Chuki ya Wananchi kwa Serkali na Watawala ni kubwa

Chuki ya Wananchi kwa Serkali na Watawala ni kubwa

Bendera za chama tawala kupepea sio hoja sababu unajua kabisa zinapepea kwa mtutu wa bunduki sababu kama mtu aliye jichorea picha yake mwenyewe kwa mapenzi ya rais wake baadae akaamua kuichana mwenyewe na yeye akapotezwa hadi leo hajulikani alipo sembuse bendera zilizo wekwa bila hiyari ya wananchi!? Acha ujinga wako, wananchi wana hasira sana na serikali onevu hii na mbaya zaidi hata wana ccm wanabaki kuwa wanaccm kwa hofu ila sio kwa mapenzi
Kwa hofu ila sio kwa Mapenzi ila wapo ccm
 
Watendaji wameamua kuichukiza Serikali na wananchi,CCM mpaka mitaani wapo lkn hawasemi kama wala kuhoji.
Mfano ukija kitungwa area M.Kabla ya March 2021 maji yalikuwa yanatoka,baada ya July 2021 maji hayatoki hata mvua inyeshe.Ni ishara kuwa MORUWASA wametufungia.
CCM hawana intelligencia ya kubaini kuwa wanagombanishwa wa ajiliwa wa serikali na wananchi.
Ccm mbere kwa mbere
 
Utekaji, utesaji na uuaji wa wapinzani na wakosoaji wa serikali na uchafuzi uliofanyika kwenye mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa ndiyo umekijaza kikombe cha ghadhabu ya wananchi kwa CCM na Serikali yake.
 

Attachments

  • VID-20241205-WA0008.mp4
    19.4 MB
Back
Top Bottom