Amekuwa mnyakyusa tayari?we pepo la ukabila tokaaa[emoji23]Atafungisha wanyakyusa wenzake na watu wapendao jamaa hizo za kanisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekuwa mnyakyusa tayari?we pepo la ukabila tokaaa[emoji23]Atafungisha wanyakyusa wenzake na watu wapendao jamaa hizo za kanisa
Mkuu umemaliza kila kitu aisee! Ulichosema ni kweli 100%Flora mbasha tunaweza mtetea mume wake naona alikuwa ni changamoto sana katika kumuongoza yeye kama mke.
Jamaa ndio wale wanaume ambao hawajakua vizuri so alikuwa hajafiti vizuri katika kumuongoza vema mkewe mixer alikuwa anachombezana sana na wanawake ikiwamo mdogo wake flora alikuwa anatakana na jamaa kingono ukizingatia jamaa ana mvuto so mabinti walikuwa wanamletea ligi sana Shangazi na unajua mziki wa watoto wa 2000 wakimtaka mwanaume wanambinu za kimafia kuwazidi shangazi zao.
Na inadhihirika kuwa jamaa alikuwa kama Marioo fulani kwa mke yaani mshika mikoba wa mke badala na yeye akaze kutafuta chochote ili kumsapoti mke yeye akawa kama chawa tena kwa mke sababu mke ni maarufu anapiga show so waishi kwa kipato cha mke.
So alishindwa kuendelea na jamaa kwenye mazingira hayo akaamua kuyamaliza na kutafuta mshikaji mwingine ambaye ndie wanaishi nae, sasa sijafahamu kama wamefunga ndoa ama wanaishi kwa cohabitation.
Aisee!,Hivi pacha wake yupo wapi mbona sijamsikia popote? Ana pacha wake yule nawajua tokea wakiwa vidudu.
Uzito wa ndoto za mtu anazijua mwenyewe.Mmmmmmhmn ndoto gani hizo, ukiona mwanaume anakuwa kikwazo kwenye ndoto zako jiulize mara mbili mbili hizo ndoto zinauzito gani?
We're already and we've been westernized long time ago. Single mama saivi ni habari ya mjini. Kuna yule kinda akasema anapenda azalishwe tu mtt alea Ila hata mme.Yule mwanamke alijua kutia kinyaa kama sio aibu. Na ipo siku atalipia hesabu yake. Mwanamke akikengeuka wala usipoteze muda kuongea mpe tu go ahead ya kufanya atakalo maana yeye ndie kataka. Ila siku hazigandi akili fupi huwa haioni mbali.
Naona mbali sana miaka ijayo hili taifa litakuwa na wasimbe wengi sana.
Mkuu naona umeongea kwa uzoefu kabisa. Ni kweli wakati mwingine mwanamke akiwa na nyege anakuwa kama mwehu. Usipomjulia unaweza kumpeleka Mirembe wakati dawa yake ni miti tu.Nyege mshindo dawa yake ni kupigwa miti mpaka lile futa jeupe limtoke ndio akili inakuwa sawa vinginevyo wanakuwa na maamuzi ya hovyo kwa kukosa kutolewa lile futa mwishowe maumivu ya tumbo mgongo na kansa ya matiti,...achilia mbali hasira na stress.
Kumamake walayNdoa ni kwa ajili ya watu 'mediocre' wasio na malengo makubwa.
Kiuhalisia wanaume hasa wa kizazi hiki ndio hamuelewi purpose ya kilichowaleta duniani kama wanaume ndio maana kutwa mnashindana na wanawake kwenye jukumu la kuhudumia familia, mwanaume anayejua wajibu wake suala la kuhudumia familia siyo la kujadiliana kama ambavyo mwanamke hajadiliani na ninyi kwenye suala la kulea watoto, kitendo cha wanaume kutaka kushindana na wanawake kinaonesha ni jinsia gani imefeli zaidi katika nafasi yakeUnayatazama maisha kama ajira ndio maana hauwelewi hata purpose ya kilichokuleta duniani kama mwanamke. Msiba mzito sana huu.
Huo moto mnaowasha tunautumia kuota kwenye baridi, kisha tunaendelea na mengine muda ni mchacheTunalo jukumu la kulinda taasisi Ndoa kwa nguvu zote ndio maana tunawasha moto kila siku hapa JF. Ninyi ndoa mnaiharibu kwa maneno na vitendo na ndio mnafaida nayo kutuliko.
Inasikitisha mno!Mwisho wa siku tukubaliane kuwa mwanamke anapenda sana tamaa kuliko subira. Tena maisha ya sasa media na taasisi mbali mbali zinawajaza sana upepo kwa maneno ya kishujaa "unaweza" "mwanamke hiki mwanamke kile" basi na wao vichwa vinaota pembe wanataka ligi na mwanaume.
Waumini wake hawajielewi.Sina maelezo zaidi ya hayo mkuu! Niliyoyaandika ni ya ukweli lakini nimemchafua sijajisikia vizuri
Tumpe muda kila kitu kitakua wazi siunaona ameshaanza mdogomdogo kujiexpose
Kanisa lake lipo Manzese tip top karibu na Darajani
You are right, even though he is a Pastor but he does not like to be called a Pastor, Pastoring is a way to achieve goals.May be she's one of the many fake pastors we have in this country.