Ryan Holiday
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 2,026
- 4,450
Reasoning ya watu wa hii nchi ni ya kiwango cha chini sana.Sasa mtu kama huyu ataweza kufanya maamuzi sahihi kwenye mambo ya msingi kama afya yake binafsi na wanaomzunguka,kufanya maaamuzi ya kuchagua viongozi sahihi,kufanya maamuzi ya matumizi sahihi ya choo na utunzaji wa mazingira kiujumla.Mpanga uzazi ndio upi
Kwahiyo Mashamba ya mbaazi yana mapepo ya kutosha na majini pia? ๐
Miembe Moro miembe Tanga. Hii ni hatari sana.
IMANI NI UAMUZI
Hakika mkuu ila iko miti bora kupanda nyumbani....Mimi nikijenga nyumbani kwangu hapatakosa miti na nikikuta jirani kaugusa tutabadiliahana majengo ya serikali ๐
......wenye matawi na vivuli vya NGAZINGAZI....hebu google utauona mkuu wangu...Ule wenye kuchanua? Unakuwa kivuli kikubwa?
Kwa hiyo watu wakiwa wakishua huwa hawana matatizo mengine ndani ya familia zao ?!!Miashoki mbona ipo sehem zote za kishua inamaana wanafuga majini? Huu ujinga tu acha kupotosha watu.
Google kukuelekeza kwa maneno haita saidiaNdo ukoje huo Mti?
Google kukuelekeza kwa maneno haita saidiaNdo ukoje huo Mti?
...hakika mkuu....Watu wakiiambiwa kuna miti ukiipanda kwako nyoka hawasogei wanakubali, ila wakiambiwa kuna miti haifai kupanda nyumbani wanajitia ujuaji.
Ha ha ha ha utawashibisha maembe uwape nguvu za "kukutafuna" wewe na mkeo....Niache Kula Maembe mazuri nipate afya kisa wachawi? Waache waje tu kama na wao wanataka maembe yatatutosha wote๐
Zuwena ๐ nionee huruma mtoto wa mwenzioUpuuzi mtupu
Hakuna Uchawi wenye Nguvu juu ya wana wa Mungu ๐ Hata wakifanya kafara zao wakichinja nikikuta kondoo kachinjwa naenda kumpika nakula, Nikikuta nazi imevunjwa naenda kupikia mchuzi ๐Ha ha ha ha utawashibisha maembe uwape nguvu za "kukutafuna" wewe na mkeo....
....fanya tafiti mkuu wangu...Bila Shaka huko tanga, morogoro, Mbeya huko kyela kuna wachawi wengi Sana maana kuna miembe ya kutosha, na Vipi huko kusini wanakolima Sana mbaazi bila Shaka wachawi wamepiga kambi mashambani๐๐๐๐
AKILI za kuambiwa
Utafiti kwamba hizo sehemu ndo kuna wachawi Sana??....fanya tafiti mkuu wangu...
Hukohuko ulikokutaja....fanya tafiti mwamba !