Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha...Hakuna Uchawi wenye Nguvu juu ya wana wa Mungu π Hata wakifanya kafara zao wakichinja nikikuta kondoo kachinjwa naenda kumpika nakula, Nikikuta nazi imevunjwa naenda kupikia mchuzi π
Siwezi bisha unachoamini lkn kisayansi hii miti panda mbali na nyumba kwakua mizizi yake inaenda mbali sana na kuhatarisha nyumba kua na mipasuko au kuja angusha nyumba baadae hiki ndio ninachofahamuThis is Africa and its traditions
Miti ifuatayo sio mizuri sana kuipanda nyumbani kwako
1: Muembe
2: Mbaazi
3: Muashoki
4: Mpanga Uzazi
5: Mbuyu
Utakaribisha viumbe wa Ajabu Usiku ukiendekeza miti ya aina hio
Hio miti inapendwa na wachawi, Majini na mapepo ya Kila aina.
Chukua tahadhari Jilinde na Imani yako
View attachment 3245114
Hapana mkuu wangu....Utafiti kwamba hizo sehemu ndo kuna wachawi Sana??
Umeongea ukweli, ukitaka kuujua ustaarabu wa mji fulani wewe anza kuangalia namna wanavyojali mazingira na kuyatunza.Ki ufupi watu maskini na watu wenye ujinga ujinga wa kuamini uchawi hawapatani na mazingira( Hawapendi miti).
Nenda uswahili huwezi kukuta hata mti mmoja.. Ukipanda mti ukiwa mkubwa unasakamwa hoo ndo uchawi wake, mara ndo kijiwe cha wachawi .. Watakuja upiga hata misumari ili ufe tuu.
Kwa wenye kujielewa wanajua umuhimu wa miti..
Tunapambana tuongeze Oxygen maana inazidi kupungua we una kuja na mbinu za ajabu eti usipande mitii flani kisa wachawi..
Usije sema hukuambiwaUpuuzi mtupu
Nadhani ni hulka mbaya tu za baadhi yetu....ila wako wenye maarifa ya kutambua umuhimu wa miti.....Umeongea ukweli, ukitaka kuujua ustaarabu wa mji fulani wewe anza kuangalia namna wanavyojali mazingira na kuyatunza.
Angalia miji ya wenzetu hata vijijini mazingira ni yametunzwa, njoo Africa sasa ni kichefuchefu.
Ha ha ha haUsije sema hukuambiwa
Kwenye hili naweza sema kuna kama ukweli ivi maana nimepata kushuhudia vidume kadhaa wakienda down mkuu.π€Mpanga uzazi huwa una penda kutawala katika eneo, misiba ya wanaume haiishi.
Lipi hilo mkuu?Mi kwangu nimepanda mti wa tunda la katikati, kuna shida?
Inaumiza sana mwenyewe wakati unashusha huu uzi uliamini unatoa madini sana kumbe watu wanakuja kukudharau. ni ngumu sana kuiondoa CCM kwa vijana kama wewe kuendelea kuwepo nchini.This is Africa and its traditions
Miti ifuatayo sio mizuri sana kuipanda nyumbani kwako
1: Muembe
2: Mbaazi
3: Muashoki
4: Mpanga Uzazi
5: Mbuyu
Utakaribisha viumbe wa Ajabu Usiku ukiendekeza miti ya aina hio
Hio miti inapendwa na wachawi, Majini na mapepo ya Kila aina.
Chukua tahadhari Jilinde na Imani yako
View attachment 3245114
No reform, no ElectionThis is Africa and its traditions
Miti ifuatayo sio mizuri sana kuipanda nyumbani kwako
1: Muembe
2: Mbaazi
3: Muashoki
4: Mpanga Uzazi
5: Mbuyu
Utakaribisha viumbe wa Ajabu Usiku ukiendekeza miti ya aina hio
Hio miti inapendwa na wachawi, Majini na mapepo ya Kila aina.
Chukua tahadhari Jilinde na Imani yako
View attachment 3245114
Hahahaha kwani ccm inategemea watu wajinga wajinga kama hawa?Inaumiza sana mwenyewe wakati unashusha huu uzi uliamini unatoa madini sana kumbe watu wanakuja kukudharau. ni ngumu sana kuiondoa CCM kwa vijana kama wewe kuendelea kuwepo nchini.
HuujuiLipi hilo mkuu?
sana. ndo mtaji wao mkubwaHahahaha kwani ccm inategemea watu wajinga wajinga kama hawa?
Basi kazi iposana. ndo mtaji wao mkubwa
Baba mwenye nyumba mbona uoga π πMi kwangu nimepanda mti wa tunda la katikati, kuna shida?
MxiuuThis is Africa and its traditions
Miti ifuatayo sio mizuri sana kuipanda nyumbani kwako
1: Muembe
2: Mbaazi
3: Muashoki
4: Mpanga Uzazi
5: Mbuyu
Utakaribisha viumbe wa Ajabu Usiku ukiendekeza miti ya aina hio
Hio miti inapendwa na wachawi, Majini na mapepo ya Kila aina.
Chukua tahadhari Jilinde na Imani yako
View attachment 3245114
πBaba mwenye nyumba mbona uoga π π
Mbaazi ni mti? Wewe umewakilisha kundi kubwa la WAJINGA wanaowaza ushirikina.This is Africa and its traditions
Miti ifuatayo sio mizuri sana kuipanda nyumbani kwako
1: Muembe
2: Mbaazi
3: Muashoki
4: Mpanga Uzazi
5: Mbuyu
Utakaribisha viumbe wa Ajabu Usiku ukiendekeza miti ya aina hio
Hio miti inapendwa na wachawi, Majini na mapepo ya Kila aina.
Chukua tahadhari Jilinde na Imani yako
View attachment 3245114