Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Mwimbaji nguli wa nyimbo za injili ambaye kwa sasa amegeukia kazi ya uchungaji, mchungaji Christina Shusho, amesema aliamua kuachana na mume wake ili atimize ndoto zake. Haya sio maneno yangu bali amenukuliwa akitamka maneno hayo na mtandao wa "5newsTZ"

View attachment 2959387

"Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia. Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake"

"Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"-Christina Shusho Mwimbaji nguli wa muziki wa Injili

MAONI YANGU
Mimi namuunga mkono mchungaji kwa asilimia 100 kwani mume sio ndugu yako bali ni kama rafiki mliyekutana ili kuunda familia. Ukiona mume/mke anasababisha malengo yako yasitimie, achana naye mara moja. Nawashauri wanaume msiwe vikwazo kwenye ndoto za wake zenu. Namtakia kila la kheri mchungaji Shusho kwenye kazi yake mpya ya kueneza injili ya Bwana. Mungu ambariki sana.
Nikajua Shusho ni jina la mmewe ama mimi ndiye nakosea?
 
Hamna mtu anayeweza muelewa Christina kwakuwa ukiitwa na Mungu Kuna vitu unatakiwa uache ..

Hata wanafunzi wa Yesu waliacha hata kazi wakamfuata Yesu...

Mambo ya Rohoni na mwilini ni tofauti kabisa...
Unachanganya Mambo akili ndogo! Unaondokaje kwenye ndoa, kabla ya kifo kuwatenganisha?
 
Huyu Hana tofauti na zuchu wa bongofleva, anapanuliwa kila siku, kitu inaliwaaweeeee! Lakini bado anajiona "mtoto wa ki Islam" Hapo atakuambia hafanyi tangszo la pombe!
Shusho, alitaka kuwa huru afanye yake, hakuna ubaya, kama alikuwa ananyanyasika kwenye ndoa,
Ila alipochemka ni kusema "ni wito tu" Wa Mungu ndio umemtoa ndoani! Big lie,
Ange kuwa, wa, maaana sana kama angesema, wameachana, kwa, taraka baada ya kushindwana!
 
Ndio. Hilo ni jina la mumewe wa zamani. Kwa sasa yupo single mother anahubiri injili ya Bwana wetu Yesu Kristo.
Sasa sijui anawafundisha nini mabinti kanisani kama yeye ndoa imemshinda. Huyu ni wa kuweka mbali na mabinti na wanawake

Single maza wengi wa aina ya Shusho ni feminists wanawapandikiza mitazamo mibaya sana wanawake ambao wameolewa wapambanie 50/50

Na mambo wanayofundisha mabinti ambao hawajaolewa ni ya kuja kuwafanya kuwa wake wa hovyo sana kwa waume zao.

Na wana roho mbaya sana wanataka mabinti waharibu maisha wasiolewa wawe kama wao

Malaya kama hawa kwenye jamii ni wa kuwaepuka sana
 
Bila akili, nguvu, busara, juhudi na mali za mume wake (Pastor Shusho) huenda leo hii hakuna mtu angekuwa anamjua Shusho kwa level ile ya umaarufu wa kuimba. Kwa sasa Christina Shusho ameamua kuizamisha boti (ndoa) iliyombeba kumsafirisha katika bahari yenye mawimbi mengi akiamini boya (umaarufu) litamsaidia kusafiri mbali.

Muda ni mwalimu mzuri sana.
Tusubiri zaidi.
 
Kwahiyo hao wanawake hawastihili kutubebea Mimba?...
Umeona wapi nimesema habari za kubeba mimba, majukumu yote niliyoyataja mimi mnaweza kuyafanya ila kwanini hamyafanyi, je wanawake wakianza kuwahudumia nanyi mtakuwa tayari kufanya majukumu yao yote ukitoa yale ya kimaumbile
 
Mwimbaji nguli wa nyimbo za injili ambaye kwa sasa amegeukia kazi ya uchungaji, mchungaji Christina Shusho, amesema aliamua kuachana na mume wake ili atimize ndoto zake. Haya sio maneno yangu bali amenukuliwa akitamka maneno hayo na mtandao wa "5newsTZ"

View attachment 2959387

"Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia. Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake"

"Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"-Christina Shusho Mwimbaji nguli wa muziki wa Injili

MAONI YANGU
Mimi namuunga mkono mchungaji kwa asilimia 100 kwani mume sio ndugu yako bali ni kama rafiki mliyekutana ili kuunda familia. Ukiona mume/mke anasababisha malengo yako yasitimie, achana naye mara moja. Nawashauri wanaume msiwe vikwazo kwenye ndoto za wake zenu. Namtakia kila la kheri mchungaji Shusho kwenye kazi yake mpya ya kueneza injili ya Bwana. Mungu ambariki sana.
Nampongeza kwa uwazi wenye mashaka. Wanaume wakatoliki ndoa zao zinadorora na kisha kuvunjika kwq sababu ya WAWATA lakini wako kimya. Kanisa katoliki wamewapa WAWATA uhuru mkubwa dhidi ya kuwepo kwa ndoa zao na kuathiri ndoto za waume zao.
 
Sema alitaka kusema huyo mwanaume sio type yake akaona aibu!
Wakati ukute ndio mtu alomleta mjini 😆😆
Ukute amemtoa Kasuru huko porini.
Au kama wali kutana kimjinimjini hapo thawa.

Zamani wanaume walikuwa wanaoa makwao huko vijijini,
Mwanamke analeta hata ku-flush choo hajui anafundishwa, kutumia jiko la umeme hajui, usafi wa Nyumba kupiga deki hajui, kusafisha choo hajui, n.k

Yanni full mshamba.

Kuna wanawake wanaume zao wamewatoa mbali sana yawapasa kuwaheshimu na kuwashukuru siku zote.
Lakini sasa wakishajua ya mjini huwaambii kitu 👌👌😅
 
Back
Top Bottom