The Interpreter
Member
- Mar 14, 2019
- 87
- 60
Hao Jamaa Ni Choka Mbaya Sana Ila Mifisa Na Wizi Kwa Kwenda Mbelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya kuambia ukweli[emoji23]Kwanza mleta mada ni muongo yaani juzi na jana umetembea Machame, Kibosho hadi Rombo!? Na kutafiti familia mbali mbali?!
Halafu kuna nyumba ulikuwa unapost kumbe ni logde za wataliiMbona unateseka? Sehemu ulizotembelea ni 5% tu ya UCHAGANI yote umeacha 95% huwez ku conclude research kwa kutembelea 5%
Hahaha Naona shamrashamra za wachaga zinawatoa povu,na nyie jengeni kwenu mjidai
Jamaa washamba watu makini hawawezi kutumia nguvu nyingi kujitangaza, mtu anapanda ndege hata nauli haifiki laki ila anakuja kujaza server humuNilijua Tu kuwa ni mmbwembww na sifa.
Hiv MTU kama unaenda kwenu unatutangazia ili iweje
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti ulaya. Ulaya unapajua wew?Wachawi wapo huko kwa wachunga mbuz, UCHAGANI kungekuwa na wachawi kusingejengeka Kama ulaya
Kule kwenu kwenye vijumba vya nyasi ndio Kuna wachawi
Wewe huna kwenu?Nilijua Tu kuwa ni mmbwembww na sifa.
Hiv MTU kama unaenda kwenu unatutangazia ili iweje
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Akili za mvivu bhana,njoo nikupe kazHao Jamaa Ni Choka Mbaya Sana Ila Mifisa Na Wizi Kwa Kwenda Mbelee
Ukweli gan. ? Kwamba ubishane na professional surveyors wa nbs kwa utafiti wako uchwra wa ki lay man?
Wahaya pia hurudi kwao Sana.Mhaya hana ubavu kwa mchaga labda kwa mzaramo
Nikipst lodge si utakimbia? Hizo ni nyumba za watu hahahahaHalafu kuna nyumba ulikuwa unapost kumbe ni logde za watalii
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Kishumundu kabisaUkienda huko uru ndio utakua disappointed kabisa
Mtu kwao[emoji1][emoji1]Jamaa washamba watu makini hawawezi kutumia nguvu nyingi kujitangaza, mtu anapanda ndege hata nauli haifiki laki ila anakuja kujaza server humu
[emoji23][emoji23][emoji23] na mlivyo wachafu? Uwuuiii. Nianze tu kuja huko. Nikafikie nyumba za matope? Hivi hamjui kama tumekua na mabae wa kihaya ama? Tena wanaishi na wenye uraia wa huko marekani na uingereza?[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] niliogopa nikasema heee... nimeonaga picha picha na clips nikasema eehUnialike nije kuona nn kipya, labda nikualie huku bk unywe supu ya sato upunguze sumu za mbege
Halafu zile barabara kumbe wamejengea watalii wa kupanda milima?Mkoa wa Kilimanjaro Ni mkoa wa pili tanzania kwa watu wake kuishi maisha Bora na makazi bora kwa 90% kwa mujibu wa nbs
Tazama jedwali hapo Kilimanjaro kiwango chá umaskini ni 10% tu huoni aibu kuandika utumbo?View attachment 1660121
Mamba kotela KilimanjaroWahaya pia hurudi kwao Sana.
Bk tzView attachment 1660205View attachment 1660207
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Kagera mkoa hauna wahaya Tu la ukijua Hilo.Bado nakuona wa ajabu,huwez kutembelea nyumba 5 alafu useme ndio utafiti wa jumla
nimekwambia Mimi naongea kwa fact
Soma jedwali hapo chini linaonyesha viwango vya umaskini vya kila mkoa
Mkoa wa Kilimanjaro una umaskini kwa 10% tu
kagera ina umaskini wa 40% nendeni mkajenge kwenu mpunguze umaskini
Kama unabisha endelea ili nizidi kukuumbua kwa facts
View attachment 1660137
Hahaha watalii wapo mamba,mwika, ROMBO? Utaongea vyote mwaka huuHalafu zile barabara kumbe wamejengea watalii wa kupanda milima?
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app