Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

Hajui kuwa Arusha 80% ya uchuum Ni wachaga?
 
Nmeshamjibu huyo hata huku wahaya wa Mwanza wanasafiri sana kuliko waliopo Dar, the same kwa Wachaga waliopo Dar ukilinganisha na waliopo Mbeya, so factor ya nauli ni muhimu, nipo na mchagga hapa bk amekosa nauli hajaja huko
Kwahiyo mmoja akakosa nauli ndo ugeneralise? Unajua kwamba vidole havilingani? Ongeeni logic basi. And hata waweza kutunga kujustfy tu. Pia ktk maisha kuna kupanda na kushuka. Siwezi kushangaa juu ya hill. Wahaya huwa muna roho za ubinafsi sana wenyewe kwa wenyewe
 
Utashindwaje kupanda ndege wakati ni hela kama ya basi kwa wengine?? Factor ya umbali ni muhimu ndo maana hapa kuna mchagga amekosa pesa ya basi Lakin angekuwa Dar angeweza hata kupanda ndege
 
Nmeshamjibu huyo hata huku wahaya wa Mwanza wanasafiri sana kuliko waliopo Dar, the same kwa Wachaga waliopo Dar ukilinganisha na waliopo Mbeya, so factor ya nauli ni muhimu, nipo na mchagga hapa bk amekosa nauli hajaja huko
Mchaga hawez kosa 55000 ya kutoka bk- mosh
Kampuni nyingi za mabas ya kuja BK Ni za wachaga pia
Happy national,Osaka, Kandahar,Arusha exp nk
 
Ukiangalia ratio ya makaz unakuta Ni scattered,sehemu chache ndio Kuna mwingiliano Mimi nimekaa miaka 3 kule hasahasa muleba
Kuna sehemu nyingine muleba utadhani upo Sudan kusini mfano kishuro,rutoro
Ndio tuko scattered hatupendi kubanana na kuombana chumvi kama huko kwenu, lakin bado ndo kuna population density kubwa
 
Ukiangalia ratio ya makaz unakuta Ni scattered,sehemu chache ndio Kuna mwingiliano Mimi nimekaa miaka 3 kule hasahasa muleba
Kuna sehemu nyingine muleba utadhani upo Sudan kusini mfano kishuro,rutoro
Sasa anakataa nini asilimia kubwa ya eneo la mkoa wao ni pori?
 
Utashindwaje kupanda ndege wakati ni hela kama ya basi kwa wengine?? Factor ya umbali ni muhimu ndo maana hapa kuna mchagga amekosa pesa ya basi Lakin angekuwa Dar angeweza hata kupanda ndege
Hiyo ni Propaganda Hakuna mtu wa Moshi amekosa nauli hiyo Ni hadithi ya kururahisha hadhira
 
Utofautishe pori na vijiji, uhayani sehemu kubwa ni vijiji vilivyopambwa na migomba au miti Maan hali ya hewa iko vzr, huko hata miti inagoma mpo na jua linawawakia
Nilichojifunza umeamua kuwa layman ili ubishane tu. Baasi ngoja tukuache. Iko siku nitakualika bwana upunguze makasiriko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…