Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Tena alikuwa na dhambi biblia inasema, sembuse kuacha mume kitu kidogo hicho, hajamuacha kwa kuwa na mume mwingine...anafanya kazi ya Bwana...

Acheni kukariri, ndoa usipokuwa nayo makini unaweza usiuone ufalme wa Mungu...
Shida ya wanawake mkipewa kipaza sauti huwa hamuwezi kuongea logic bali mnaongelea hisia zenu mnachanganya na zile za wanawake wengine waliovurugwa na kuwahadithia changamoto zao mnazivaa as if na ninyi ziliwakuta.

Hapa umechanganya madesa mengi bi dada. Unasema kumuacha mume na kwenda kwa mume mwingine sio issue katika misingi ipi au maelekezo ya nani? [emoji848]

Vitu vinaenda kwa utaratibu wewe unaongelea maamuzi binafsi ya kukurupuka. Huyo bwana unakwenda mfanyia kazi gani ile hali ushaharibu misingi ya maagizo yake?

Mwanamke nje ya ndoa hauna kazi ya maana utafanya zaidi ya kujenga barabara ya uharibifu na kuacha alama ya uzao wa kuhasi tu. Ni jambo pana sana kulielewa unatakiwa kujifunza sana. Wengi hampendi kujifunza mnaamini katika kile mnachoona kwa macho na kuhisi basi.
 
Nyege mshindo dawa yake ni kupigwa miti mpaka lile futa jeupe limtoke ndio akili inakuwa sawa vinginevyo wanakuwa na maamuzi ya hovyo kwa kukosa kutolewa lile futa mwishowe maumivu ya tumbo mgongo na kansa ya matiti,...achilia mbali hasira na stress.
 
Mariam Magdalene ni nani?
Mama mchungaji Donatila, hivi kuna pahala popote katika biblia Mariam Mgdalena ametajwa kuwa alikuwa mwanafunzi wa Yesu..!!?? Au ni watu tu wanadhani kuwa kwa vile alikuwepo sehemu tofauti kwenye matukio tofauti tofauti ya Yesu basi hiyo ndo sifa ya kuwa alikuwa mwanafunzi wa Yesu..!!?? Kama kuna hapo mahala, basi niewekee mstari huo hapa.
 
Umesahau yule aliyemuacha mmewe akamwambia aoe mwanamke mwingine yeye ana majukumu makubwa kitaifa akaja kuolewa na juma awesu mke wa pili. Na mme wake wa kwanza alikuwa sijui ni dc
Yule mwanamke alijua kutia kinyaa kama sio aibu. Na ipo siku atalipia hesabu yake. Mwanamke akikengeuka wala usipoteze muda kuongea mpe tu go ahead ya kufanya atakalo maana yeye ndie kataka. Ila siku hazigandi akili fupi huwa haioni mbali.

Naona mbali sana miaka ijayo hili taifa litakuwa na wasimbe wengi sana.
 
Kwa hukumu zenu kumbe ndio maana wanawake wengine hung’ang’ania kwenye ndoa hadi kuuliwa, kuumizwa, kudhalilishwa kwa sababu wanaogopa kują kudhalilishwa na kutikanwa na wana jamii.
Badilini namna zenu za mitazamo.
What if kuondoka kwake ndio pona yake na salama yake kwa mfano?
Why umewaza mambo ya kuuwana, is that the cause for separation? [emoji848]
 
Hapana mzee sizungumzii malaya wadangaji. And lets not generalize.

Unaweza anza mahusiano na mwanamke ukakuta ana shughuli fulani na ana ndoto nayo ya kwenda nayo mbali. Sasa mwanaume ana muoa anakua abusive na anazuia plan zake kukua ambazo kimsingi ni za manufaa kwa familia yote. Dunia imeshuhudia mf historia ya Tina turner kwenye ndoa yake ya kwanza ilikua impoteze kwenye muziki. Wapo wanawake ambao waume zao wamewasupport wake zao na still ni respectful kwa ndoa zao, mf Yvonne Chaka chaka.
Tina Turner hakufanikiwa mziki yeye kama yeye, ni huyo huyo mume wake abusive ndie alikuwa anamfunza mziki na kumuweka hapo alipokuwa. Kitu kibaya jamaa ni alikuwa anampiga sana ila eneo la mziki jamaa ndie kamtengeneza.
 
Hakuna Mungu anayevunja ndoa ili umtumikie. Huyo Kanogewa na umaarufu na kaona yule mmewe ni kama mshamba na mzee anataka aanze kuliwa na akina Diamond tu. Anatafuta justification sasa aonekane hajaolewa ili apigwe pumbu bila watu kuhofia kuwa yu mke wa mtu.
Wanawake wa kisasa wanapenda sana ukahaba ambao wanaupa jina la uhuru. Ukimuuliza uhuru alikufunga nani na alikuzuia nini utaona sura zao zinavyogubikwa aibu ya kuona ukweli wa upumbavu wanaofanya.

Mwanamke anaona kuishi na mwanaume na kutii ni kifungo ila kuwa na maisha ya kutombwa kila mwezi na mwanaume mpya, kupewa pesa za kubadili nguo, kukesha kitambaa cheupe, kusafiri mikoani na nje ya inchi ndio maisha.
 
Nilichosema, tatizo ambalo unalikwepa kulikubali, pia wanaume wapo wanaozuia plan za wake zao[ambazo ni za manufaa kwa familia] kukua.

Mimi nina mtu, yeye ni civil servant, tatizo lake ni mtu asiyejihangaisha kabisa, anaishi on his salary tu. Mkewe ni visionary sana, anahofia hatma ya familia maana hawajajenga, na wana watoto wa4, watatu wanasoma hizi english mediums. Fedha haitoshelezi maisha ya familia. Mkewe akaanzisha biashara ya sabuni za maji na unga. Mmewe akawa anachukua hela za biashara, kurudisha ni mbinde. Wameua mtaji mara tatu. Sasa hivi mwanamke ameanzisha biashara kwa siri. Unawezaje mlaumu huyo mwanamke?
Sasa aliyekwambia sisi tunasapoti hizo tabia ni nani? Mbona unaleta mjadala wa kitimoto kwenye kamati ya maandalizi ya maulidi msikitini? [emoji848]
 
Huyo Christina Shusho amejiunga kwenye utajiri wa nguvu za giza/freemasons

Kipindi yupo na mume wake, mume aliumwa sanaa, watumishi wenzake wakamuombea ikagundulika Christina anataka kumtoa mume wake kafara
Akaulizwa akakana... mume akapona ndoa ikaendelea, alikua ni mwizi kwa mume wake
Ametembea sana na waumini wa kike kanisani kwa mume wake

Alipoona nguvu za Mungu kwa mume wake zinamuharibia mambo yake ndio akaanza kudai talaka

Ndoa imeisha kafungua kanisa
Kwa ambao washawahi kwenda kwenye kanisa la Christina watakua mashahidi! Kanisani kwake madhabahuni hamna msalaba kuashiria kristo kama kwenye makanisa mengine.
Waumini wanaingia ibadani na vipedo, tight na skin jeans, yeye mwenyewe Madam anafundisha neno huku kavaa gauni limemshape (anaitwa madam kwasababu kawapiga marufuku waumini wasimuite mchungaji)

Nimeishia hapo.
Hebu ngoja kwanza bro, unashusha nondo nyingi kwa wakati m'moja kidogo utuvunje viuno.

Yaani unataka nambia kuwa huyu dada alikuwa anawapelekea moto mademu wenzake as in alikuwa anawasaga mademu wa kanisani kwa mume wake?

Swali lingine, huyu dada ana kanisa kumbe tayari, je lipo wapi natamani nilijue.
 
Hebu ngoja kwanza bro, unashusha nondo nyingi kwa wakati m'moja kidogo utuvunje viuno.

Yaani unataka nambia kuwa huyu dada alikuwa anawapelekea moto mademu wenzake as in alikuwa anawasaga mademu wa kanisani kwa mume wake?

Swali lingine, huyu dada ana kanisa kumbe tayari, je lipo wapi natamani nilijue.
Sina maelezo zaidi ya hayo mkuu! Niliyoyaandika ni ya ukweli lakini nimemchafua sijajisikia vizuri

Tumpe muda kila kitu kitakua wazi siunaona ameshaanza mdogomdogo kujiexpose
Kanisa lake lipo Manzese tip top karibu na Darajani
 
Back
Top Bottom