Eagle girl
JF-Expert Member
- May 1, 2024
- 299
- 462
Tumefika panapo hitajika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hayo umeambiwa na mkeo sijui mmeo ndio unawaita Watanzania? KUMBAVU!!!Chuki ya wananchi kwa serikali na watawala ni jambo la hatari sana. Chuki hii ya watu wengi hutengeneza kitu katika ulimwengu wa roho hasa inapokuwa chuki hiyo ina msingi wake kwenye masuala ya haki.
Kuna haja ya watawala kurekebisha jambo hili kabla ili kuepusha balaa zisizokuwa na maelezo mazuri.
Nope Chuki ya Wananchi kwa Wananchi ndio hatari sana na inabidi kuangalia sababu watawala ni wajanja wanaweza kuleta divide and rule...Chuki ya wananchi kwa serikali na watawala ni jambo la hatari sana. Chuki hii ya watu wengi hutengeneza kitu katika ulimwengu wa roho hasa inapokuwa chuki hiyo ina msingi wake kwenye masuala ya haki.
Kuna haja ya watawala kurekebisha jambo hili kabla ili kuepusha balaa zisizokuwa na maelezo mazuri.
Porojo tu hizi kwenye ulanzi na mbege.kama taifa tunasonga mbele pamoja gentleman, haina maana nyinyi makaidi na wenye chuki binafsi tutawatenga kwenye maendeleo, hapana, haitakua hivyo,
maendeleo hayana chama,
na serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan, itaendelea kuboresha mazingira mazuri ya upatikanaji wa huduma za kijamii bila upendeleo wala ubaguzi na hapo ndipo, Taifa linasonga mbele katika umoja na mshikamano 🐒
HahahahaHiyo sasa sio kuzikwa, ni kufukia,
We sema Visungura sijui ushirikina mwenzenu alikimbilia Lodge Kibamba huko nyumbani kwake ikatumwa difenda Yani kukosa wazee wa Mtaa wenye Hekima Jamaa na Familia yake wangekuwa wanaishi kwenye Ofisi za Serikali....sasa kama mmepigana mangumi huko kwenye mapombe chota yenu na vizungura huko, ndiyo unakuja kumbwelambwela hapa jukwaani alaaa!!!!
utangamano miongoni mwa viongozi na wananchi wote Tanzania ni Imara mno na hakuna Kibaraka wala mercenaries wao wa kuJaribu kuudhoofisha ama kuuteteresha.
ramli chonganishi na ushirikiana wenu fanyeni huko huko 🐒
Wajinga kama wewe ndiyo amwuwezi kumdhania nilipo waonyeni mapema hapa JF niliambulia ban kila kukicha na kejeli kutoka ccm na upinzani ....hata sasa nawaambia wazi wazi damu nyingi itamwagika kama samia aliendelea kuwa kitini kwa miaka 5 zaidi taifa litahalibika vibaya sana ...wakati huo bwana ROSTAM AZIZI NA GENGE LAKE WATAKUWA WAPO NJE YA NCHI WAKITUKEBEI KAMA ANAVYO FANYA SASA YULE MPUMBAVU ALIYEKUWA MTUME WA WAPUMBAVU KIBOKO YA WACHAWIRais Mama huwezi hata kumdhania aisee.
OGOPENI SANA VIONGOZI WANAOPATIKANA KWA KUPITIA TOBO ZAO MBILI ZA CHINI NA SI AKILI ZAO VICHWANI ...NDIYO MAANA DINI ZILIKATAZA WANAWAKE KUWA VIONGOZI ...KWENYE HILI NAUNGA MKONO HEKIMA YA MAFUNDISHO YA DINI ...KAZI YOYOTE YA UONGOZI TUSITHUBUTU KUMPA MWANAMKE HATA UJUMBE WA NYUMBA 10 NI HATAREE HATAREEEYaani ikitokea nchi ndogo kama Rwanda tukaingia nao kwenye vita, viongozi hawataamini namna Rwanda itakavyopiga majeshi yetu kwa sababu wananchi wametengenezewa chuki na dharau kubwa kutoka kwa viongozi wa serikali ya mama.
unazungumzia kundi la watu wenye matatizo ya afya ya akili ama?We sema Visungura sijui ushirikina mwenzenu alikimbilia Lodge Kibamba huko nyumbani kwake ikatumwa difenda Yani kukosa wazee wa Mtaa wenye Hekima Jamaa na Familia yake wangekuwa wanaishi kwenye Ofisi za Serikali....
Yaani ni kwamba watu walishazingira kupiga petrol na kiberiti nyumba yake na za wapangaji.
Mwenye akili Sawa hawezi kujaza makura ya mchogno.unazungumzia kundi la watu wenye matatizo ya afya ya akili ama?
huo si uzushi kama ile drama ya petroli kwenye nyumba ya mbunge kule Nkasi gentleman?
infact,
hakuna mwenye ubavu wa kumfanyia hayo yote ndugu au Jirani yake huko mtaani eti kwasabb ya kushindwa vibaya uchaguzi.
Na ikitokea imetokea,
there is escape root for criminals at all within borders of our beautiful republic 🐒
jiepushe na kuhadaa vinywaji asili vya wenyewe, gentleman,Porojo tu hizi kwenye ulanzi na mbege.
Kiboko ya wachawi anasema amezimisi zile laki tano tano za wajinga TanzaniaWajinga kama wewe ndiyo amwuwezi kumdhania nilipo waonyeni mapema hapa JF niliambulia ban kila kukicha na kejeli kutoka ccm na upinzani ....hata sasa nawaambia wazi wazi damu nyingi itamwagika kama samia aliendelea kuwa kitini kwa miaka 5 zaidi taifa litahalibika vibaya sana ...wakati huo bwana ROSTAM AZIZI NA GENGE LAKE WATAKUWA WAPO NJE YA NCHI WAKITUKEBEI KAMA ANAVYO FANYA SASA YULE MPUMBAVU ALIYEKUWA MTUME WA WAPUMBAVU KIBOKO YA WACHAWI
Wapi hukoWe sema Visungura sijui ushirikina mwenzenu alikimbilia Lodge Kibamba huko nyumbani kwake ikatumwa difenda Yani kukosa wazee wa Mtaa wenye Hekima Jamaa na Familia yake wangekuwa wanaishi kwenye Ofisi za Serikali....
Yaani ni kwamba watu walishazingira kupiga petrol na kiberiti nyumba yake na za wapangaji.
Ukimya wa wananchi siyo jibu kuwa wana hofu.Hizi comments hapa chini zimenitisha sana na zinaatoa picha halisi ya jinsi utawala wa CCM unavyochukiwa nchi hii!
Chuki ya wananchi kwa serikali na watawala ni jambo la hatari sana. Chuki hii ya watu wengi hutengeneza kitu katika ulimwengu wa roho hasa inapokuwa chuki hiyo ina msingi wake kwenye masuala ya haki.
Kuna haja ya watawala kurekebisha jambo hili kabla ili kuepusha balaa zisizokuwa na maelezo mazuri.
View attachment 3171171
Uenda kimeshajaa,chasubiriwa kifurike.Kile kikombe cha ghadhabu kinakaribia kujaa
Kwa kweli inasikitisha sana,,Kuna kitu ambacho nakiona Tofauti kati ya uongozi wa Mama samia na uongozi wa mtangulizi au watangulizi wake. Magufuli alikuwa anaongozwa na hisia zake ila kws wanyonge alikuwa anawajali sana yupo lazi apokonye kwingine kote ila Watanzania wapate huduma muhimu hasa wanyonge, Mama yeye kaachia watu watafunane, yaani kila mtu anakula kws urefu wa kamba yake na wala hakemei, Nchi sasa ni shamba la Bibi kila mwenye nafasi na mwanya na ale, naukilalamika unaonews unafungwa. Vyombo kama Polisi, tra, nida, mahakama na taasisi nyingine yamekuws kama makampuni ya watu binafsi wstu wanafanya tu vyovyote wanavyotaka na hawafanyi chochote na wanalindwa kws nguvu zote
😁😁WATANZANIA NI WAPUMBAVU LAHITI WANGELISOMA KITABU CHA GENIUS ABUNUASI NA KUMTAMBUA KUA ABUNUASI NI GENIUS KAMWE WASINGE INGIZWA MKENGE NA KIBOKO YA WACHAWI ..MAANA MBINU ALIYO ITUMIA KIBOKO YA WACHAWI KAITOA KWA GENIUS ABUNUASI.....TATIZO WATANZANIA WANAKUAMBIA ABUNUASI NI MJINGA NA MPUMBAVU ..utasikia mtu anasema usiwe mjinga kama abunuasi.....Nyerere alikua very intelligent ndiyo maana aligundua kitu kwenye kitabu cha abunuasi akakipiga marufuku alijua akili za bunuasi niza hali ya juu sana wananchi wakizielewa watamsumbua kwenye uongozi wake....mimi huwa najiuliza ni nani aliye tunga kitabu cha abunuasi huyo jamaa ni mmojawapo wa watanzania wenye akili kubwa sana.Kiboko ya wachawi anasema amezimisi zile laki tano tano za wajinga Tanzania
Ule umoja wanaodhani Tanzania tunao sahizi haupo tena, kilichobaki ni unafiki tu na kuogopa lawama. Ukitaka kujua hilo matukio kama hio ajali ndio funzo.Yaani ikitokea nchi ndogo kama Rwanda tukaingia nao kwenye vita, viongozi hawataamini namna Rwanda itakavyopiga majeshi yetu kwa sababu wananchi wametengenezewa chuki na dharau kubwa kutoka kwa viongozi wa serikali ya mama.