Bloodstone
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 920
- 994
Where is the lie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasifia mazuri na kukemea mabaya.Bashiri kwa sasa amerudia kuwa mjamaa. Anawahimiza wakulima waungane dhidi ya watawala wanyonyaji.
Haya anayotamka asingeweza kuyatamka enzi akiwa madhabahuni mwa awamu ya 5. Huyu mtu ni kigeugeu sana
Mbaya sana hata kuelezea haiwezekani mbolea imekuwa ni kitu cha magendo sana ssa kama bange tu wao wana piga per Dm fresh yu wakulima tunakoma tuna kaaa mpka siku 5 bila kupata mboleaWaulize ao wakulima hali ya upatikanaji wa mbolea ikoje huko!