Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

Haya mambo uliyoorodhesha yote ulikuwa unafikiri yanafanywa na kila mchaga? Ni nani ''alidai'' hivyo na wewe ukaamini jambo ambalo hata mtoto mdogo hawezi kuamini? Basi thread yako inapaswa kuwa na kichwa kinachosema ''Ujinga wangu wa kutofikiria mambo kwa kina''
 
Unialike nije kuona nn kipya, labda nikualie huku bk unywe supu ya sato upunguze sumu za mbege
[emoji23][emoji23][emoji23] na mlivyo wachafu? Uwuuiii. Nianze tu kuja huko. Nikafikie nyumba za matope? Hivi hamjui kama tumekua na mabae wa kihaya ama? Tena wanaishi na wenye uraia wa huko marekani na uingereza?[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] niliogopa nikasema heee... nimeonaga picha picha na clips nikasema eeh
 
Kagera mkoa hauna wahaya Tu la ukijua Hilo.

Meanwhile wahaya kwao

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Wewe huenda hata Kilimanjaro hujawahi kufika kabisa

Eti hujaona shamrashamra za waislam wakisheherekea, kwani umeambiwa Waislam hii ni Sikukuu yao, yani uelewa wako mdogo kweli.

Na kote huko ulikozunguka umekosa hata picha ya kuambatanisha na huu upotoshaji wako? Kajipange tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…