Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Chukua si kila mwanaume mwenye mchepuko anapenda kuwa naye bali wengine wanatafuta amani wanayo ikosa kwa wake zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna michepuko wengine wanang'ang'ania. Hawakubali kuachika.Chukua si kila mwanaume mwenye mchepuko anapenda kuwa naye bali wengine wanatafuta amani wanayo ikosa kwa wake zao
naunga hoja mkonoChukua si kila mwanaume mwenye mchepuko anapenda kuwa naye bali wengine wanatafuta amani wanayo ikosa kwa wake zao
Both teams to winBasi na tuseme ..Si kila mwanamke mwenye mchepuko anapenda kuwa naye bali wengine wanatafuta amani wanayo ikosa kwa waume zao
TrueBasi na tuseme ..Si kila mwanamke mwenye mchepuko anapenda kuwa naye bali wengine wanatafuta amani wanayo ikosa kwa waume zao
Unakua poor brain capacityKuwa na mchepuko kwa kigezo cha kutafuta amani ni kua na uwezo mdogo wa akili, wa kusolve mambo.
Mbona haunijibu wewe babu?Uzinzi tu!
There's no justification for having mpango wa kando!
(Niko kwenye ndoa miaka 52 sasa!)
Mwanaume amani unaipata unapo focus kujijenga kiuchumi na kujiandalia maisha mazuri uzeeni, Amani huipati kwa MALAYA/MCHEPUKO. Kama Mwanaume yajue ya kuzingatia, ili uache kukosa amani kwa ajili ya vitu vya Kijinga.Chukua si kila mwanaume mwenye mchepuko anapenda kuwa naye bali wengine wanatafuta amani wanayo ikosa kwa wake zao
Chukua si kila mwanaume mwenye mchepuko anapenda kuwa naye bali wengine wanatafuta amani wanayo ikosa kwa wake zao
Mtakuwa mmefanana barabara na shemeji hadi ugoro mnalamba kopo moja.Hongera mkuu.Uzinzi tu!
There's no justification for having mpango wa kando!
(Niko kwenye ndoa miaka 52 sasa!)