Chuki ya Wananchi kwa Serkali na Watawala ni kubwa

Chuki ya Wananchi kwa Serkali na Watawala ni kubwa

Mtaani kwangu Mtendaji kapoteza meno Matatu.
Mwenyekiti wa kufosi wamebonda na Sasa anatembelea Gongo.
Wapambe wa M/Kiti wanaugulia maumivu ...Polisi alitupwa mtaroni na Bunduki akiwa nayo mkononi kavunjika mkono.

Kama huu ni upendo na kukubalika kwa sisiem bhasi bila Shaka Israel wanawapenda Sana wapalestina Hadi kuwatenda wema kuanzia tar 7 Hadi Sasa.
sasa kama mmepigana mangumi huko kwenye mapombe chota yenu na vizungura huko, ndiyo unakuja kumbwelambwela hapa jukwaani alaaa!!!!

utangamano miongoni mwa viongozi na wananchi wote Tanzania ni Imara mno na hakuna Kibaraka wala mercenaries wao wa kuJaribu kuudhoofisha ama kuuteteresha.

ramli chonganishi na ushirikiana wenu fanyeni huko huko 🐒
 
Acha upuuzi wako wa kudhani kwamba kila anayechukizwa na huu utekaji na uuaji unaotekelezwa na 'wasiojulikana' kwa kutumwa na kulindwa na dola yuko affiliated na upuuzi wenu wa vyama vya siasa.View attachment 3171050
Gentleman,
huenda mwenye chuki ni wewe ambae unaandamwa na marejesho ya madeni ya kausha damu.

kama taifa,
utangamano miongoni mwa viongozi na wananchi wote Tanzania ni Imara mno kuliko wakati wowote tangu tupate uhuru 🐒
 
Kwa hali hii Huyu maza akipata miaka mingine kumi sijui itakuaje tutakua kama marekani au south Africa Kila mtu atakua anatembea na silaha yake ukijichanganya tu ni Moja bila
Mapanga shaa, endapo wasiojulikana wataendelea kuto julikana
Tayari mioyo ya wengine kimewaka, (ignite), kumbe wamesha jipanga kukabiliana na watu wasiojulikana

Je madhara ya jamii kunyamaza ama kunyamazishwa yanajulikana?

Silence surrenders public responsibilities
 
Aiseee!!! watu wengi wameumia sana kwa kunusurika hao jamaa, hii inabidi wajiangalie sana viongozi. Chuki imekuwa kubwa sana.
Hao viongozi wa kujiangalia sana wapo?!!
Kauli kama "kifo ni kifo tu hata Marekani wanakufa" inaashiria hatari mno katika mioyo ya watu kuna vita kali mno dhidi ya watawala..tuombe Mungu iishie huko isije kujitokeza kwenye ulimwengu wa nyama
 
Yote haya yamesababishwa na serikali ya mama kutokuzingatia utawala wa Sheria na haki za binadamu.mama karuhusu utekaji na kejeli Kwa wanaotekwa eti kifo ni kifo tu!kipindi Cha nyuma mambo haya ya utekaji hatukuyaona kabisa.
Yaliasisiwa na Magufuri mtangulizi wake.
 
Gentleman chuki zako binafsi, ramli chonganishi na ushirikiana wako nadhani ni muhimu mkajadiliana na kupeana moyo huko kwenye na Chama kenu kalikogawanyika.

Tanzania chini ya serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr. Samia Suluhu Hassan inaendelea na jukumu muhimu la kuwaunganisha na kuwaletea pamoja waTanzania na kuwatumikia kwa weledi makubwa sana,

na ndiyo maana,
biashara zimefunguka kwa kiwango kikubwa mno Tanzania, sekta ya usafishaji na kilimo vimechochea tija na ongezeko la kipato cha waTanzania n.k

Hata hivyo,
utangamano miongoni mwa viongozi na wananchi umeendelea kuimarika siku hadi siku. Na ushindi wa CCM kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ni ishara ya wazi kabisa kwamba viongozi wa chama na serikali wamekua karibu zaid na wananchi kuliko wakati mwingine wowote.

Mungu Ibariki Tanzania 🐒
Afya ya akili
 
Anatekwa mtu anaefahamika Stand wao wanakuja na ngonjera za mwanaume mmoja siku moja baadae ngonjera za jina lake wanapata sio mwanaume mmoja wahuni sio watu aisee..
 
Mtaani kwangu Mtendaji kapoteza meno Matatu.
Mwenyekiti wa kufosi wamebonda na Sasa anatembelea Gongo.
Wapambe wa M/Kiti wanaugulia maumivu ...Polisi alitupwa mtaroni na Bunduki akiwa nayo mkononi kavunjika mkono.

Kama huu ni upendo na kukubalika kwa sisiem bhasi bila Shaka Israel wanawapenda Sana wapalestina Hadi kuwatenda wema kuanzia tar 7 Hadi Sasa.
Jambo jema kuwa huko kwenu watu wanajitambua.
 
Gentleman chuki zako binafsi, ramli chonganishi na ushirikiana wako nadhani ni muhimu mkajadiliana na kupeana moyo huko kwenye na Chama kenu kalikogawanyika.

Tanzania chini ya serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr. Samia Suluhu Hassan inaendelea na jukumu muhimu la kuwaunganisha na kuwaletea pamoja waTanzania na kuwatumikia kwa weledi makubwa sana,

na ndiyo maana,
biashara zimefunguka kwa kiwango kikubwa mno Tanzania, sekta ya usafishaji na kilimo vimechochea tija na ongezeko la kipato cha waTanzania n.k

Hata hivyo,
utangamano miongoni mwa viongozi na wananchi umeendelea kuimarika siku hadi siku. Na ushindi wa CCM kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ni ishara ya wazi kabisa kwamba viongozi wa chama na serikali wamekua karibu zaid na wananchi kuliko wakati mwingine wowote.

Mungu Ibariki Tanzania 🐒
Tayari mama keshaingia kwenye ile njia ya Magufuli iendayo.... Kama unampenda kweli basi kuwa mkweli kwake.
 
Tayari mama keshaingia kwenye ile njia ya Magufuli iendayo.... Kama unampenda kweli basi kuwa mkweli kwake.
kama taifa tunasonga mbele pamoja gentleman, haina maana nyinyi makaidi na wenye chuki binafsi tutawatenga kwenye maendeleo, hapana, haitakua hivyo,

maendeleo hayana chama,
na serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan, itaendelea kuboresha mazingira mazuri ya upatikanaji wa huduma za kijamii bila upendeleo wala ubaguzi na hapo ndipo, Taifa linasonga mbele katika umoja na mshikamano 🐒
 
Yaan ndugu kilichopo kwa watanzania kweli wana hasira na chuki kubwa sana dhidi ya serikali lakini hawana pa kuanzia yaani pakipatika pa kuanzia penye nguvu sio vyama vya siasa lakini, wallah MAma na genge lake na IGP na kina MAFWELE kundi lake hawata amini kitakacho tokea na watabaki midomo wazi.
Kabisa, panakosekana pa kuanzia tu, ikipatikana fursa hivyo hakika ccm watashangaa na roho zao.
 
Back
Top Bottom