Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu


kwaiyo moyoni kuna macho haya haya nayoyajua mm ? ebu nifafanulie zaid
Muhubiri 2:14

Macho ya mwenye HEKIMA, yamo " kichwani" mwake.

Moyoni ndimo kichwani,

Moyo una macho, na moyo hauko kifuani, Bali kichwani.

Na huko kichwani ndiko kwenye macho ya Roho/ moyoni.

Isikupe taabu, ukilala na kuota ndoto, Yale macho ambayo ndiyo hukupa kuona, ndiyo hayo macho ya moyoni/Rohoni/ kichwani.
 
Kama mapadri na watawa wapo single na wanahudumu kanisani, naye yupo sawa tu.
Cha msingi mchungaji asiwe na boyfriend tu
 
Wenye element za umalaya lazima watetee upuuzi.

Mama Samia ametimiza ndoto zake akiwa na Mume wake tena mke wa Pili.

Sasa hawa wadangaji wanasingizia ndoto zipi, kuna ndoto inayozidi Urais wa nchi?
Kwamba Rais Samia aliwahi kuwa na ndoto za kuwa Rais wa JMT? Kuanzia lini na wapi tunaweza soma history hiyo?

Kwamba Rais Samia ameapishwa uRais wa JMT akiwa ndani ya Ndoa halali ya mume mmoja na wake wanne? Kabisa?!?
 
Huyo Christina Shusho amejiunga kwenye utajiri wa nguvu za giza/freemasons

Kipindi yupo na mume wake, mume aliumwa sanaa, watumishi wenzake wakamuombea ikagundulika Christina anataka kumtoa mume wake kafara
Akaulizwa akakana... mume akapona ndoa ikaendelea, alikua ni mwizi kwa mume wake
Ametembea sana na waumini wa kike kanisani kwa mume wake

Alipoona nguvu za Mungu kwa mume wake zinamuharibia mambo yake ndio akaanza kudai talaka

Ndoa imeisha kafungua kanisa
Kwa ambao washawahi kwenda kwenye kanisa la Christina watakua mashahidi! Kanisani kwake madhabahuni hamna msalaba kuashiria kristo kama kwenye makanisa mengine.
Waumini wanaingia ibadani na vipedo, tight na skin jeans, yeye mwenyewe Madam anafundisha neno huku kavaa gauni limemshape (anaitwa madam kwasababu kawapiga marufuku waumini wasimuite mchungaji)

Nimeishia hapo.
Kwamba Christina sasa ni msagaji na mkoboaji wa waumini wa kanisani kwa mume wake?

Watanzania mnashika bendera ya wasaga kunguni duniani!
 
Mwimbaji nguli wa nyimbo za injili ambaye kwa sasa amegeukia kazi ya uchungaji, mchungaji Christina Shusho, amesema aliamua kuachana na mume wake ili atimize ndoto zake. Haya sio maneno yangu bali amenukuliwa akitamka maneno hayo na mtandao wa "5newsTZ"

View attachment 2959387

"Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia. Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake"

"Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"-Christina Shusho Mwimbaji nguli wa muziki wa Injili

MAONI YANGU
Mimi namuunga mkono mchungaji kwa asilimia 100 kwani mume sio ndugu yako bali ni kama rafiki mliyekutana ili kuunda familia. Ukiona mume/mke anasababisha malengo yako yasitimie, achana naye mara moja. Nawashauri wanaume msiwe vikwazo kwenye ndoto za wake zenu. Namtakia kila la kheri mchungaji Shusho kwenye kazi yake mpya ya kueneza injili ya Bwana. Mungu ambariki sana.
Hii takataka nayo huwa mnaisikiliza? Jicho tu linaeleza huyu ni mchepukaji!
 
Mwimbaji nguli wa nyimbo za injili ambaye kwa sasa amegeukia kazi ya uchungaji, mchungaji Christina Shusho, amesema aliamua kuachana na mume wake ili atimize ndoto zake. "Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia. Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake"
Huwa siwaelewi walokole hasa katika suala la ndoa kwa jinsi inavyotakiwa katika Ukristu. Nadhani mume mmjoja, mke mmoja inasimamiwa vizuri na Roman Catholics ukilinganisha na 'Wakristu' wengine
 
Kiasili na Kiafrica mwanamke huheshimika zaidi akiwa na mume tofauti na hapo labda kama mume alifariki nje ya hapo mwanamke hudharaulika
 
Muhubiri 2:14

Macho ya mwenye HEKIMA, yamo " kichwani" mwake.

Moyoni ndimo kichwani,

Moyo una macho, na moyo hauko kifuani, Bali kichwani.

Na huko kichwani ndiko kwenye macho ya Roho/ moyoni.

Isikupe taabu, ukilala na kuota ndoto, Yale macho ambayo ndiyo hukupa kuona, ndiyo hayo macho ya moyoni/Rohoni/ kichwani.
duuuuhhh
 
Wapo baadhi ya wanaume kwa upuuzi wao au ufahari wa kiume ama fikra hasi, huzimisha au hukwamisha mipango ya kiuchumi ya wake zao ambayo ingetimia ingekua faida kwa familia nzima.
Hata Kama sio kwa faida ya family nzima ila yake yeye mke/ mwanamke binafsi katika kutimiza uumbwaji wake bado ni muhimu pia, kila nafsi itajibu kuhusu hesabu zake na sio za nafsi nyingine.
 
Sasa angepata vipi pa kuishi na Kongo vita?? Ndio umuhimu wa kuwa KE huo. Ss hivi simba la masimba amemfungulia dunia kuwa unachotaka amgande babu wa nini?? 🤣🤣🤣🤣

Lakini na nyie mwanaume mwenzenu si kamtumia jamani 😜
Ukute hata usiku alikuwa anamuamsha ampe mbuzi kagoma 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
😂😂😂😂😂😂😂
 
Kwanini asingetimiza kwanza ndoto zake ndio aolewe? kama hapendi kuitwa mchungaji kwanini ameanzisha kanisa la nini? na kwakuwa ameanzisha kanisa anapendwa tumuite nani?
Ndoto zilikuja akiwa tayari ameolewa mkuu. Anapenda aitwe Madam kama ilivyo kwa Madam Flora.
 
Kila mtu huitwa kivyake...

Sio lazima wawe pamoja...

Ikumbukwe Kila mtu hapa Duniani anakazi ambayo amepewa na Mungu kufanya.

Ndoa ni mambo ya Duniani tu.
Duu ndoa ni mambo ya duniani....... hivi ushajiuliza why Mungu alimsihi Yusuph kumrudia Maria........ hivi ww si mlokole...... biblia mnaisomaje nyie.

Ndoa ni moja la tendo la kiroho,lina kibali cha Mungu kwa hiyo Mungu alimwambia achane na kitu alicho kibaliki yy mwenyewe....... kwa kifupi alicho kifanya ni kufuru.

Halafu kesho wakishachuja wanakuja kudondokea kwa wazee wa Fursa wakina Kitenge nao hawanaga hiya unapewa penzi kadri ya fedha zako.
 
Back
Top Bottom