Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Flora mbasha tunaweza mtetea mume wake naona alikuwa ni changamoto sana katika kumuongoza yeye kama mke.

Jamaa ndio wale wanaume ambao hawajakua vizuri so alikuwa hajafiti vizuri katika kumuongoza vema mkewe mixer alikuwa anachombezana sana na wanawake ikiwamo mdogo wake flora alikuwa anatakana na jamaa kingono ukizingatia jamaa ana mvuto so mabinti walikuwa wanamletea ligi sana Shangazi na unajua mziki wa watoto wa 2000 wakimtaka mwanaume wanambinu za kimafia kuwazidi shangazi zao.

Na inadhihirika kuwa jamaa alikuwa kama Marioo fulani kwa mke yaani mshika mikoba wa mke badala na yeye akaze kutafuta chochote ili kumsapoti mke yeye akawa kama chawa tena kwa mke sababu mke ni maarufu anapiga show so waishi kwa kipato cha mke.

So alishindwa kuendelea na jamaa kwenye mazingira hayo akaamua kuyamaliza na kutafuta mshikaji mwingine ambaye ndie wanaishi nae, sasa sijafahamu kama wamefunga ndoa ama wanaishi kwa cohabitation.
Mkuu umemaliza kila kitu aisee! Ulichosema ni kweli 100%
 
Mmmmmmhmn ndoto gani hizo, ukiona mwanaume anakuwa kikwazo kwenye ndoto zako jiulize mara mbili mbili hizo ndoto zinauzito gani?
Uzito wa ndoto za mtu anazijua mwenyewe.
 
Yule mwanamke alijua kutia kinyaa kama sio aibu. Na ipo siku atalipia hesabu yake. Mwanamke akikengeuka wala usipoteze muda kuongea mpe tu go ahead ya kufanya atakalo maana yeye ndie kataka. Ila siku hazigandi akili fupi huwa haioni mbali.

Naona mbali sana miaka ijayo hili taifa litakuwa na wasimbe wengi sana.
We're already and we've been westernized long time ago. Single mama saivi ni habari ya mjini. Kuna yule kinda akasema anapenda azalishwe tu mtt alea Ila hata mme.
People need freedom than anything else.
Utambanaje mtu anataka akale Bata na wakati jioni tu awepo home.
Anataka awepo kwa birthday party ya mashosti zake
 
Nyege mshindo dawa yake ni kupigwa miti mpaka lile futa jeupe limtoke ndio akili inakuwa sawa vinginevyo wanakuwa na maamuzi ya hovyo kwa kukosa kutolewa lile futa mwishowe maumivu ya tumbo mgongo na kansa ya matiti,...achilia mbali hasira na stress.
Mkuu naona umeongea kwa uzoefu kabisa. Ni kweli wakati mwingine mwanamke akiwa na nyege anakuwa kama mwehu. Usipomjulia unaweza kumpeleka Mirembe wakati dawa yake ni miti tu.
 
Unayatazama maisha kama ajira ndio maana hauwelewi hata purpose ya kilichokuleta duniani kama mwanamke. Msiba mzito sana huu.
Kiuhalisia wanaume hasa wa kizazi hiki ndio hamuelewi purpose ya kilichowaleta duniani kama wanaume ndio maana kutwa mnashindana na wanawake kwenye jukumu la kuhudumia familia, mwanaume anayejua wajibu wake suala la kuhudumia familia siyo la kujadiliana kama ambavyo mwanamke hajadiliani na ninyi kwenye suala la kulea watoto, kitendo cha wanaume kutaka kushindana na wanawake kinaonesha ni jinsia gani imefeli zaidi katika nafasi yake
 
Tunalo jukumu la kulinda taasisi Ndoa kwa nguvu zote ndio maana tunawasha moto kila siku hapa JF. Ninyi ndoa mnaiharibu kwa maneno na vitendo na ndio mnafaida nayo kutuliko.
Huo moto mnaowasha tunautumia kuota kwenye baridi, kisha tunaendelea na mengine muda ni mchache
 
Mwisho wa siku tukubaliane kuwa mwanamke anapenda sana tamaa kuliko subira. Tena maisha ya sasa media na taasisi mbali mbali zinawajaza sana upepo kwa maneno ya kishujaa "unaweza" "mwanamke hiki mwanamke kile" basi na wao vichwa vinaota pembe wanataka ligi na mwanaume.
Inasikitisha mno!
 
Huyo ni Mchungaji wa mshahara maana yeye ni Mchungaji lakini hapendi kuitwa Mchungaji kwa kuwa hakuitwa na Bwana, bali atimize malengo yake anayoyajua yeye.
 
Sina maelezo zaidi ya hayo mkuu! Niliyoyaandika ni ya ukweli lakini nimemchafua sijajisikia vizuri

Tumpe muda kila kitu kitakua wazi siunaona ameshaanza mdogomdogo kujiexpose
Kanisa lake lipo Manzese tip top karibu na Darajani
Waumini wake hawajielewi.
 
Huyo ni Mchungaji wa mshahara maana yeye ni Mchungaji lakini hapendi kuitwa Mchungaji kwa kuwa hakuitwa na Bwana, bali atimize malengo yake anayoyajua yeye.
May be she's one of the many fake pastors we have in this country.
 
Back
Top Bottom