwa na shetani na kupewa kiburi na jeuri kisha akaiita kwenda kumtumikia MUNGU.
 
Back
Top Bottom