Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Kisaikolojia wanataka waliowazidi Ili wawaongoze ila akikuzidi tuu tayari ni tatizo.

Hapo kwenye kumzidi wanataka Kila kitu,urefu,pesa,umaarufu,akili nk

Nimewahi chukua wanawake mara 3 nikawapeleka geto ,hao walikuwa wanajitegemea na mwingine Bado ila Sasa walivyofika kwangu walijilinganisha mageto Yao na langu wakaona mbona Bora wao,hawakuonekana tena 🤣🤣
Mkuu umenikumbusha mbali sana miaka ya 2000 niliwahi kumlepeleka mwanamke geto kwangu akalala mbele kimya kimya.
 
Ukishamjua YESU kila kitu unaona kawaida, kiu ya kutaka kumjua zaidi ni zaidi ya kiu ya maji...

Tunaweza ona Christina alifurahi kumuacha mumewe ila hakufurahi, ila Yesu akikuita utamfuata tu...

Sio rahisi haya mambo kama watu wanavyodhani...

Fikiria vile Maria alivyopata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu alafu alikuwa na mchumba wake Yusufu...

Yusufu alitaka kumuacha kwa Siri Mariamu ila akapata maelekezo kwa Mungu hakumuacha...

Mambo ya Rohoni zaidi
Kwa hiyo unataka kusema Christina alipomuacha mumewe na kufuata injili ni sahihi kabisa?
 
Utafiti unaonesha Waimbaji wa kike mara nyingi ndoa zao either zina viraka au zimevunjika kabisa
1) Beatrice muhone
2)Rose Muhando
3)Bahati Bukuku
4)Martha Mwaipaja na sasa
5)Angel Bernad
6) Christina Shusho
7) Flora mbasha
Hii sio Coincidence kuna shida mahali.
 
Wengi hapa mahusiano yao yapo juu ya mawe😅😅😅

Ila kiukweli ukiwa mwanamke kama una ndoto/malengo yako ni mara chache sana kutimiza ukiwa kwa mume.
So Shusho is right atimize ndoto zake...maisha ndo haya haya
kwani huyo mume ndiye anazuia ndoto zake mkuu? Kivipi? Huyu mama ana jambo lake ila anatumia dini kama kisingizio.
 
Yote hayo mwanaume anayafanya sababu kuna vitu anavipata toka kwa mwanamke, kama kutimiziwa baadhi ya majukumu ya nyumbani, kulelewa watoto pamoja na kupewa heshima na utii, kabla hamjawajudge wanawake jiulizeni wakifanya hayo mnayofanya wanapata nini au mnawapa nini, hata wanaume wenyewe tu hawawezi kufanya hayo kama hawapati kitu in return sembuse wanawake
Kwahiyo hao wanawake hawastihili kutubebea Mimba?...
 
Utafiti unaonesha Waimbaji wa kike mara nyingi ndoa zao either zina viraka au zimevunjika kabisa
1) Beatrice muhone
2)Rose Muhando
3)Bahati Bukuku
4)Martha Mwaipaja na sasa
5)Angel Bernad
6) Christina Shusho

Hii sio Coincidence kuna shida mahali.
Umesahau yule aliyemuacha mmewe akamwambia aoe mwanamke mwingine yeye ana majukumu makubwa kitaifa akaja kuolewa na juma awesu mke wa pili. Na mme wake wa kwanza alikuwa sijui ni dc
 
Utafiti unaonesha Waimbaji wa kike mara nyingi ndoa zao either zina viraka au zimevunjika kabisa
1) Beatrice muhone
2)Rose Muhando
3)Bahati Bukuku
4)Martha Mwaipaja na sasa
5)Angel Bernad
6) Christina Shusho

Hii sio Coincidence kuna shida mahali.
Huwa wanaanza kuimba wakiwa dedicated to God..ila muda unavyoenda wanapata umaarufu ndipo shetani anawaingia..shangazi yangu aliniambia waimba nyimbo za injili wanatafutwa sana na lucifer sababu ye ndio ilikuwa kazi yake akiwa malaika..huwa anahakikisha anawabomoa. Wengi wakitetereka kidogo wanaanguka. Hii kitu nilijua itafika kwa christina kama ilivyokuwa kwa wenzie.
 
Huwa wanaanza kuimba wakiwa dedicated to God..ila muda unavyoenda wanapata umaarufu ndipo shetani anawaingia..shangazi yangu aliniambia waimba nyimbo za injili wanatafutwa sana na lucifer sababu ye ndio ilikuwa kazi yake akiwa malaika..huwa anahakikisha anawabomoa. Wengi wakitetereka kidogo wanaanguka. Hii kitu nilijua itafika kwa christina kama ilivyokuwa kwa wenzie.
Kuna mutu sikuhizi anaitwa madme Flora
 
Back
Top Bottom