Chuki ya Wananchi kwa Serkali na Watawala ni kubwa

Chuki ya Wananchi kwa Serkali na Watawala ni kubwa

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Hizi comments hapa chini zimenitisha sana na zinaatoa picha halisi ya jinsi utawala wa CCM unavyochukiwa nchi hii. Sijui huo ushindi wa 99% kwenye chaguzi unatoka wapi!

Chuki ya wananchi kwa serikali na watawala ni jambo la hatari sana. Chuki hii ya watu wengi hutengeneza kitu katika ulimwengu wa roho hasa inapokuwa chuki hiyo ina msingi wake kwenye masuala ya haki.

Kuna haja ya watawala kurekebisha jambo hili kabla ili kuepusha balaa zisizokuwa na maelezo mazuri.

1733560259249.jpeg
 
Yote haya yamesababishwa na serikali ya mama kutokuzingatia utawala wa Sheria na haki za binadamu.mama karuhusu utekaji na kejeli Kwa wanaotekwa eti kifo ni kifo tu!kipindi Cha nyuma mambo haya ya utekaji hatukuyaona kabisa.
 
Chuki ya wananchi kwa serikali na watawala ni jambo la hatari sana. Chuki hii ya watu wengi hutengeneza kitu katika ulimwengu wa roho hasa inapokuwa chuki hiyo ina msingi wake kwenye masuala ya haki.

Kuna haja ya watawala kurekebisha jambo hili kabla ili kuepusha balaa zisizokuwa na maelezo mazuri.
watawambia ni kelel za chura
 
Chuki ya wananchi kwa serikali na watawala ni jambo la hatari sana. Chuki hii ya watu wengi hutengeneza kitu katika ulimwengu wa roho hasa inapokuwa chuki hiyo ina msingi wake kwenye masuala ya haki.

Kuna haja ya watawala kurekebisha jambo hili kabla ili kuepusha balaa zisizokuwa na maelezo mazuri.
Kijani hawawezi kukuelewa,wanawaza kwa namna yoyote ile waendelee kutawala hata kama wananchi wameeakataal
 
Utekaji, utesaji na uuaji wa wapinzani na wakosoaji wa serikali na uchafuzi uliofanyika kwenye mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa ndiyo umekijaza kikombe cha ghadhabu ya wananchi kwa CCM na Serikali yake.
 
Chuki ya wananchi kwa serikali na watawala ni jambo la hatari sana. Chuki hii ya watu wengi hutengeneza kitu katika ulimwengu wa roho hasa inapokuwa chuki hiyo ina msingi wake kwenye masuala ya haki.

Kuna haja ya watawala kurekebisha jambo hili kabla ili kuepusha balaa zisizokuwa na maelezo mazuri.
Tunakoelekea watu wataanza kulipa visasi mitaani kimya kimya
 
Chuki ya wananchi kwa serikali na watawala ni jambo la hatari sana. Chuki hii ya watu wengi hutengeneza kitu katika ulimwengu wa roho hasa inapokuwa chuki hiyo ina msingi wake kwenye masuala ya haki.

Kuna haja ya watawala kurekebisha jambo hili kabla ili kuepusha balaa zisizokuwa na maelezo mazuri.
Yaan ndugu kilichopo kwa watanzania kweli wana hasira na chuki kubwa sana dhidi ya serikali lakini hawana pa kuanzia yaani pakipatika pa kuanzia penye nguvu sio vyama vya siasa lakini, wallah MAma na genge lake na IGP na kina MAFWELE kundi lake hawata amini kitakacho tokea na watabaki midomo wazi.
 
Chuki ya wananchi kwa serikali na watawala ni jambo la hatari sana. Chuki hii ya watu wengi hutengeneza kitu katika ulimwengu wa roho hasa inapokuwa chuki hiyo ina msingi wake kwenye masuala ya haki.

Kuna haja ya watawala kurekebisha jambo hili kabla ili kuepusha balaa zisizokuwa na maelezo mazuri.
Kuna kitu ambacho nakiona Tofauti kati ya uongozi wa Mama samia na uongozi wa mtangulizi au watangulizi wake. Magufuli alikuwa anaongozwa na hisia zake ila kws wanyonge alikuwa anawajali sana yupo lazi apokonye kwingine kote ila Watanzania wapate huduma muhimu hasa wanyonge, Mama yeye kaachia watu watafunane, yaani kila mtu anakula kws urefu wa kamba yake na wala hakemei, Nchi sasa ni shamba la Bibi kila mwenye nafasi na mwanya na ale, naukilalamika unaonews unafungwa. Vyombo kama Polisi, tra, nida, mahakama na taasisi nyingine yamekuws kama makampuni ya watu binafsi wstu wanafanya tu vyovyote wanavyotaka na hawafanyi chochote na wanalindwa kws nguvu zote
 
Kuna kitu ambacho nakiona Tofauti kati ya uongozi wa Mama samia na uongozi wa mtangulizi au watangulizi wake. Magufuli alikuwa anaongozwa na hisia zake ila kws wanyonge alikuwa anawajali sana yupo lazi apokonye kwingine kote ila Watanzania wapate huduma muhimu hasa wanyonge, Mama yeye kaachia watu watafunane, yaani kila mtu anakula kws urefu wa kamba yake na wala hakemei, Nchi sasa ni shamba la Bibi kila mwenye nafasi na mwanya na ale, naukilalamika unaonews unafungwa. Vyombo kama Polisi, tra, nida, mahakama na taasisi nyingine yamekuws kama makampuni ya watu binafsi wstu wanafanya tu vyovyote wanavyotaka na hawafanyi chochote na wanalindwa kws nguvu zote
Mama huyu ni tatizo kubwa sana
 
Back
Top Bottom