Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

Wachawi wapo huko kwa wachunga mbuz, UCHAGANI kungekuwa na wachawi kusingejengeka Kama ulaya
Kule kwenu kwenye vijumba vya nyasi ndio Kuna wachawi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti ulaya. Ulaya unapajua wew?

Huku bukoba mambo sio mabaya
Screenshot_20201227-082319.jpg


Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo uliyoorodhesha yote ulikuwa unafikiri yanafanywa na kila mchaga? Ni nani ''alidai'' hivyo na wewe ukaamini jambo ambalo hata mtoto mdogo hawezi kuamini? Basi thread yako inapaswa kuwa na kichwa kinachosema ''Ujinga wangu wa kutofikiria mambo kwa kina''
 
Unialike nije kuona nn kipya, labda nikualie huku bk unywe supu ya sato upunguze sumu za mbege
[emoji23][emoji23][emoji23] na mlivyo wachafu? Uwuuiii. Nianze tu kuja huko. Nikafikie nyumba za matope? Hivi hamjui kama tumekua na mabae wa kihaya ama? Tena wanaishi na wenye uraia wa huko marekani na uingereza?[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] niliogopa nikasema heee... nimeonaga picha picha na clips nikasema eeh
 
Bado nakuona wa ajabu,huwez kutembelea nyumba 5 alafu useme ndio utafiti wa jumla
nimekwambia Mimi naongea kwa fact
Soma jedwali hapo chini linaonyesha viwango vya umaskini vya kila mkoa
Mkoa wa Kilimanjaro una umaskini kwa 10% tu
kagera ina umaskini wa 40% nendeni mkajenge kwenu mpunguze umaskini
Kama unabisha endelea ili nizidi kukuumbua kwa facts

View attachment 1660137
Kagera mkoa hauna wahaya Tu la ukijua Hilo.

Meanwhile wahaya kwao
FB_IMG_16037235476935609.jpg


Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Wewe huenda hata Kilimanjaro hujawahi kufika kabisa

Eti hujaona shamrashamra za waislam wakisheherekea, kwani umeambiwa Waislam hii ni Sikukuu yao, yani uelewa wako mdogo kweli.

Na kote huko ulikozunguka umekosa hata picha ya kuambatanisha na huu upotoshaji wako? Kajipange tena
 
Back
Top Bottom