Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Magufuli hakuwa mjinga, nakukumbusha tena the guy wasn't an idiot! Alichukua hatua palipohitajika ila he delivered to the public. Alifanya ambayo kiongozi wa taifa anapaswa kuyafanya for the public welfare.Yaliasisiwa na Magufuri mtangulizi wake.