Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

Nimefanikiwa kufika maeneo ya Rombo, Mwika, Marangu, Old Moshi, Kibosho na Machame. Sijafanikiwa kufika maeneo ya Kirua vunjo na Uru. Kuna mambo mazuri sana na mabaya machache
Hii desktop review, hujaenda huku unakotuaminisha kuwa umetembelea.

Tazama: old moshi=uru
 
Tupo pamoja
 
Mkuu usitumie nguvu nyingi kujitetea watu wanatembea na wanaona, mleta mada ametembelea maeneo famous Lakin cha kushangaza amekuta over 90% ni nyumba za kawaida
 
Jamaa wanatumia nguvu nyingi kudanganya watu ambao hawajafika huko ili wawaamini
Mkuu usitumie nguvu nyingi kujitetea watu wanatembea na wanaona, mleta mada ametembelea maeneo famous Lakin cha kushangaza amekuta over 90% ni nyumba za kawaida
Bado nakuona wa ajabu,huwez kutembelea nyumba 5 alafu useme ndio utafiti wa jumla
nimekwambia Mimi naongea kwa fact
Soma jedwali hapo chini linaonyesha viwango vya umaskini vya kila mkoa
Mkoa wa Kilimanjaro una umaskini kwa 10% tu
kagera ina umaskini wa 40% nendeni mkajenge kwenu mpunguze umaskini
Kama unabisha endelea ili nizidi kukuumbua kwa facts

 
Wanatoa povu balaa wakati Mimi nafanya Kazi uru na taasisi inasaidia watoto wenye mazingira magumu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]watu wa ajabu sana, na kama hujawah kufika unaweza kuharibu hadi nauli kumbe unaenda kuona utopolo
 
Wanatoa povu balaa wakati Mimi nafanya Kazi uru na taasisi inasaidia watoto wenye mazingira magumu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]watu wa ajabu sana, na kama hujawah kufika unaweza kuharibu hadi nauli kumbe unaenda kuona utopolo
Hata marekani Kuna maskini, Kilimanjaro maskini Ni 10% tu kwa mujibu wa nbs, sasa unabishana na uhalisia? Hizo kaya kumi maskini za uru ndio UCHAGANI nzima? Idiot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…